Tibaijuka ashushwa cheo UN

Kupeleka mradi kwao sio jambo la kumsemea huyu mama, angalau yeye amekumbuka alikotoka kuliko wengine wanaopeleka nje ya nchi, pia msisahau "mcheza kwao hutunzwa", je watamtunza nini kama hukuwakumbuka? na kama hivi sasa akirudi kwao bado profile yake iko juu hata ubunge aweza kuukwaa, je kama angelikupa wewe Masanja wapi wapi ungelimtunza nini?

Pia, kumbukeni kila aliye na nafasi huanzia kwao, Msuya wakati akiwa Waziri kule Mwanga vipi, Mramba na ile barabara ya Rombo,Magufuri na barabara ya Mza- geita,Diallo na Community air,BWM na barabara ya Kilwa n.k

.

Masikini Tanzania. Kwa mitizamo kama hii tuna kazi kubwa....

Omarilyas
 
ana tibaijuka akagombee ubunge muleba! pia atagombea tibaigaba, na masilingi , kazi kweli kweli
 
Jamani watanzania wacha tuache unafiki, we always have something to comment! Hivi ni nani ambaye angepata hii nafasi akashindwa walau kutengeneza nafasi ama kusaidia watu wake.
Naamini kabisa kama huyu mama asingefanya haya leo hii mngemtukana sana na hata kumtemea mate.
I believe she might have some shortfalls lakini kung'ang'ania yale aliyofanya kama ndio sababu ya kumsema, please tafuteni sababu nyingine i think this is quite weak.
Mifano mnayo, wale viongozi wachache walio nchini tu kilasiku wanafanya mambo kwao hata kama kwao hakuna shida kama sehemu nyingi nchini! Leteni data credible za yeye kuwademoted - soon and very soon we shall know the truth.
 
Jamani watanzania wacha tuache unafiki, we always have something to comment! Hivi ni nani ambaye angepata hii nafasi akashindwa walau kutengeneza nafasi ama kusaidia watu wake.
Naamini kabisa kama huyu mama asingefanya haya leo hii mngemtukana sana na hata kumtemea mate.
I believe she might have some shortfalls lakini kung'ang'ania yale aliyofanya kama ndio sababu ya kumsema, please tafuteni sababu nyingine i think this is quite weak.
Mifano mnayo, wale viongozi wachache walio nchini tu kilasiku wanafanya mambo kwao hata kama kwao hakuna shida kama sehemu nyingi nchini! Leteni data credible za yeye kuwademoted - soon and very soon we shall know the truth.

Halafu ndiyo tunataka kumaliza ufisadi?

Nepotism is deplorable, two wrongs do not make a right. Kwa sababu wengine wanafanya hivyo haisababishi tushushe viwango vyetu. Rwanda maelfu ya watu waliua, lakini hili halipunguzi ubaya wa kuua.

Naona hatuwezi kutokomeza ufisadi kama tunakemea tu kwa sababu sio sisi tulio katika usukani, na tunamezea mate siku moja tukishika usukani tupeleke miradi vijijini kwetu haraka.

Hivi kwa nini ni vigumu sana kuelewa concept ya "conflict of interest" ?
 
Kiranga lazima uelewe sitetei ufisadi hasirani, lakini haitoshi tu kumhukumu huyu mama kwa kupeleka sehemu ya miradi huko Muleba! Ulitaka apeleke Nachingwea - lakini yote si Tanzania? We tatizo lako liko wapi?
I would love to see you exhausting on other issues rather than this? Ama labda sijui vizuri ndugu yangu nifundishe? Or are you trying to say this mama ni fisadi? Please i stand to be educated!
 
Njoomloli, umeulizwa swali hujajibu. Unaelewa dhana ya "conflict of interest"? Whether it's by chance or necessity, huu mradi kupelekwa Muleba si bure. Hapo ndio ujue uongozi ni dhamana. Well, kama unabisha huyu mama hakucheza faulu, tueleze vigezo vilivyotumika kuichagua wilaya ya Muleba na si Nachingwea au Kondoa au Mvomero? Assume huyu mama hakuwa bosi wa UN-Habitat, unafikiri Muleba ingechaguliwa kutekeleza huu mradi? Binadamu ndivyo tulivyo. Ni vigumu mno kumpenda jirani yako nafsi yako!
 
Tabia hii ya kuonyesha kidole wale waletao maendeleo badala ya kuwapongeza ni hatari. Badala ya kushukuru Mama Tibaijuka kwa kuleta miradi nyumbani mtu na akili zake timamu anaishia lawama na kutafuta kasoro, eti pia kapeleka kwao! Je tutafika kwa fikra finyu kama hizi?

Pepe
 
Njoomloli, umeulizwa swali hujajibu. Unaelewa dhana ya "conflict of interest"? Whether it's by chance or necessity, huu mradi kupelekwa Muleba si bure. Hapo ndio ujue uongozi ni dhamana. Well, kama unabisha huyu mama hakucheza faulu, tueleze vigezo vilivyotumika kuichagua wilaya ya Muleba na si Nachingwea au Kondoa au Mvomero? Assume huyu mama hakuwa bosi wa UN-Habitat, unafikiri Muleba ingechaguliwa kutekeleza huu mradi? Binadamu ndivyo tulivyo. Ni vigumu mno kumpenda jirani yako nafsi yako!

sasa tatizo hapa ni huo mradi kwenda muleba na sio nachingwea au kondoa au mvomero? mbona hiyo miradi ingepelekwa hizo sehemu unazotaja naamini wangetokea watu wangelalama kwamba kwa nini mradi usiende msumbiji, mali, guinea nk.

nakumbuka kunawakati zilikuwapo sauti zinalalama kwamba salim wakati yupo au hakuvuta watanzania kwenye shirika hilo.

nifahamuvyo mimi kwenye haya mashirika watuwatumishi hujitahidi kupeleka miradi mbali mbali nchini mwao ndio maana baadhi ya mataifa wanajitahidi kuingiza watu wao kwenye haya mashirika.
 
Mlitaka azeekee ktk cheo hiko? Hivi kwanini hatukubali ktk positive kuwa amepewa mwingine nae a-deliver? na ndio kwa siasa hizi Viongozi waafrika huwa hatutaki kuachia madaraka, tunataka tukae kama wafalme...!!! ukitolewa ugomvi!!!

Tibaijuka kama unasoma thread hii au kufikishiwa, please accept hicho ulichonacho sasa, hata pale ulipopewa wewe, maana yake kuna mwingine nae aliachishwa kazi...

Wadau TUACHE MAWAZO MBONYEO!!!!
 
Back
Top Bottom