Where the ladies at jamani? Lol!!!The Finest portrays nothing for The Finest BUT The Finest!! lol
Nashukuru Mkuu hali inarudi kawaida sasa mimi hii picha yangu itabidi niipumzishe kwa mudakafanya nini?
pole na kuumwa ndugu yangu.
Sawa bwana brazameni NickBora umesema wewe maana hapa na avatar ni vitu viwili tofauti
The Finest is not the Finest any more lol
Bora umesema wewe maana hapa na avatar ni vitu viwili tofauti
The Finest is not the Finest any more lol
acha kujipendekeza,kwa lipi hasa? kwanza anatuchukulia mabibi zetu.
ha haa sikujua kama 'kabadili.lol...
Where the ladies at jamani? Lol!!!
Nashukuru Mkuu hali inarudi kawaida sasa mimi hii picha yangu itabidi niipumzishe kwa muda
Sawa bwana brazameni Nick
Asante Gaijin najisikia nafuu sasa kuna vidume vikiona hizi salamu zako za poleThe Finest ulikuwa ukiumwa?
Pole eee mtoto mzuri.
Kule kwetu tunasema ukiumwa maanake Mungu anakukumbuka
usintishe kwani ana mapembe? achana na mzushi uporoto wa fantasy world,in real world huku mtaani kwetu msasani mandazi rodi umeolewa?
Asante Gaijin najisikia nafuu sasa kuna vidume vikiona hizi salamu zako za pole
vitaingiwa na wivu...lol
chukua the finest tupia kwa member mpya.Husninyo kanambia amechoka kuvumilia,hataki msongamano.
Asante Gaijin najisikia nafuu sasa kuna vidume vikiona hizi salamu zako za pole
vitaingiwa na wivu...lol
hivi inawezekana,by any chance whatsoever,akawa anatoka na mtu? no waaaaaaaaaaaaaaay meeeeeeeeeeeeen!
Where the ladies at jamani? Lol!!!
Nashukuru Mkuu hali inarudi kawaida sasa mimi hii picha yangu itabidi niipumzishe kwa muda
Sawa bwana brazameni Nick
Vidume vya JF vilijishukuria The Finest anaumwa, walau na wao wakapata kupaishwa kidogo. Kwa umerudi na salam zimekuwa nyingi lazima wawivuke :]]