<br /><font size="4"><i>Mtoto wa mkulima hajaenda chuo anajua kukaa kwenye computer na kuchangia hoja jamiiforums!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!</i></font>
<br /><font size="4"><i>Mtoto wa mkulima hajaenda chuo anajua kukaa kwenye computer na kuchangia hoja jamiiforums!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!</i></font>
<br />Mzazi kama ni ivyo kunawatu wanakula milioni 3 laki tisa. Mbona inazidi ada field na research alwns cs ada yake ni 1100000 kwa mwaka na ni human resourcs tena ana wazazi tena mambo safi. Vipi hii<br />
<br /><br />
<br />
Angalia website yao watatoa matangazo kama imeanzaInaanza lini rufaa and how can i do t?<br />
<br /><br />
<br />
<br />kwa miaka mitatu au mwaka mmoja?
ahaaaa! Kama Ed. basi ni haki yake. Amekula kitu cha 100% mpe pongezi bhana. Maana wengine tuameambulia 80% lakini ni BAA.
kama kwa mwaka mmmoja kuna watu itakuwa inazidi.<br /><br />
<br /><br />
mwaka mmoja, ada zinatofautiana baina ya chuo na chuo pia walisema kwa vyuo vya private wao wanaotoa ada kwa kuangalia vyuo vya serikali. Hvyo ada nikubwa kuliko mkopo inabidi ujigharamie zilizobaki.
Combination gani? Au Bible Knowlegde,Food Science na BAM?? lol
heheheee. Hapana ndugu, ni B.A.in Archeology.Combination gani? Au Bible Knowlegde,Food Science na BAM?? lol
<br />Waungwana ni % ngapi iyo??
course yako ni ya miaka mingapi?Wajamen emb nambien mnakalkulate kiwaje asilimia??me nina mil.4,ada mil.1.2....nmeshndwa kugundua!
Hivi mnakumbuka kama kuna kulipa hizo pesa?
<br />
<br />
hesabu ndogo za kidato cha kwanza. Acha kumwaibisha mwl wako.
<br />kama kwa mwaka mmmoja kuna watu itakuwa inazidi.