Mkuu huo uchonganishi sasa! wengine wakisikia?
Nimeongea taratibu bana hakuna aliyesikia si nimekuambia wewe tuu kwani kuna mwingine
Mkuu huo uchonganishi sasa! wengine wakisikia?
Husninyo kanambia amechoka kuvumilia,hataki msongamano.
Hahaha! Boss haya bana ngoja mimi nipige kimya, hivi Nemo hajatia maguu bado lol!salaam za pole zina reveal 'secrets admirers' lol
Boss muulize Bishanga anajua maana ya LAY LOW akiishajua mwambie yeye na Rocky wasiwe wanalalamika.....lol!
halafu wewe lol....
unakumbuka nilikwambia ikifanyika research humu,itakuwaje?umeonaa?lol
Hakyababu lol! Halafu vidume vimeishaanza kuchafua CV yangu ili nisipate mke humu.Vidume vya JF vilijishukuria The Finest anaumwa, walau na wao wakapata kupaishwa kidogo. Kwa umerudi na salam zimekuwa nyingi lazima wawivuke :]]
Boss si useme tuu TF atakuwa anaongoza maana naamini PM yake inabidi kila siku afute msg zilivyo nyingi na yeye ukimkosa kwenye thread ujue kabana PM
Hakyababu lol! Halafu vidume vimeishaanza kuchafua CV yangu ili nisipate mke humu.
Hakyababu lol! Halafu vidume vimeishaanza kuchafua CV yangu ili nisipate mke humu.
nilishamwambia hivyo na yeye anajua,nimesahau jina la thread...
Khaaa! Weee Nick kwani PM huwa kuna thread ya kuchangia?Boss si useme tuu TF atakuwa anaongoza maana naamini PM yake inabidi kila siku afute msg zilivyo nyingi na yeye ukimkosa kwenye thread ujue kabana PM
Hahaha .....vipi limekuhusu? :]
haijanihusu...kwangu its a everyday ritual..
ingawa labda dogo 'anashika bendera'....
inahusu kwa wengine and i feel their 'pain' lol
Halafu eti anasema sisi ndo tunahariobu CV yake wakati anajiharibia mwenyewe
Halafu kumbe Bebii kabatizwa anaitwa Smile sasa na avatar nyingine ili avikamate vidume vilivyo natumaini this time vidume vitamtumia sana PM kwa avatar na jina lake jipya...lolnilishamwambia hivyo na yeye anajua,nimesahau jina la thread...
Hahaha nambie weee.....
Lol....hivi uliweza kum-asses Kongosho wa Boss maana sikuwepoLawyer Klokwini yupo hapaharibiki neno. Fitina zao bureeee
dont start with me Gaijin lol