The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,080
Dah!!! Bishanga banaa.....lol!!!
na nikiweka ya Asha Rose Migiro itakuwa ina maana kuwa?I love your Avatar (thou ni repetition)
Nyumba kumbwa anampenda yule baba asikwambie mtu, moja ya sababu alitoa eti because ni mzee wa RED kila mahala.... mie naona as much as ni ya Mwanaume it so reflects the person behind the Avatar as much as ni mwanamke.... It says am not seeking for attention, am serious, i don't want unizoee vibaya and I am tough!! lol
Haloo Dear
Hope umekuwa na weekend njema
Niko salama kabisa napambana na Bishanga hapa
nyumba kubwa is an exception kwa kweli, na mimi ngoja niweke ya dada Asha Rose Migiro,my idol.
Dah!!! Bishanga banaa.....lol!!!
nitafutie Bebii basi umwambie kesho jumapili anipeleke movie mlimani city,kisha samaki samaki,kisha.......Mimi huwa nikisafiri muda wangu ambajo sina kazi nautumia kuangalia movies
Naweza maliza siku nzima rum kama sina kazi naangalia movies tuu na documetary
Kweli kabisa mkuu
Idle sometime ni mbaya san a
we iweke,lakini kwanza muulize CLEMMY anavyosumbuliwa pm na vidume..
wakati na yeye kidume lol...
Weekend kama unavoona B' anatuchangamsha hapa.... Mie mzima kabisa
Hongera nimeipenda saana Avatar....
ushaolewa weye?
nitafutie Bebii basi umwambie kesho jumapili anipeleke movie mlimani city,kisha samaki samaki,kisha.......
The Finest portrays nothing for The Finest BUT The Finest!! lol
Jamaa mpaka alirusha Uzi Complaints....lol...
Kuna dada akamwita jina la Vigezo vya Cameron,
Yeye mwenyewe karudi ile ya zamani ya Hitler...
Asante sana na kwangu iko poa pia
Dogo ana msimamo sana na niliipenda sana movie yake na Christina Milan huwa siichoki kuiangalia
acha kujipendekeza,kwa lipi hasa? kwanza anatuchukulia mabibi zetu.
acha kujipendekeza,kwa lipi hasa? kwanza anatuchukulia mabibi zetu.
Kwa msimamo namkubali... Mie ni mmoja ambao nilifikiri hawata dumu!
I am proud of them kwa kweli wamshinda hata mapepe Kim Kard....