Tibaijuka ashushwa cheo UN

Campanero,

Ningefurahi kujua specifically alijaribu kuleta mapinduzi gani BAWATA na "Sirikali ikaishughulikia BAWATA" vipi.


Kuhani,

Wakati Anna Tibaijuka alipoamka na Bawata, nilikuwa namfahamu kwa karibu aliyekuwa Katibu Mkuu wa UWT enzi hizo ambaye ni ndugu wa karibu.

UWT na CCM walichukia kitendo cha Dr. Tibz kuunda ushirika wa Kinamama ambao ungeivunja nguvu UWT ambayo ilikuwa inataka iwe kinara wa mambo ya kina mama Tanzania kutumia mgongo wa CCM na si kukutanisha wanawake wote bila kujali itikadi za kisiasa.

My personal opinion on this demotion is that I think it is not a perfomance issue rather a political assasination ochestrated by CCM.

Sidhani kama nitaweka kidole kwa Asha Migiro kuwa she is behind it, lakini si siri kuwa BaniKiniMuni alikuwa mgeni TZ na mahusiano yake na Mtalii stadi ni makubwa sana!

Je kuna dili gani limefanyika au Tanzania imejitlea nini kama hisia zangu ni kweli kuwa Dr. Tibz kaondolewa kwa mizengwe?

Just speculating about the demotion!
 
Kuhani,

Wakati Anna Tibaijuka alipoamka na Bawata, nilikuwa namfahamu kwa karibu aliyekuwa Katibu Mkuu wa UWT enzi hizo ambaye ni ndugu wa karibu.

UWT na CCM walichukia kitendo cha Dr. Tibz kuunda ushirika wa Kinamama ambao ungeivunja nguvu UWT ambayo ilikuwa inataka iwe kinara wa mambo ya kina mama Tanzania kutumia mgongo wa CCM na si kukutanisha wanawake wote bila kujali itikadi za kisiasa.

My personal opinion on this demotion is that I think it is not a perfomance issue rather a political assasination ochestrated by CCM.

Sidhani kama nitaweka kidole kwa Asha Migiro kuwa she is behind it, lakini si siri kuwa BaniKiniMuni alikuwa mgeni TZ na mahusiano yake na Mtalii stadi ni makubwa sana!

Je kuna dili gani limefanyika au Tanzania imejitlea nini kama hisia zangu ni kweli kuwa Dr. Tibz kaondolewa kwa mizengwe?

Just speculating about the demotion!

Rev.

Unataka kuiwekea swali integrity ya Ban Ki Moon? kwamba anaweza kufanywa puppet na Kikwete kiasi cha kuambiwa nani wa kum fire bila kufuata msingi wa performance? Hii ni serious charge.
 
wana jamvi,

..kwa mtizamo wangu Dr.Tibaijuka amedumu kwa muda mrefu tu ktk nafasi yake.

..vilevile nadhani si mtu wa Mzee Ban Ki Moon. Dr.Tibaijuka amekuwa kwenye nafasi hiyo tangu zama za Koffi Annan.

..inawezekana kabisa haya yanatokea ktk harakati za Mzee Ban Ki Moon kupanga timu ya watu aliwachagua mwenyewe.

..sidhani kama ni kitu kibaya Dr.Tibaijuka akianza kufikiria jinsi ya kung'atuka hapo UN-HABITAT wakati rekodi yake ya kazi bado ni nzuri.

..kwa ELIMU na UZOEFU wa DR.TIBAIJUKA, hawezi kukosa kazi ya nguvu ktk University, Foundation, au Think Tank, inayoheshimika.

..kuhusu kupeleka mradi wa UN-Habitat kwao Muleba sidhani kama ni "bigi dili" kiasi hicho.

..inawezekana kabisa wakati sisi hapa tunamlalamikia kwa upendeleo, wakazi wenzake wa Muleba wanamlalamikia kwa kuwasahau.
 
I hope this will teach Tanzanians in one way or another. As a nation we lack good business culture. I said it before and I will say it now.. I hope for those who read my comments on other topic especial the one Minister defend his PhD will understand what I mean.
 
