Voda kwa buku jero napata dk 120,Gb 1 na sms kibao.hebu jaribun kuwa wabunifu halafu huu mtandao wenu kuna sehem network iko chini sana.
Walianza vizuri lakini sasa hivi ni hovyo kabisa.imebidi nirudi voda
Voda kwa buku jero napata dk 120,Gb 1 na sms kibao.hebu jaribun kuwa wabunifu halafu huu mtandao wenu kuna sehem network iko chini sana.
Kàribuni nyumbaniSio siri ngoja niende kwenya mada moja kwa moja.
Huu mtandao una matatizo mengi sana kama yafuatayo:
1. Huduma ya T PESA
Aisee huu mtandao kama utatuma hela siku ya Ijumaa usiku ghafla litokee tatizo wallah utakuja kuhudumiwa siku ya Jumatatu.
Hili tatuzo limenipata juzi hapa Ijumaa tarehe 7 yaani nilitamani kulia wallah.
2. Vifurushi
Hawa majamaa ukitaka uende nao sawa kwenye masuala ya MBs nakushauri tafuta kitambulisho cha chuo.
Aisee yaani GB 5 kwa Tsh 5000 mwezi mzima.
3. Vocha
Asikwambie mtu, TTCL hawana vocha aisee. Jana nimeenda pale Makao Makuu niliulizia vocha ya 500 hakuna wanasema zipo za 1,000.
Aisee ukienda kuulizia madukani yaani muuzaji anaweza akashangaa maana hiyo vocha ya TTCL ndiyo kwanza anaisikia kwako.
Kilichonipata jana
Nilijiapiza nikaonane na Afisa Masoko pale Makao Makuu pale Posta ili nimshauri kitu kimoja tu. Yaani nikafika mapokezi nikaonane na bwana Kindamba lakini nikazuiliwa.
Yule mama wa mapokezi aliongea sana mpaka wakati naondoka nimeinamishwa kichwa chini kwa masikitiko. Maana shida yangu nilitaka kuonana na Afisa Masoko au CEO wao.
Nilitaka niwambie kama vocha mtaani ni ngumu basi katika option ya kununua bando mteja achague alipe upitia T PESA au salio la kawaida.
Kero kinoma.Voda kwa buku jero napata dk 120,Gb 1 na sms kibao.hebu jaribun kuwa wabunifu halafu huu mtandao wenu kuna sehem network iko chini sana.
Suala LA mbs tu nakubali. Mpo vizuri...kama kwa huduma za toboa na Bandika bandua...mpo vizuri.Ongea na Chati zaidi kwa gharama nafuu ukiwa na TTCL Corporation #RudiNyumbaniKumenoga
View attachment 1478257View attachment 1478258View attachment 1478259
Sent using Jamii Forums mobile app
Fanya kuwatupia hata majini ili wapate mzuka wa kupiga kazi 24/7Ila mna maeneo mengi ya kuboresha ili muweze kuendana na kasi ya washidani.. Huduma zenu zinalalamikiwa mno.. Pengine kuliko mitandao mingine yote
Yani utaRESEND mpaka unajiuliza hivi nimejiunga MBs tupu auSuala LA mbs tu nakubali. Mpo vizuri...kama kwa huduma za toboa na Bandika bandua...mpo vizuri.
Tatizo ni pale napo tuma sms kwenda mtandao mwingine...hapo ndo kimbembe...wakati mwingine naweza kuresend mpaka naamua kuachana na matumizi ya sms. Sijajua mnakwama wapi ttcl
Hamia kwingine.Nyie mnazingua tu, SIM card ina bundle halafu mtandao shida
Wakishindwa kujinasua hapo watakufa kibudu
Unapataje hiki kifurushi mkuuVoda kwa buku jero napata dk 120,Gb 1 na sms kibao.hebu jaribun kuwa wabunifu halafu huu mtandao wenu kuna sehem network iko chini sana.
Nenda TTCL Shop ukiwa nd kitambulisho cha kazi.Utajuaje kama mimo mtumishi?
wee jamaa weweUtapigiwa simu na kuulizwa unamjua ‘Yesu Mpya’ ?ukiweza kumtaja bila shaka utakua ni mtumishi na utaungwa kwny kifurushi mkuu.