TTCL Corporation: Support thread (Maswali, ushauri na malalamiko)

Ukiwa unatumia mitandao mingine ukituma sms kwa mtumiaji wa ttcl inaweza kukaa hata zaidi ya masaa mawili ndio inakuwa delivered.
 
Yaan hata hii account Ina behave just like customer care yao , hakuna msaada kabisa, ameweka Uzi halafu hata kujibu comments inakuwa shida , ndo keshamaliza kazi alotumwa

Sent
 
Mi kila nikitaka kuangalia porn online wananigomea. Wanaboa hawa jamaa bando langu arifu wananipangia cha kufanya....
.....na kutuma sms kwenda mitandao mingine sometimes wananigomea
 
Unapataje hiki kifurushi mkuu
Piga *149*03#
Kisha chagua YA KWAKO TU.
Utaikuta
JPEG_20200614_143128_-956052353.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom