Mwana Mpotevu
Platinum Member
- Sep 7, 2011
- 3,295
- 2,500
- Thread starter
- #21
NI KWELI KAKA
kwani nilikuwa nikimsikia spika akiongea wakati habari zikisomwa
wanaudhi sana hawa TBC utadhani ni kituo cha vichochoroni.
NI KWELI KAKA
kwani nilikuwa nikimsikia spika akiongea wakati habari zikisomwa
Inaonekana mkuu alikuwa anatazama live bunge la leo.
na katika hayo aliyoyasema yote ni sahihi ukizingatia mwenendo wa bunge la leo.
tbc ni janga la tanganyika.
Hili shirika halijakaa kama shirika la habari. sijui ni dudu gani.
ndio amatatizo ya kupeana ajira za undugu ..hakuna mtaalamu hapo wamepeana tu ajira kiundugu kwa hiyo tutegemee madudu kwa sana tu
Umelazimishwa kutazama TBC?
mbona kuna TV nyingi ambazo wanaweka habari saa 2?
hebu msituchonganishe na serikali yetu bana! mambo mengine ni udhaifu wa watendaji tu.
hivi lini Tanzania tutajivunia kuwa na TV bora kama kila siku madudu tu kama haya?
Hapa nasikiliza TBC habari TV, nasikia sauti mbilimbili, namsikia shyrose kwa mbaliiii na spika pia duh haya mambo gani jamani TBC taifa??? Shyrose anashukuru na habari ya Tandahimba juuu
Mkuu utakufa kwa jazba, tua huu mzigo uwe huru.
Kwa siku unaumia mara ngapi kwa kumtetea shetani??
TV station inaboronga tunaikosoa wewe unapata pressure, umejivua ufahamu aisee.
Pole sana coz najua kumtetea shatani ni kazi ngumu sana.
binafsi nimeona hlo tukio, nasikitika kuwa siyo mara ya kwanza, lakini pia TBC ni chombo kikubwa cha habar ambacho no mali yetu sisi Watz, wanapokosea tuna haki ya kusema, kwa sasa TBC ni kama imepoteza dira siyo kwa hilo la leo tu bali hata vipindi vyake vinapoteza dira.Umelazimishwa kutazama TBC?
mbona kuna TV nyingi ambazo wanaweka habari saa 2?
hebu msituchonganishe na serikali yetu bana! mambo mengine ni udhaifu wa watendaji tu.
Umelazimishwa kutazama TBC?
mbona kuna TV nyingi ambazo wanaweka habari saa 2?
hebu msituchonganishe na serikali yetu bana! mambo mengine ni udhaifu wa watendaji tu.
Huyu Tume ya Katiba ni janga la kitaifa achana naye asikupe tabu mkuu
Mkuu tuna mengi ya kujadili ya maana sana sio TBC tena tumeshafunga huo mjadala now tunajadili hawa wageni wanaohamia CDM ndio vichwa VINAUMA. TBC waachieni wenyewe jamani!Hapa nasikiliza TBC habari TV, nasikia sauti mbilimbili, namsikia shyrose kwa mbaliiii na spika pia duh haya mambo gani jamani TBC taifa??? Shyrose anashukuru na habari ya Tandahimba juuu
Mbona habari za PROPAGANDA huwa zipo safi tu, inaonekana walioajiriwa TBC ni maalumu kwa kutangaza propaganda
kwa kweli wana matatizo makubwa tangu Tido aondeke quality ya kazi ya TBC1 imeshuka sana!Hapa nasikiliza TBC habari TV, nasikia sauti mbilimbili, namsikia shyrose kwa mbaliiii na spika pia duh haya mambo gani jamani TBC taifa??? Shyrose anashukuru na habari ya Tandahimba juuu
Akirudi toka Brazil mwambie atueleze ametekelezaje maazimio ya Bunge kuhusu Jairo kama kweli Bunge liko huru na serikali inakubali kuwajibishwa. Acha uvivu wa kufikiri jitahidi uwe Great Thinker japo siku moja moja
acha ulimbukeni mwana unakuwa kama mtoto wa mbw.....