The beauty and the ugly.

Mkuu sometime unajikumbushia ulimwengu unaendaje kwa kuangalia movies mbalimbali mpya na za zamani
Maana sometimne dailoy routine inachosha au ukiwa mbali na familia mkuu movie ni nzuri sana haswa comedy
watoto wakinibeba wakanipeleka movie mlimani city huwa naishia kusinzia,sinema moja tu niliipenda ilitoka wakati wa kampeni za Obama inaitwa..'dude where is my country?'nilicheka mpaka basi.
 
Hamna cha trendy....swala ni interest!!
Interest za wanawake na za wanaume hazifanani...namna ya wanawake na wanaume kufikiri haifanani....ndo maana unaona utofauti mkubwa!!
Hata wadada sio wote wenye avatar zinazohusiana na urembo au wakaka wote wenye avatar zilizokaa ''vululu vululu'' kwasababu tunatofautiana!

kwenye red hapo,kwa hiyo tukifanya mambo tofauti kama vile ku cheat msiwe mnatusimanga basi,au?
 
watoto wakinibeba wakanipeleka movie mlimani city huwa naishia kusinzia,sinema moja tu niliipenda ilitoka wakati wa kampeni za Obama inaitwa..'dude where is my country?'nilicheka mpaka basi.

Mkuu movie napenda sana na nina external drive ya one terabyte ina current movies tupu
Na nikiwa na muda napenda sana kuangalia mkuu
 
Raha jipe mwenyewe kama alivyojipa Canon na "dembabies" wake :]

Walimsema sana dogo kuwa kaoa mama mzee ohhh sijui anakimbilia pesa za Mariah

Ila Mungu bana kampa watoto wake wawili hana wasi wasi
Na anakula raha na mke wake
 
Mwanzo nilikua sina avatar nikaambiwa na watu it is not easy kutambua jinsia yangu (still wondering if it was relevant). Baadae nikawa na avatar ya cartoon nikaambiwa haipendezi na hai-express personality. Natakiwa kuweka avatar ya binadam. Then nikaweka hii hapa.
Mbona avatar ya Nyumba Kubwa hamja itaja? I really like it!
 
Walimsema sana dogo kuwa kaoa mama mzee ohhh sijui anakimbilia pesa za Mariah

Ila Mungu bana kampa watoto wake wawili hana wasi wasi
Na anakula raha na mke wake

Ukisikiza maneno ya watu hutafanya lako dunia hii.

Ishi vile upendavyo, binaadamu huwezi kumridhisha abadan asilan
 
Mkuu movie napenda sana na nina external drive ya one terabyte ina current movies tupu
Na nikiwa na muda napenda sana kuangalia mkuu
najua you learn a lot from movies na pia bila shaka inakusaidia usiwe na idle time,si unajua idle time huzaa mabalaa mengi?
 
Mwanzo nilikua sina avatar nikaambiwa na watu it is not easy kutambua jinsia yangu (still wondering if it was relevant). Baadae nikawa na avatar ya cartoon nikaambiwa haipendezi na hai-express personality. Natakiwa kuweka avatar ya binadam. Then nikaweka hii hapa.
Mbona avatar ya Nyumba Kubwa hamja itaja? I really like it!


I love your Avatar (thou ni repetition)

Nyumba kumbwa anampenda yule baba asikwambie mtu, moja ya sababu alitoa eti because ni mzee wa RED kila mahala.... mie naona as much as ni ya Mwanaume it so reflects the person behind the Avatar as much as ni mwanamke.... It says am not seeking for attention, am serious, i don't want unizoee vibaya and I am tough!! lol
 
najua you learn a lot from movies na pia bila shaka inakusaidia usiwe na idle time,si unajua idle time huzaa mabalaa mengi?

Mimi huwa nikisafiri muda wangu ambajo sina kazi nautumia kuangalia movies
Naweza maliza siku nzima rum kama sina kazi naangalia movies tuu na documetary
Kweli kabisa mkuu
Idle sometime ni mbaya san a
 
Mwanzo nilikua sina avatar nikaambiwa na watu it is not easy kutambua jinsia yangu (still wondering if it was relevant). Baadae nikawa na avatar ya cartoon nikaambiwa haipendezi na hai-express personality. Natakiwa kuweka avatar ya binadam. Then nikaweka hii hapa.
Mbona avatar ya Nyumba Kubwa hamja itaja? I really like it!
nyumba kubwa is an exception kwa kweli, na mimi ngoja niweke ya dada Asha Rose Migiro,my idol.
 
Ukisikiza maneno ya watu hutafanya lako dunia hii.

Ishi vile upendavyo, binaadamu huwezi kumridhisha abadan asilan

True kabisa
Nakubaliana na wewe
Na uwe na msimamo wako na usimamie kile kwako ambacho unakiona uko sahihi na hauhakiuka lolote kwenye jamii yako
 
Back
Top Bottom