Mjumbe hauwawi. Mimi nimefikisha ujumbe wa waandamanaji. Maadam wao wenyewe wafanyakazi wamesema alikuwa analeta mapinduzi mimi ni nani wa kuwabishia? Masanja hilo la BAKWATA wenye data wamezitoa ila kama unataka nyongeza nitakuletea dondoo kutoka kwenye PhD ya mgogoro wa BAWATA.
 
Mjumbe hauwawi. Mimi nimefikisha ujumbe wa waandamanaji. Maadam wao wenyewe wafanyakazi wamesema alikuwa analeta mapinduzi mimi ni nani wa kuwabishia? Masanja hilo la BAKWATA wenye data wamezitoa ila kama unataka nyongeza nitakuletea dondoo kutoka kwenye PhD ya mgogoro wa BAWATA.



In September 2000 she was appointed by Secretary-General Kofi Annan as Executive Director of the United Nations Centre for Human Settlements. During her first two years in office, Mrs. Tibaijuka oversaw major reforms which resulted in the United Nations General Assembly upgrading the Centre to programme status and renaming it the United Nations Human Settlements Programme (UN-HABITAT). Tibaijuka was elected by the General Assembly to her first four-year term as head of the new agency in July 2002 and was given the rank of Under-Secretary-General, the first -- and only -- African woman to reach this level within the UN System.


Source: Wikipedia

My Take: It's time for her to move on...i think she is ready.
 
Masanja pole sana kwa kuumia kwamba mama Tiba alipeleka mradi Muleba. Ungefurahi asiupeleke uko na apeleke wapi?
Kama ni kweli alifanya hivyo basi alifanya kazi njema kwa jamii yake na kama tukipata watz wengi UN watakaojali nyumbani tuna haja ya kufurahia wadanganyika kwenda kwenye mashirika ya kimataifa.
Lakini kama tukipeleka watu wa aina yako Masanja UN basi tuna hasara ya kutupa na hatuna haja ya kufurahia uwepo wa watz kwenye anga za kimataifa.
Nimesikia si Muleba pekee alikokuwa anafanyia kazi project zake kwenda mbele lakini hata miji ya Bukoba kwa habari ya maji, na miji ya Dar, miji kadhaa Uganda na miji kadhaa Tz ikiwamo na Dar.
Mungu akupe nafasi nyingine mama Tiba. Dumu kusaidia watz ambao kwa hakika wamejaa ufisadi kila kona na hawafurahii juhudi zako.
 
Kuhani,

Wakati Anna Tibaijuka alipoamka na Bawata, nilikuwa namfahamu kwa karibu aliyekuwa Katibu Mkuu wa UWT enzi hizo ambaye ni ndugu wa karibu.

UWT na CCM walichukia kitendo cha Dr. Tibz kuunda ushirika wa Kinamama ambao ungeivunja nguvu UWT ambayo ilikuwa inataka iwe kinara wa mambo ya kina mama Tanzania kutumia mgongo wa CCM na si kukutanisha wanawake wote bila kujali itikadi za kisiasa.

My personal opinion on this demotion is that I think it is not a perfomance issue rather a political assasination ochestrated by CCM.

Sidhani kama nitaweka kidole kwa Asha Migiro kuwa she is behind it, lakini si siri kuwa BaniKiniMuni alikuwa mgeni TZ na mahusiano yake na Mtalii stadi ni makubwa sana!

Je kuna dili gani limefanyika au Tanzania imejitlea nini kama hisia zangu ni kweli kuwa Dr. Tibz kaondolewa kwa mizengwe?

Just speculating about the demotion!

Rev. Kishoka,

Mimi nilishavunja imani na Mama Tibaijuka baada ya kusikia shutuma ambazo, japo sikupata uthibitisho, zilinisikitisha na ninaamini inawezekana BAWATA palikuwa pana harufu harufu ya irregularities.

