...Halafu kulikuwa na kitabu kimoja cha English darasa la saba sikumbuki tittle yake lakini katika moja ya story zilizomo humo zinahusu Mfalme mmoja na jamaa mmoja anaitwa Abdul... Huyu jamaa kwenye picha zilizochorwa alikuwa anavaa kiatu mbele kimechongoka sana (mkuki moyoni) kwa hiyo alikuwa anampeleka mfalme na msafara wake mahali fulani. Naomba kwa anayekumbuka jina la kitabu na hiyo story ya Abdul na mfalme aendeleze.....Tumetoka mbali sana.....