Kabisa,Ukiwa unatumia mitandao mingine ukituma sms kwa mtumiaji wa ttcl inaweza kukaa hata zaidi ya masaa mawili ndio inakuwa delivered.
Swali la kipuuzi, hujui kuwa watumishi Wana vitambulisho wanavyopewa na waajiri wao?Utajuaje kama mimo mtumishi?
Acha dhihaka na utotoUtapigiwa simu na kuulizwa unamjua ‘Yesu Mpya’ ?ukiweza kumtaja bila shaka utakua ni mtumishi na utaungwa kwny kifurushi mkuu.
Utani wa ngumi huu.Kuna watu mna roho ngum kama wife material.
Utapigiwa simu na kuulizwa unamjua ‘Yesu Mpya’ ?ukiweza kumtaja bila shaka utakua ni mtumishi na utaungwa kwny kifurushi mkuu.
Ulikokuwa.
Piga *149*03#Unapataje hiki kifurushi mkuu
Mi kila nikitaka kuangalia porn online wananigomea. Wanaboa hawa jamaa bando langu arifu wananipangia cha kufanya....
Huduma zenu hazina ubora wala unafuu ukikinganisha na makampuni ya mabeberu sasa sijui nani beberu zaidi hapa.Ongea na Chati zaidi kwa gharama nafuu ukiwa na TTCL Corporation #RudiNyumbaniKumenoga
View attachment 1478257View attachment 1478258View attachment 1478259
Sent using Jamii Forums mobile app
Mnaacha kuwarahisishia wasio na ajira mnawafanyia wenye ajira unafuu huu sio uungwana mnaua Shirika.Kamilisha majukumu yako ya wiki kwa bando la bei nafuu kutoka TTCL.
Rudi Nyumbani KumenogaView attachment 1478250
AiseeeMnaacha kuwarahisishia wasio na ajira mnawafanyia wenye ajira unafuu huu sio uungwana mnaua Shirika.