Kutoka ndani ya BAWATA kwa mtu ninayemwamini 100%, niliambiwa Tibaijuka alipewa hela za wahisani ambazo zilipitia serikalini, wizara inayoshughulikia mambo ya wanawake, kwa ajili ya kujenga umoja wa wanawake ambao sio mkono wa chama cha kisiasa kama ilivyo UWT.

Moja ya malengo makubwa ya hizi hela ilikuwa ni kutumika kuandaa katiba mpya ya BAWATA ambayo ingeendana na mission ya umoja huu. Mmoja wa deputy wa juu wa Mama Tibaijuka alikuwa ni mwanasheria, so, Tibaijuka, msomi aliyebobea, na deputy wake decided to go to "work" on the Katiba project.

Katiba ilipotoka ikaoneka imefanana, imekuwa scribed almost, kutoka katika ile ya UWT. Wanawake walipoisoma hawakuelewa kabisa, hawakuipenda. After all, mission ya BAWATA ilitakiwa iwe tofauti kabisa na UWT, na hiyo ndio ilikuwa kivutio, ilikuwa pitch, ya BAWATA na Tibaijuka. So, not surprisingly, wanawake went bananas!

Wakawauliza, hela za wahisani zimeenda wapi kama "kazi" yenyewe ndo hii mmefanya? Mtafaruku ukafukuta wizarani na BAWATA, Tibaijuka akatoa machozi ya mamba, wafuasi wake wakaamini kuwa CCM na Serikali wanaipiga vita BAWATA kwa sababu ni tishio kwa UWT. Mpaka leo, mpaka kesho, mpaka kufa, rekodi za juu juu za wafuasi wa Tibaijuka, BAWATA well wishers na outsiders wengine zitaonyesha BAWATA ilipigwa vita na CCM. Nisingesikia haya hata mimi ningeona wanachodai kambi ya Tibaijuka kina make perfect sense, kwamba UWT ilikuwa na mzizi dhidi ya Tibaijuka.

Lakini mmmmh! Inawezekana ukweli uko kwingine.
 
Masanja pole sana kwa kuumia kwamba mama Tiba alipeleka mradi Muleba. Ungefurahi asiupeleke uko na apeleke wapi?
Kama ni kweli alifanya hivyo basi alifanya kazi njema kwa jamii yake na kama tukipata watz wengi UN watakaojali nyumbani tuna haja ya kufurahia wadanganyika kwenda kwenye mashirika ya kimataifa.
Lakini kama tukipeleka watu wa aina yako Masanja UN basi tuna hasara ya kutupa na hatuna haja ya kufurahia uwepo wa watz kwenye anga za kimataifa.
Nimesikia si Muleba pekee alikokuwa anafanyia kazi project zake kwenda mbele lakini hata miji ya Bukoba kwa habari ya maji, na miji ya Dar, miji kadhaa Uganda na miji kadhaa Tz ikiwamo na Dar.
Mungu akupe nafasi nyingine mama Tiba. Dumu kusaidia watz ambao kwa hakika wamejaa ufisadi kila kona na hawafurahii juhudi zako.

Ili kukwepa ufisadi, tunapofanya kazi siou tu tukwepe upendeleo, bali pia tukwepe hata muonekano wa kuwapo kwa upendeleo.

Kama mama Tibaijuka amepeleka miradi ya HABITAT kwao, hata kama hakufanya kwa sababu za upendeleo, hakuepuka kutoonekana ana upendeleo. Nina hakika Muleba haikuwa sehemu ya mwisho iliyohitaji miradi hii.

Sasa kawapa msemo watu, wengine watasema anajiandaa ubunge, wengine watasema mkabila ili mradi kila mtu na lake. lakini angeelewa kuwa kuna haja ya kutoonekana kama anapendelea, hata kama upendeleo haupo, angepeleka miradi Masasi na Tanangozi, Kibondo na Utete, halafu tungeona kama mtu angeweza kumshtaki kwa ukabila/ upendeleo.

Caesar's wife cannot be under suspicion of infidelity, let alone be part of the actual infidelity. Only when we learn to live by this rule will we curb corruption and malfeasance.
 
