Masanja
JF-Expert Member
- Aug 1, 2007
- 4,820
- 8,886
Masanja pole sana kwa kuumia kwamba mama Tiba alipeleka mradi Muleba. Ungefurahi asiupeleke uko na apeleke wapi?
Kama ni kweli alifanya hivyo basi alifanya kazi njema kwa jamii yake na kama tukipata watz wengi UN watakaojali nyumbani tuna haja ya kufurahia wadanganyika kwenda kwenye mashirika ya kimataifa.
Lakini kama tukipeleka watu wa aina yako Masanja UN basi tuna hasara ya kutupa na hatuna haja ya kufurahia uwepo wa watz kwenye anga za kimataifa.
Nimesikia si Muleba pekee alikokuwa anafanyia kazi project zake kwenda mbele lakini hata miji ya Bukoba kwa habari ya maji, na miji ya Dar, miji kadhaa Uganda na miji kadhaa Tz ikiwamo na Dar.
Mungu akupe nafasi nyingine mama Tiba. Dumu kusaidia watz ambao kwa hakika wamejaa ufisadi kila kona na hawafurahii juhudi zako.
Mchukia Ufisadi hivi wewe unachukia ufisadi kweli au wewe ndo FISADI nambari wani (wa mawazo)? Au husomi mitundiko ya watu unajiandikia tuu?
Katika mitundiko yangu yote..sijaongelea anything to do with Mradi wa Muleba or anywhere..After all mimi sijui anything in that territory..sasa wewe unakuja unalipuka hapa ndugu yangu..Tafadhali bana/bibi!
Soma kwanza uelewe mtu anachozungumza, ndipo uanze ku-finger point. No where nimeongelea mradi wa Muleba au popote pale.
Tuendelee na mjadala!