Petiro
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 309
- 45
Asante kwa taarifa. Hata sisi wakazi wa ubungo kibangu opp na Amec Dispensary hatujawahi kupata maji tangu mwaka jana. Mimi napendekeza hivi ifanyike uhakiki wa wateja wapi wanaopata maji na wale wasiopata japo wameunganishiwa bomba(ya wachina). Na baada ya hapo hao Dawasco watupe mikakati ya dharura na kudumu ili kutatua tatizo hilo