JMC prod
Member
- Aug 4, 2011
- 90
- 2
Wametoa viwango kamili vya fedha vikiwa vimeandikwa loan amount. Hatujui ni kwa mwaka o miaka 3. Ni pam0ja na acumdatn na meal o vipi. Yani nishapata moto
<br />
<br /><br /><br />
<br /><br />
bord hawatoi interms of percentage?. Sijakuelewa naomba unieleweshe.
<br />