Tuseme ukweli! Jaribio la treni ya SGR lilishindwa kufikia lengo

Zanzibar-ASP

JF-Expert Member
Nov 28, 2013
10,129
35,152
Siku ya jana, tarehe 26/2/2024, shirika la reli hapa Tanzania (TRC) lilifanya jaribio la kwanza la treni ya kisasa, umeme na mwendokasi (SGR), na miongoni ya malengo (matarajio ya watu?) ya msingi yalikuwa ni haya;

1. Mwendokasi (muda wa kusafiri uwe mchache huku umbali uwe mrefu).

2. Nishati ya Umeme (uhakika wa umeme wakati wote)

Bila kumumunya maneno, malengo yote mawili hayakufikiwa. Treni haikuwa na kasi ya kutosha, safari ikatumia muda mrefu zaidi kutoka Dar mpaka Moro. Lakini mara mbili umeme ulikatika katikati ya safari, treni ikapunguza mwendo na huduma ya umeme ndani ya mabehewa ikapotea.

Kwa wale wasiofahamu kuhusu Sayansi ya majaribu (practical trial/ testing ama Pilot survey) ni kuwa, ili malengo yanayotegemewa kuwepo katika uhalisia yaweze kuonekana kwelikweli inabidi majaribu yafikie malengo na kupitiliza walau robo zaidi ya lengo (yaani yafikie 125%). Kwa mfano kama Treni ya SGR inategemewa kutoka Dar-Moro kwa dakika 75 tu basi wakati wa majaribio walau itumie dakika zisizozidi dakika 57.

USHAURI.
TRC inabidi ifanye mambo haya matatu kwa sasa;

1. Itoe taarifa kamili ya kitaalamu kuonyesha taswira nzima ya hilo jaribio, wapi walifikia lengo na wapi walishindwa kufikia lengo.

2. Wakae chini kujipanga upya namna ya kuweza kukabiliana na mapungufu hayo.

3. Waje kufanya jaribio lingine baada ya kupata utatuzi wa mapungufu yote.
 
Tanzania tuna itikadi za Mbuni, kuficha kichwa chake na kuacha kiwiliwili kwa imani kuwa ndio haonekani.

Suluhisho waliloona la maana ni kuhonga kina Baba Levo watangaze ujinga kuwa treni haikuwa na hitilafu yeyote ilhali kulikuwa na dosari chungu nzima.

SGR ni bomu lililoanza kulipuka kabla hata ya mradi wenyewe kuanza rasmi.
 
Siku ya jana, tarehe 26/2/2024, shirika la reli hapa Tanzania (TRC) lilifanya jaribio la kwanza la treni ya kisasa, umeme na mwendokasi (SGR), na miongoni ya malengo (matarajio ya watu?) ya msingi yalikuwa ni haya...
walitakiwa waazime kichwa na mabehewa toka kwa wenzetu waje watuonyeshee, na tukijisahau ndio walete yale mamtumba. sisi sio watoto, tunataka chenji yetu irudi, tena yote.

Huwezi kuita kichwa kile na mabehewa yale kama ya TAZARA kuwa ni ya kisasa, as if sisi ni mara ya kwanza kuona treni za aina hiyo.
 
Nakumbuka kuna meli iliundwa ili ifanye safari za Magogoni B.moyo... Enzi jiwe ni waziri

dadeki ile safari ya majaribio ikaonekana kwanza meli mbovu, pili time consuming halafu tatu ikaonekana ina kesha njiani.

Kwa tathmin ikaoneka ile plan isha feli.

Mwisho wa siku ile meli ika kabidhiwa kwa wazee wa " sadism is inevitable"

Natamani kuwe na transparency katika hili la SGR,.. kwa nini umeme ulikata, ? ilikuwa sehemu ya majaribio?, kwa nini imetumia muda mrefu, ? mbona waliweka mabehewa machache sana...
 
Lengo la majaribio inawezekana ilikuwa ni kuhakikisha tu kama treni itafika Morogoro, kama hivyo ndivyo basi wamefanikiwa.

Hayo mambo ya mwendo labda wanaweza kuyarekebisha mbele ya safari, kama itawezekana kufanya hivyo kwa kutumia vichwa vya mabehewa vilivyopo.

