Nawapongeza wote ambao mmechangia ktk hili la kumbukumbu za Primary...its very interesting...Ushauri wangu MSIWASAHAU WAALIM WETU, WAZEE WETU HAO WALITULEA na hadi sasa wengine wapo hai lkn mishahara yao MIBOVU kupindukia...bado akina MRAMBA walienda kuwakopa...wakati wao wakikaa pale BOT siku moja tu mshahara wa mwalim mwezi mzima...KILA MMOJA AENDE ALIPOSOMA SHULE AKIWA NA CHOCHOTE AMTAFUTE MWALIM WAKE AMBAE ALIMTOA AKIWA HAJUI KUANDIKA WALA KUSOMA...