Wadiz
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 5,525
- 11,370
Ibada ni muhimu sana katika maisha yetu ya kila siku.
Nichukue fursa hii kutoa Rai na kuomba mabaharia wote na kauli mbiu zetu tugutuke kuelekea kwenye crisis ya upatikanaji wa mbususu.
Tuchukue sample zetu kadhaaa walau nne na kuweka fungu la pesa kwa ajili ya kuwasitiri na kuwatunza kama wapenzi zetu hasa kwa kipindi hiki ambacho ndio kitovu na makao makuu ya unafiki katika ibada.
Mambo ni mengi ubaharia upo ila kipindi hiki tubadili mbinu tuige mbinu ya ngumi sugunyo toka kwa Mandonga.
Tuwafurahishe nyakati hizi tupoe na tusiboe
Wadiz
Nichukue fursa hii kutoa Rai na kuomba mabaharia wote na kauli mbiu zetu tugutuke kuelekea kwenye crisis ya upatikanaji wa mbususu.
Tuchukue sample zetu kadhaaa walau nne na kuweka fungu la pesa kwa ajili ya kuwasitiri na kuwatunza kama wapenzi zetu hasa kwa kipindi hiki ambacho ndio kitovu na makao makuu ya unafiki katika ibada.
Mambo ni mengi ubaharia upo ila kipindi hiki tubadili mbinu tuige mbinu ya ngumi sugunyo toka kwa Mandonga.
Tuwafurahishe nyakati hizi tupoe na tusiboe
Wadiz