Lakini binafsi nina mashaka na vile vichwa vya treni, sidhani kama vina ubora stahiki ili kufikia malengo ya muda wa safari uliowekwa.

Nahisi vitakuwa vya bei rahisi, tofauti na vile tunavyoona vikiendesha treni za mwendokasi kwenye nchi nyingine kama China.

If this is the case, naishauri serikali ijipange kwa kununua vichwa vyenye ubora stahiki, hata kwa kuanza na kimoja, ili kuhakikisha lengo kusudiwa la mwendokasi linafikiwa.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Tanzania tuna itakadi za Mbuni, kuficha kichwa chake na kuacha kiwiliwili kwa imani kuwa ndio haonekani.

Suluhisho waliloona la maana ni kulipa kina Baba Levo watangaze ujinga kuwa treni haikuwa na hitilafu yeyote ilhali kulikuwa na dosari chungu nzima.

SGR ni bomu lililoanza kulipuka kabla hata ya mradi wenyewe kuanza rasmi.
Aisee hili la kuficha kichwa kama mbuni ni tatizo kubwa sana. Yaani viongozi wote wana-operate kwa namna hiyo.
 
Huyu jamaa sijui kama ana ufundi wowote ule huwezi sema treni iwekwe tu kwenye reli ianze kwenda mwendo mkubwa kiasi hicho ila ujue reli ni mpya treni ni mpya ina takiwa kwenda mwendo wa kawaida huku mafundi wakifuarilia kila hatua injini mabehewa umeme nk halafu safari 2 ,3,4 ndo itakuwa mwendo mdundo
 
Siku ya jana, tarehe 26/2/2024, shirika la reli hapa Tanzania (TRC) lilifanya jaribio la kwanza la treni ya kisasa, umeme na mwendokasi (SGR), na miongoni ya malengo (matarajio ya watu?) ya msingi yalikuwa ni haya;

1. Mwendokasi (muda wa kusafiri uwe mchache huku umbali uwe mrefu).

2. Nishati ya Umeme (uhakika wa umeme wakati wote)

Bila kumumunya maneno, malengo yote mawili hayakufikiwa. Treni haikuwa na kasi ya kutosha, safari ikatumia muda mrefu zaidi kutoka Dar mpaka Moro. Lakini mara mbili umeme ulikatika katikati ya safari, treni ikapunguza mwendo na huduma ya umeme ndani ya mabehewa ikapotea.

Kwa wale wasiofahamu kuhusu Sayansi ya majaribu (practical trial/ testing ama Pilot survey) ni kuwa, ili malengo yanayotegemewa kuwepo katika uhalisia yaweze kuonekana kwelikweli inabidi majaribu yafikie malengo na kupitiliza walau robo zaidi ya lengo (yaani yafikie 125%). Kwa mfano kama Treni ya SGR inategemewa kutoka Dar-Moro kwa dakika 75 tu basi wakati wa majaribio walau itumie dakika zisizozidi dakika 57.

USHAURI.
TRC inabidi ifanye mambo haya matatu kwa sasa;

1. Itoe taarifa kamili ya kitaalamu kuonyesha taswira nzima ya hilo jaribio, wapi walifikia lengo na wapi walishindwa kufikia lengo.

2. Wakae chini kujipanga upya namna ya kuweza kukabiliana na mapungufu hayo.

3. Waje kufanya jaribio lingine baada ya kupata utatuzi wa mapungufu yote.
Kwa injini ile ya jana labda waipeleke Sido wakaichonge mbele ili iwe na umbile la kupenya upepo mkali.
 
Huyu jamaa sijui kama ana ufundi wowote ule huwezi sema treni iwekwe tu kwenye reli ianze kwenda mwendo mkubwa kiasi hicho ila ujue reli ni mpya treni ni mpya ina takiwa kwenda mwendo wa kawaida huku mafundi wakifuarilia kila hatua injini mabehewa umeme nk halafu safari 2 ,3,4 ndo itakuwa mwendo mdundo
Mbona unashauri jambo ambalo lilikwisha fanyika, hata jaribio lile haikuwa na kasi tuliyiitarajia, tumepigwa.
 
