TCU yaidhalilisha UDSM...

Mtoa mada anamaanisha tunaosoma vyuo vingine tofaut na ud tumepotea! Dhaili jamaa hawez kuw grt thinker kabisa!
 
kilaza mwenzie

Na bado vyuo vitazidi kuongezeka tu.Roho zinawauma mlitaka muonekane lulu nchi hii wakati wengine mlifika hapo ud kwa kukariri tu.

Upuuizi wa vyuo vichache vya umma uko bongo tu.Tungekuwa makini leo hii vyuo vikongwe kama ud vingekuwa vingi tu ila ni hao viliaza waliosoma ud ndio walishindwa kuwa na sera nzuri ya elimu ya juu.

Miaka ya nyuma eti mtu akipata division 2 basi hawezi soma degree ya sheria.Sasa unafikiri hiyo ni sifa kama sio kudumuza elimu ya juu.Mtihani wa mara moja sio kipimo na ndio maana vyuoni utaratibu ni tofauti.

Hizo zilikuwa zama za giza kwa elimu ya juu na ndio maana mpaka leo nchii graduates ni wachache.
 
Na bado vyuo vitazidi kuongezeka tu.Roho zinawauma mlitaka muonekane lulu nchi hii wakati wengine mlifika hapo ud kwa kukariri tu.

Upuuizi wa vyuo vichache vya umma uko bongo tu.Tungekuwa makini leo hii vyuo vikongwe kama ud vingekuwa vingi tu ila ni hao viliaza waliosoma ud ndio walishindwa kuwa na sera nzuri ya elimu ya juu.

Miaka ya nyuma eti mtu akipata division 2 basi hawezi soma degree ya sheria.Sasa unafikiri hiyo ni sifa kama sio kudumuza elimu ya juu.Mtihani wa mara moja sio kipimo na ndio maana vyuoni utaratibu ni tofauti.

Hizo zilikuwa zama za giza kwa elimu ya juu na ndio maana mpaka leo nchii graduates ni wachache.


u have my ''LIKE''
 
sipendi mijadala kama hii, ubora wa elimu siku zote uko na mtu mwenyewe na juhudi zake binafsi
 
jaman kumbe ubaguz upo wa aina nyingi hata huu ni ubaguzi kielimu udsm wanapowakataa hao waende wakasome wap sasa?.
 
Back
Top Bottom