Treni ya umeme inakuja July 2017

H
Hamna kitu kinashndikana kwa shida yetu sisi watanzania ni kupinga kila kitu bila hata kufanya tafiti kidogo

Zipo treni za umeme ambazo cost yake ni ya kawaida kabisa kama CRH3 EMU hii inatengenezwa na Kampuni ya Siemens inagharimu dollar za kimarekani 1.3 billion na hii ni modern version kabisa ya 2008 ndo inatumika china
Ina uwezo wa kubeba abiria 556 na mengne meng

But issue hapa n cost ambayo n 1.3 billion (Usd) ambayo ukii convert kwa viwango vyetu inaezekana kabisa kununilika

Watz tupunguze longolongo tumsapot Rais

http://www.google.com/url?q=http://...ggNMAE&usg=AFQjCNFZhtXvsBG-3gLLHNHvtnOBEWbOow

Soma link hyo kwa maelezo kuhusu CRH3 EMU

Ninakuunga mkono.Watu wengine hatuko informed vya kutosha juu ya mambo kadhaa na hivi tumebaki kupinga hata na tusiyoyajua.Watu wanafikiria kujenga reli leo hii ni kama miaka hiyo ya Uhuru.Hebu ingieni Youtube muone video za tekinolojia ilikofikia.Sitashangaa Wachina watakaojenga SGR wakatumia hii tekinolojia.Na ikiwa hivyo ni suala la muda tu.

Unaweza tu kutype: "Amazing Automatic Railway Track Laying Machine..."
 
Hizo ahadi zote ambazo mheshimiwa ameahidi kwenye hotuba zake kama zikitimia kwa deadline aliyokusudia basi kura yangu anayo wala asihangaike kuipigia kampeni.
 
View attachment 408957

Serikali ya awamu ya tano chini ya Rais John Pombe Magufuli imepanga kununua treni ya umeme inayotarajiwa kuwasilini nchini mwezi Juni, 2017.

Treni hiyo inatarajiwa kufanya safari katika jiji la Dar es Salaam. Rais Magufuli amesema serikali inauwezo wa kutekeleza ahadi hiyo kwa kuwa fedha za kununulia treni hiyo zipo.

Pia Rais Magufuli amesema serikali iko katika harakati za uboreshaji na ujenzi wa miundo mbinu ya usafiri, ikiweno ujenzi wa reli za kisasa kuanzia Dar es Salaam, Mwanza na nchi jirani ikiwemo ya Rwanda.

Vile vile serikali yake iko katika hatua za ujenzi wa daraja la kisasa litakalo anzia maeneo ya daraja la Sarenda litakalo pitia baharini.

Hadi sasa miradi mbalimbali ya ujenzi wa miundombinu inaendelea nchi nzima ikiwemo mradi wa barabara za juu (Flyover) maeneo ya Tazara.

Aidha, Dk. Magufuli amesema serikali yake iko katika hatua za kutengeneza na kuboresha miji yake ili iwe ya kisasa.
Pesa za misaada bukoba hakuna, pesa za kuhamishia watu Dodoma hakuna hizo za treni watazitoa wapi? au deni la Taifa litazidi kupaa tuwe kama Ugiriki.
 
Mwambie asisahau kulala mbele na wapiga deals wa: Escrow, Richmond cum Symbion, IPTL, nyumba za serikali, kivuko cha MV Darisalama, Lugumi, Meremeta, EPA, Simba Trust na wengine anaowafahamu.
Hapo hawezi kufika pesa za misaada bukoba wanachangisha watu lakini pesa za kumpatia lipumba afanye fijo CUF na kulala ofisini buguruni zipo tele.
 
Tujiandae kuishi kama mashetanani kwa kulazimisha hata visivyowezekana.
Utaelewa to soon... tunajua fika sio akili zako.. ni vile tu una msongo wa mawazo...
Ulisema ndege haziji, Hizo hapo zimekuja..
Mara ukasema ni kukurupuka, haiwezekani.. but Mkuu kakuonesha kwamba hajakurupuka na imewezekana..
Mara ukasema ooh ni pangaboi, wataalamu wamekuchambulia faida zake na kwa nini ni conducive kwa mahitaji na mazingira yetu...
Mara oohh sijui nini nini...
Anyway endelea tu kubisha bisha...
Wenzio tusha gain momentum long time tunalisongesha.. but the good news kwako ni kwamba hatuwezi kukuacha nyuma, tutakuburuza tu hivyo hivyo pamoja na ubishi wako..
Kelele za chura hazimzuii Tembo kunywa maji..
 
