Uwezo Tunao
JF-Expert Member
- Nov 14, 2010
- 6,942
- 1,190
- Thread starter
- #41
Huo utaku ni ukosefu wa uwezo wa kuona mbele zaidi juu ya sakata la mgomo wa Madaktari; eneo hili la Afya si eneo la kufanyia majaribio kama vile tulivyofanya kwa Walimu VODA FASTA
Jamani kwa maamuzi ya aina hiyo tutaua watu hivi vile vile hata nao madaktari wapya kuna siku watakuja na madai zaidi ya haya ya hivi leo.
Je tukija kujikuta katika hali ya ki-mgomo na hao madaktari wanaotazamiwa hivi sasa, uamuzi wetu tena utakuja kuwa ni wa kuendeleza huo mchezo wa kuajiri wengine?
Jamani kwa maamuzi ya aina hiyo tutaua watu hivi vile vile hata nao madaktari wapya kuna siku watakuja na madai zaidi ya haya ya hivi leo.
Je tukija kujikuta katika hali ya ki-mgomo na hao madaktari wanaotazamiwa hivi sasa, uamuzi wetu tena utakuja kuwa ni wa kuendeleza huo mchezo wa kuajiri wengine?
Kuna habari kuwa serikali inatayarisha Tangazo la ajira kwa nafasi za Udaktari na udaktari bingwa haraka iwezekanavyo.
Je, hii inaweza kuwa long term solution ya matatizo ya mgomo wa madaktari.