Rev. Kishoka,

Mimi nilishavunja imani na Mama Tibaijuka baada ya kusikia shutuma ambazo, japo sikupata uthibitisho, zilinisikitisha na ninaamini inawezekana BAWATA palikuwa pana harufu harufu ya irregularities.

Kutoka ndani ya BAWATA kwa mtu ninayemwamini 100%, niliambiwa Tibaijuka alipewa hela za wahisani ambazo zilipitia serikalini, wizara inayoshughulikia mambo ya wanawake, kwa ajili ya kujenga umoja wa wanawake ambao sio mkono wa chama cha kisiasa kama ilivyo UWT.

Moja ya malengo makubwa ya hizi hela ilikuwa ni kutumika kuandaa katiba mpya ya BAWATA ambayo ingeendana na mission ya umoja huu. Mmoja wa deputy wa juu wa Mama Tibaijuka alikuwa ni mwanasheria, so, Tibaijuka, msomi aliyebobea, na deputy wake decided to go to "work" on the Katiba project.

Katiba ilipotoka ikaoneka imefanana, imekuwa scribed almost, kutoka katika ile ya UWT. Wanawake walipoisoma hawakuelewa kabisa, hawakuipenda. After all, mission ya BAWATA ilitakiwa iwe tofauti kabisa na UWT, na hiyo ndio ilikuwa kivutio, ilikuwa pitch, ya BAWATA na Tibaijuka. So, not surprisingly, wanawake went bananas!

Wakawauliza, hela za wahisani zimeenda wapi kama "kazi" yenyewe ndo hii mmefanya? Mtafaruku ukafukuta wizarani na BAWATA, Tibaijuka akatoa machozi ya mamba, wafuasi wake wakaamini kuwa CCM na Serikali wanaipiga vita BAWATA kwa sababu ni tishio kwa UWT. Mpaka leo, mpaka kesho, mpaka kufa, rekodi za juu juu za wafuasi wa Tibaijuka, BAWATA well wishers na outsiders wengine zitaonyesha BAWATA ilipigwa vita na CCM. Nisingesikia haya hata mimi ningeona wanachodai kambi ya Tibaijuka kina make perfect sense, kwamba UWT ilikuwa na mzizi dhidi ya Tibaijuka.

Lakini mmmmh! Inawezekana ukweli uko kwingine.
======

Chanzo chako ni 100% uwongo na wizi mtupu! Kinanuka CCM.
 
[ame=http://www.youtube.com/watch?v=CGE7opIBRYs]YouTube - Anna Tibaijuka replaced under unclear circumstances.[/ame]

[ame=http://www.youtube.com/watch?v=JciVb2eDuWU]YouTube - Anna Kajumulo Tibaijuka, UN-HABITAT-Interview part 1[/ame]

This woman is powerful. Whatever has happened, she is still an inspiration to TZ women.
 
Last edited:
What if this is part of UN Reforms process? Even Dr Migiro is still working under contract. This time Moon has given her one year extension only. Do you want to say this is demotion too? UN workers have all reasons to protest this as they know the process is on the way down and will catch a lot of them.....

Nadhani badala ya kuangalia hili suala kama la Mama Tibaijuka ni vizuri tukaliangalia kama mchakato wa mageuzi ya UN na labda pia style ya utendaji ya Ban Ki Moon ambayo ukweli inawaumiza vichwa wengi katika UN. Msishangae kuanza kuona watu wanakimbia UN badala ya kukimbilia kama tulivyozoea. Hata hivyo hii inaweza kuwa blessing in disguise kwani itawezesha kubadili utamaduni wa kiutendaji UN ambao ukweli umegubikwa na ufisadi na ubinafsi kama ilivyo katika asasi zingine zenye umri mrefu kama ilivyo UN.

Omarilyas
 
Msishangae kuanza kuona watu wanakimbia UN badala ya kukimbilia kama tulivyozoea.