Kila kitu kinawezekana, watanzania bado wana ile dhana waliyojengewa tangu awali kuwa Tanzania ni maskini, na hakuna linalowezekana nchini...

Kwa hiyo kwa sasa ndo serikali hii inawaambia kuwa kila kitu kinawekana, na wao hawaamini hadi waone...

Zile safari alizofanya JK. miaka 10 yake, Zaidi ya safari 400, pesa hizo zingefanya mambo makubwa sana chini
Hivi JK alikuwa chama gani vile?? Hivi Kiwanda cha sindano kiko mkoa gani vile?
 
Umeme upo wapi bana?

Hata likijengwa ni kwa ajili ya kujitangaza kisiasa tu si kutatua matatizo ya wananchi.

Amini usiamini, nimeomba niingiziwe umeme katika mashine ya kusaga. Kila kitu kimeshapita na nimeshalipia, leo hii ni mwezi wa pili sijaingiziwa umeme, kisa eti waya za 3 phase hazipo. Naendelea kusubiri. Pazuri hapo!!!!!!!!
We kama hauna umeme, pole yako..
Huenda hata njia unazitumia kujipatia huo umeme ni za chini ya meza.. who knows??
Huenda Mh. Muhongo wala hana taarifa kama huna umeme unaodai umeomba kuungiwa..
Wakati ukiendelea na kupiga propaganda kwa kudai ni jujitangaza kisiasa, vema ukajiandaa na kuipanda treni tajwa maana soon itakua a reality..
Mwenye nchi keshakwambia inawezekana, wewe ni nani utuambie haiwezekani..
Au kwakua una mashine ya kusaga ndio unataka kutujaza pumba??
 
Tatizo hizo train za umeme zitapita ktk reli zipi? Ama wananunua na kuweka godown wasidanganye watu. Kila siku nasema hapa jf tuna ushabiki wa kinafiki hii habari kama ni ya kweli basi Magufuli yupo ktk nchi ya kufikirika. Hapa Manchester kishection kidogo cha tram kilianza mwaka 2013 mpaka leo hawajamaliza na umbali wake ni kama fire na magomeni itawezekana vipi ubungo mpaka mjini wamalize kwa miezi 10?
Endelea na Kazi ya kupanga box huko Manchester, acha wenye fani zao ma engineer wafanye kazi yao ya kutuletea maendeleo..
Usipende kujianika utupu wako kirahisi rahisi namna hivyo.. unawezaje kufananisha Manchester na Bongo?? Seriously??? Au ulikua unatania??
Kajifunze kwanza Manchester na miundombinu yake ilianza kujengwa lini na ni kwanini is it so challenging to implement a project in Manchester than in Bongo..
Ya engineer achia engineer..
 
Huo umeme kuwaka hapa mjini hautoshi hizo treni zitaendeshwa na makaa ya mawe au hebu jaribu kufikiri nje ya box
Mwezi hauwezi kuisha siku moja haujakatwa bila hata ya taarifa maalum kutoka tanesco au wewe mwenzetu unaishi magogoni
Mwezi?!? We utakuwa mwenzangu wa dar hapa. Mkoani huko kuna maeneo yakipita masaa 24 bila umeme kukatika wanashangaa tanesco wamekuaje siku hiyo?
 
Hakuna anayekataa kuhusu hilo. Tena naamini usafiri wa treni ukiboeshwa unaweza hata kuleta tija kuliko wa anga. Kinachohojiwa ni huo muda uliotajwa. Kimsingi, mleta uzi anasema treni hiyo itaanza kufanya kazi ndani ya miezi 9 ijayo. Hiyo reli ya kisasa ambayo bado haijaanza kujengwa, anaweza kutuambia itaanza lini kujengwa na itachukua miezi mingapi kuikamilisha?
Serikali ndo imesesma hivyo so serikal ya awamu ya tano itajua tu mkuu usiogope
 
hii ni movie sasa .....treni ya umeme wakati umeme wenyewe hauko sawa...mara unawaka na kuzima, mara siku nzima hakuna umeme, mara unapungua na kuongezeka...hiyo treni si itaua watu....
Kwan umesahau kuna ges mkuu,haiwez zalsha umeme?
 
Hiyo tuu kwenda Dodoma iliyosemwa ni mwezi September nilikataa kuwa haiwezekani watu wakabisha...kilichotokea ni kuwa haiwezekani...Viongozi wetu wakisema kitu ni mwezi ujao we hesabia mwaka au miaka miwili ijayo
Huko kwenda dodoma n mbali umeambiwa ndani ya jiji la dsm
 
Back
Top Bottom