tamsana
JF-Expert Member
- Jan 13, 2012
- 3,285
- 7,192
Naona hii huduma kila mtu anapewa tofauti. Kwangu sipati hiko kifurushiPiga *149*03#
Kisha chagua YA KWAKO TU.
Utaikuta
View attachment 1478349
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona hii huduma kila mtu anapewa tofauti. Kwangu sipati hiko kifurushiPiga *149*03#
Kisha chagua YA KWAKO TU.
Utaikuta
View attachment 1478349
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sanaNaona hii huduma kila mtu anapewa tofauti. Kwangu sipati hiko kifurushi
Kwangu napata 3000 dk 120, 1gb kwa siku 3
Ongea na Chati zaidi kwa gharama nafuu ukiwa na TTCL Corporation #RudiNyumbaniKumenoga
View attachment 1478257View attachment 1478258View attachment 1478259
Sent using Jamii Forums mobile app
Wape vidonge vyaoHuduma kwa wateja kuna shida gani?
Mtu unapiga simu zaidi ya dk 20 simu haipokelewi, hii sio njema.
Mtandao wenu unashida, mtu huwezi kutuma msg yenye character nyingi inagoma, then mnatoa msg 50 ? Are you serious kwenye ushindani kweli?
Tulitegemea kupata unafuu,matokeo yake wao ndio wanazidi kutudidimizaHuduma zenu hazina ubora wala unafuu ukikinganisha na makampuni ya mabeberu sasa sijui nani beberu zaidi hapa.
Yaani mimi nilijiunga kabsaNilitupa line Yao siku ya pili tu baada ya kununua
Wengi sana wamekumbana na hiyo kesiRangi,mlipo sema line yangu haijasajiliwa kwa vidole na huku nimesajili,Sina hamu na nyie.bora nibaki Zanzibar telecommunication.yaani ZANTE L.
acha zakoWafanyakazi wa huu mtandao wengi wao ni miaka 60 sasa unategemea nini
Ardhi ni yao,maji ni yao ,majengo ni yao ,nchi ni yao sasa wanasababu gani ya kufanya biashara kizee ,hakuna marketing yaani ni shidaaaa.