Technohama

KRT

Member
Feb 10, 2011
6
0
Nimeshuhudia vitabu vya shule za msingi za somo la Tehama, hivi waalimu wanafundishaje? maana vina mambo ya computer parts na kazi zake, computer peripherals na kazi zake, Internet/mtandao wa simu na computer, technologia ya habari.

Nawahurumia sana waalimu kwani ni kazi ngumu mno kufundisha usichokielewa. Great thinkers please advise.

Najitambulisha kwa hii thread.
 
Back
Top Bottom