Duh kweli wewe bado Form Six. Unakamuwa nini sasa wakati unaweza kukuta course iliyofundishwa mwaka jana First year imehamishiwa 3rd Year au Mwalimu wake ameenda sabbatical Leave? Chuo unasoma kwa semester ukimaliza tupa kule Mdogo wangumkuu umenitisha bali nimepiga 1 safi na wamenipa iyo kitu mh! Inabidi nianze kukamuwa muda huu