Tanzania tuna itakadi za Mbuni, kuficha kichwa chake na kuacha kiwiliwili kwa imani kuwa ndio haonekani.

Suluhisho waliloona la maana ni kulipa kina Baba Levo watangaze ujinga kuwa treni haikuwa na hitilafu yeyote ilhali kulikuwa na dosari chungu nzima.

SGR ni bomu lililoanza kulipuka kabla hata ya mradi wenyewe kuanza rasmi.
 
Siku ya jana, tarehe 26/2/2024, shirika la reli hapa Tanzania (TRC) lilifanya jaribio la kwanza la treni ya kisasa, umeme na mwendokasi (SGR), na miongoni ya malengo (matarajio ya watu?) ya msingi yalikuwa ni haya;

1. Mwendokasi (muda wa kusafiri uwe mchache huku umbali uwe mrefu).

2. Nishati ya Umeme (uhakika wa umeme wakati wote)

Bila kumumunya maneno, malengo yote mawili hayakufikiwa. Treni haikuwa na kasi ya kutosha, safari ikatumia muda mrefu zaidi kutoka Dar mpaka Moro. Lakini mara mbili umeme ulikatika katikati ya safari, treni ikapunguza mwendo na huduma ya umeme ndani ya mabehewa ikapotea.

Kwa wale wasiofahamu kuhusu Sayansi ya majaribu (practical trial/ testing ama Pilot survey) ni kuwa, ili malengo yanayotegemewa kuwepo katika uhalisia yaweze kuonekana kwelikweli inabidi majaribu yafikie malengo na kupitiliza walau robo zaidi ya lengo (yaani yafikie 125%). Kwa mfano kama Treni ya SGR inategemewa kutoka Dar-Moro kwa dakika 75 tu basi wakati wa majaribio walau itumie dakika zisizozidi dakika 57.

USHAURI.
TRC inabidi ifanye mambo haya matatu kwa sasa;

1. Itoe taarifa kamili ya kitaalamu kuonyesha taswira nzima ya hilo jaribio, wapi walifikia lengo na wapi walishindwa kufikia lengo.

2. Wakae chini kujipanga upya namna ya kuweza kukabiliana na mapungufu hayo.

3. Waje kufanya jaribio lingine baada ya kupata utatuzi wa mapungufu yote.
Hii nchi hii ..
 
Siku ya jana, tarehe 26/2/2024, shirika la reli hapa Tanzania (TRC) lilifanya jaribio la kwanza la treni ya kisasa, umeme na mwendokasi (SGR), na miongoni ya malengo (matarajio ya watu?) ya msingi yalikuwa ni haya;

1. Mwendokasi (muda wa kusafiri uwe mchache huku umbali uwe mrefu).

2. Nishati ya Umeme (uhakika wa umeme wakati wote)

Bila kumumunya maneno, malengo yote mawili hayakufikiwa. Treni haikuwa na kasi ya kutosha, safari ikatumia muda mrefu zaidi kutoka Dar mpaka Moro. Lakini mara mbili umeme ulikatika katikati ya safari, treni ikapunguza mwendo na huduma ya umeme ndani ya mabehewa ikapotea.

Kwa wale wasiofahamu kuhusu Sayansi ya majaribu (practical trial/ testing ama Pilot survey) ni kuwa, ili malengo yanayotegemewa kuwepo katika uhalisia yaweze kuonekana kwelikweli inabidi majaribu yafikie malengo na kupitiliza walau robo zaidi ya lengo (yaani yafikie 125%). Kwa mfano kama Treni ya SGR inategemewa kutoka Dar-Moro kwa dakika 75 tu basi wakati wa majaribio walau itumie dakika zisizozidi dakika 57.

USHAURI.
TRC inabidi ifanye mambo haya matatu kwa sasa;

1. Itoe taarifa kamili ya kitaalamu kuonyesha taswira nzima ya hilo jaribio, wapi walifikia lengo na wapi walishindwa kufikia lengo.

2. Wakae chini kujipanga upya namna ya kuweza kukabiliana na mapungufu hayo.

3. Waje kufanya jaribio lingine baada ya kupata utatuzi wa mapungufu yote.
Huu ndio msimamo wa chadema?
 
Back
Top Bottom