Uwezo Tunao
JF-Expert Member
- Nov 14, 2010
- 6,942
- 1,190
- Thread starter
- #81
CCM KUSHUKA VIWANGO VYA SIASA KIASI HIKI WATANZANIA TUTARAJIE KUSIKIA MAAJABU MAZITO ZAIDI KULIKO YALE YALIOIBULIWA NA KAMPENI ZA ARUMERU MASHARIKI
Ukiona CCM sasa inainamia silaha mpya kama vile:
(1) 'VURUGU ZA GREENGUARD-Mwigulu', (2) 'Ukabila-Ole Sendeka' na sasa (3) 'Oparesheni Kimbiza Kivuli cha Mwalimu Nyerere kila kona ya Nchi' inayoongozwa na Rais Mstaafu Benjamin Mkapa akisaidiana kwa karibu sana na Mzee wa Usingizi wa Pono Mzee Wasira a.k.a. Mzee Tyson, ni wazi kwamba hali si shwari hata kidogo ndani ya CCM
Si miezi mingi sana Watanzania tutashuhudia maajabu ya dunia zaidi ya yale yanyoendelea kuibuliwa kwa CCM kwenye kampeni kule Arumeru Mashariki; watch this space.
Ukiona CCM sasa inainamia silaha mpya kama vile:
(1) 'VURUGU ZA GREENGUARD-Mwigulu', (2) 'Ukabila-Ole Sendeka' na sasa (3) 'Oparesheni Kimbiza Kivuli cha Mwalimu Nyerere kila kona ya Nchi' inayoongozwa na Rais Mstaafu Benjamin Mkapa akisaidiana kwa karibu sana na Mzee wa Usingizi wa Pono Mzee Wasira a.k.a. Mzee Tyson, ni wazi kwamba hali si shwari hata kidogo ndani ya CCM
Si miezi mingi sana Watanzania tutashuhudia maajabu ya dunia zaidi ya yale yanyoendelea kuibuliwa kwa CCM kwenye kampeni kule Arumeru Mashariki; watch this space.