Mkuu Kichuguu,
Hapo msaaada, najua kuna Mwalimu, Mkapa lakini huyu wa pembeni amefanana na Pinda ila sijui ni nani mkuu weka msaaada!
Che Nkapa alikuwa hjawa fisadi hapo si mnaona yuko fit. Baada ya Ufisadi ndiyo anakaribia kuapasukaMkuu Kichuguu,
Hapo msaaada, najua kuna Mwalimu, Mkapa lakini huyu wa pembeni amefanana na Pinda ila sijui ni nani mkuu weka msaaada!
Nyingine ambayo huwa naiangalia sana ni pale Nyerere alipotembea kwa mguu kutoka Butiama hadi Mwanza ati akiwa anaunga mkono Azimio la Arusha. Nadhani kuwa haya yalikuwa ni matumizi mabaya kabisa ya mali za umma.
Mtakumbuka mengi kwani hata maiti hukumbukwa na ikiwa kunahitajika uchunguzi wakaenda kufukuliwa. Na Uchunguzi kufanyika na ushahidi kukubaliwa.Na haki kutendeka.
Naona karibu mtaiona miti yote inateleza.
Wakuu mnaweza kutukumbusha majina ya hawa wapiganaji?
Che Nkapa alikuwa hjawa fisadi hapo si mnaona yuko fit. Baada ya Ufisadi ndiyo anakaribia kuapasuka
Mwiba,
Naona hujanielewa ndugu yangu. Sijaifagilia CCM ya sasa hata kidogo. Nilichosema ni kwamba kukumbushana historia ya tulikotokea ni jambo muhimu na viongozi waliotutangulia. Mwalimu amefariki bila kujilimbikizia mali licha ya kwamba amekuwa madarakani kwa zaidi ya miaka 24.
nani kakwambia kama Nyerere hakulimbikiza mali ,kama unaijua sababu ya Mkapa kufungua genge la biashala ikulu ,usingesema hayo ?
Kifo cha Nyerere kinajulikana ni ni baada ya kufa Jamal ambae ndie aliekuwa anahifazi feza ya Nyerere kwa jina lake,ghafla Jamal alipofariki Nyerere akafunga safari hadi kwa mke wa Jamali na kuulizia ela yake ,mke wa Jamali akamjibu Bana haikuacha kitu kwa jina lako ,hapo ndipo ugonjwa ulipoanza kumtambalia Mwalim na kumuondoa duniani.
Udhibitisho pls....kama huna omba radhi kwa maandishi yako.......nani kakwambia kama Nyerere hakulimbikiza mali ,kama unaijua sababu ya Mkapa kufungua genge la biashala ikulu ,usingesema hayo ?
Kifo cha Nyerere kinajulikana ni ni baada ya kufa Jamal ambae ndie aliekuwa anahifazi feza ya Nyerere kwa jina lake,ghafla Jamal alipofariki Nyerere akafunga safari hadi kwa mke wa Jamali na kuulizia ela yake ,mke wa Jamali akamjibu Bana haikuacha kitu kwa jina lako ,hapo ndipo ugonjwa ulipoanza kumtambalia Mwalim na kumuondoa duniani.