Kama mlivyozoea wewe na nani? Halafu huwaga sielewi kwa nini watu (hasa wa kutoka ulimwengu wa tatu) huwaga wanaona kufanya kazi Umoja wa Mataifa kuwa ni bigi dili. Sielewi kabisa. I guess labda wanaona ni bigi dili kwa sababu pengine watakuwa wanapata fursa za kusafiri nchi za nje na kupewa viposho ktk hela za kigeni.....third world mentality..mweee
 
wandugu,

..sikilizine taarifa ya NTV iliyoletwa hapa. wanadai kuna ubadhirifu umetokea na uchunguzi unaendelea. pia Kenya walituma maombi Dr.Tibaijuka aondolewe ktk nafasi hiyo.
 
wandugu,

..sikilizine taarifa ya NTV iliyoletwa hapa. wanadai kuna ubadhirifu umetokea na uchunguzi unaendelea. pia Kenya walituma maombi Dr.Tibaijuka aondolewe ktk nafasi hiyo.

Duh! kama ni kweli basi noma aisee
 
Inaonekana Kenya hawakumkubali huyu mama (au ndio ile tabia yao kudharau wabongo). Na kwa mujibu wa NTV huyu mama alikuwa hajapokea barua. The UNEP boss simply announced that he is in charge. Is this how the UN works?

Maandamano ya kupinga uamuzi huu yamehusisha wafanyakazi wa UN kutoka Africa pekee (kwa mujibu wa video ya NTV). Something is going on here? Na kama kuna hujuma, ushauri wangu kwa huyu mama ni kujiuluzu hata nafasi aliyonayo UN-Habitat. Lakini kama amefanya ufisadi (as the NTV reporter tried to put it), then she has to face it. At this point, we are remained with more questions than answers.
 
Rev.

Unataka kuiwekea swali integrity ya Ban Ki Moon? kwamba anaweza kufanywa puppet na Kikwete kiasi cha kuambiwa nani wa kum fire bila kufuata msingi wa performance? Hii ni serious charge.

Kiranga,

Makatibu wakuu wote wa UN katika kipindi cha miaka 40 iliyopita wamekuwa makuwadi wa nchi fulani au vikundi fulani na si jamii zinazounda Umoja wa Mataifa. Ungemsikiliza Gordon Brown leo alipokuwa akihutubia Bunge la Marekani alipotoa mfano wa yule mtoto wa Rwanda ambaye baada ya kuteswa, maneno yamwisho aliyosema kabla kufa yalikuwa "United Nations is coming" and UN never showed up!

Nenda Congo kwenye hili sakata la Gen. Nkunda usikie jinsi UN ilivyokaa mguu pande. Was ni BaniKinMuni, Koffi Anan, Bhutros, Kurt or whomever, they have all failed to stand to defend humanity iwe Bosnia, Palestina, Myanmar, Rwanda, Kosovo even Darfur!

Kama wao Makatibu wakuu wa UN wangekuwa ni watu wenye principles, wangesimika mguu chini na si kuyumba na kuyumbishwa!
 
wandugu,

..sikilizine taarifa ya NTV iliyoletwa hapa. wanadai kuna ubadhirifu umetokea na uchunguzi unaendelea. pia Kenya walituma maombi Dr.Tibaijuka aondolewe ktk nafasi hiyo.

JokaKuu,

Now that is another gibande (sic0 of news kwamba Kenya walitaka aondolewe. What were the Kenyan's reasons?

Sasa hivi Kenya na Tanzania urafiki wetu kisiasa ni wa kinafiki, EAC inavuruga vicha, I would no be suprised that this was a political move by Kenya.

Hivi Anna Tibz na Mathai Wangari si wanapikwa chungu kimoja? then whomever who is adui of Mathai, will naturally become an enemy of Tibz!
 

Posted by Rev. Kishoka:
...I would no be suprised that this was a political move by Kenya.


Well, I would not be surprised if this was a first move to clean house and allow unprejudiced inquiry into alleged embezzlement at the UN office as reported in the news clip.
 
Back
Top Bottom