Duh!! Babu mbona unataka kuvuruga thread ya watu? Ushaanza kukosa ustaarabu eh!!!
Mtu anjikumbusha baada ya dhiki sio unajikumbusha wakati unaburuzwa kwenye dhiki angalau kumbukumbu zako ikiwa zitakusaidia kujinasua katika dhiki na kukupeleka katika maisha bora.matumaini ambayo yalijengwa katika harakati za hawa MaCCM ,...maisha bora kwa kila Mtanzania....ni miaka inakatika ,sasa wanatubabaisha kwa kutuletea makampuni ya simu ambayo yanakaribia kuweka simu bure kwa jinsi mirija yao inavyofanya kazi ,sifa za mashirika ya simu ya Tanzania hayapatikani duniani kokote kule isipokuwa hapa eti mnara umeanguka !Mwiba,
You are entitled to your opinion. Na sisi tuliosoma na kunufaika enzi za ujamaa ngoja na sisi tujikumbushe tumetoka wapi. Anayesahau historia yake hatajifunza hata kutokana na makosa ya historia hiyo. Kila binadamu ni mfu mtarajiwa. Nadhani tumeelewana.
Mtu anjikumbusha baada ya dhiki sio unajikumbusha wakati unaburuzwa kwenye dhiki angalau kumbukumbu zako ikiwa zitakusaidia kujinasua katika dhiki na kukupeleka katika maisha bora.matumaini ambayo yalijengwa katika harakati za hawa MaCCM ,...maisha bora kwa kila Mtanzania....ni miaka inakatika ,sasa wanatubabaisha kwa kutuletea makampuni ya simu ambayo yanakaribia kuweka simu bure kwa jinsi mirija yao inavyofanya kazi ,sifa za mashirika ya simu ya Tanzania hayapatikani duniani kokote kule isipokuwa hapa eti mnara umeanguka !
Kama mwenzangu uliona dhiki pole sana. Ndio maana nimesema you are entitled to your opinion. Na sisi wengine ambao hatukuona dhiki tuachie nafasi yetu ya kujikumbusha tulikotoka. It is that simple.
Mwiba,Sio hivyo,ikiwa wewe umetosheka na kuona wengine si lolote si chochote basi utakuwa hunatofauti na wao zaidi ni mbinafsi na hapo ndipo unapokuta unapata uongozi na kuzidi kuendeleza ubinfsi kwa maslahi yako binafsi,ndipo ikaambiwa haifai kuna kiongozi halafu ukajilimbikizia mimali na mivyeo ,wakati vyeo hivyo vingeweza kugaiwa kwa waTz wengine.
Mnaunda kamati , ajira hizi zingeweza kuenezwa kwa wasomi ambao wapo na shahada za kuifanya kazi hiyo tena kielimu kabisa ,lakini kwa vile kama ulivyosema mnajikumbusha ,kuwakumbuka hao ikiwa unafaidika na mambo yao la ikiwa huna faidai utakuwa sawa na wale wanaokaribia na kupiga kura kupeleka kura zao huko ,ukiwauliza wanakuja na jawabu kama lako, CCM ndio baba CCM ndio mama ,kasumba zimewajaa ,CCM ndio ilipeka watu kwenye mashamba na kuliwa na simba ,eti vijiji vya ujamaa kumbe ni mikakati ya kupunguza watu.
LOL! Kumbe enzi hizo Malecela kuna wakati alikuwa anamshikia Mwalimu kifimbo chake? Imenifurahisha sana picha hiyo.
lamba,naomba tusaidiane hapa,katika hiyo commitee ya watu 14,OKELLO yupo,na je,yeye ndio aliyoleta mapinduzi? maana frankly speaking historia ya mapinduzi,inatuchanganya,kuna versions nyingi,inasemekana historia ya mapinduzi imekuwa doctered sana-anyone out there who can give us a clear cut story.As neighbours,nimewahi kumuuliza NATEPE,but i got out none the wiser