<br />hivi ndio wamemaliza kutoa mikopo au kuna batch zingine zinafuata?..
kwa miaka mitatu au mwaka mmoja?Hiyo ela ya heslb ni kwa ajili ya accomodation & stationary allowance...gharama za ada zilizobaki ni juu yako.
<br />hivi ndio wamemaliza kutoa mikopo au kuna batch zingine zinafuata?..
<br />Hiyo ela ya heslb ni kwa ajili ya accomodation & stationary allowance...gharama za ada zilizobaki ni juu yako.
course yako inahitaji kiasi gani kwa mwaka?
<br />laki saba kwa mwaka!
Umepata mia ya mia...
ahaaaa! Kama Ed. basi ni haki yake. Amekula kitu cha 100% mpe pongezi bhana. Maana wengine tuameambulia 80% lakini ni BAA.Uyu ni bwana mdogo, kapata BED-ARTS.
<br />Watu vichwa joto cjui inakuaje hapa.. Mkopo cjui ni 8% hii. Kila ninapopigia hesabu inag0ma. Any 0ne frm heslb here? O mwenye ukaribu nao..? Tanzanian tupambanuane am0unt na maitaji wakuu
Ila so mbaya sn, nilikula 80% hata mm.ahaaaa! Kama Ed. basi ni haki yake. Amekula kitu cha 100% mpe pongezi bhana. Maana wengine tuameambulia 80% lakini ni BAA.
Ila so mbaya sn, nilikula 80% hata mm BA Ed.ahaaaa! Kama Ed. basi ni haki yake. Amekula kitu cha 100% mpe pongezi bhana. Maana wengine tuameambulia 80% lakini ni BAA.
hawa jamaa cjui wanapangaje. Yaani kuna watu walistaili mkopo mkubwa zaidi yangu ila hawajapewa.Ila so mbaya sn, nilikula 80% hata mm BA Ed.