sure 100%Pole mkuu Mungu akujali moyo wa kusamehe na kusahau ili usije beba dhambi isiyo yako, mwaache km haki imekosekana hapa dunia basi elewa itapatikana kwa Mungu
sure 100%Pole mkuu Mungu akujali moyo wa kusamehe na kusahau ili usije beba dhambi isiyo yako, mwaache km haki imekosekana hapa dunia basi elewa itapatikana kwa Mungu
Asante mkuuPole sana mkuu.
Pole sana Mkuu dunia imekuwa na watu makatili hawana ubinadam hawamuogopi hata aliye waumba! Hata wao hawajui hatma zao! Pole ndugu.Tarehe kama ya leo 2008 siku niliyompoteza dada yangu kipenzi Rose B Masawe kwa kifo cha kikatili ni kwa kuchinjwa na msemeno na muuwaji yupo huru paka leo pumzika kwa amani dada yangu Rose Masawe kifo chako kiliaribu maisha yangu kabisa
Asante sanaPole sana
Ni kweli binadamu wana roho mbaya sana ni bora na mnyamaPole sana Mkuu dunia imekuwa na watu makatili hawana ubinadam hawamuogopi hata aliye waumba! Hata wao hawajui hatma zao! Pole ndugu.
Alikuwa mpenzi wakesitoweza kusahau kwasababu ningekupa historia ya maisha yangu na jinsi huyo dada alivyokuwa msaada wangu utaamini ni ngumu kusahau kwasabu alikuwa ndiyo baba ndiyo mama yani huyo aliye muuwa ni bora ata asingezaliwa yani namuona kama shetani
Asante kuna mambo yanatokea duniani paka unafikiri sana na kujiuliza maswali yasiyo na majibu ila ndio hivyo akuna jinsiPole sana.
Baada ya kusoma huu uzi wako page ya kwanza mpaka ya mwisho nimefeel maumivu makubwa sana.
Mungu akufute machozi
Jamaa alikuwa Mkibosho?Asante kuna mambo yanatokea duniani paka unafikiri sana na kujiuliza maswali yasiyo na majibu ila ndio hivyo akuna jinsi
Alikuwa mume wake kabisaAlikuwa mpenzi wake
Huyo jamaa ana hela SanaAlikuwa mume wake kabisa
Mkuuu pole sanaaaa mkuuuu wanguu hii ndio nchii yangu na yakooTarehe kama ya leo 2008 siku niliyompoteza dada yangu kipenzi Rose B Masawe kwa kifo cha kikatili ni kwa kuchinjwa na msemeno na muuwaji yupo huru paka leo pumzika kwa amani dada yangu Rose Masawe kifo chako kiliaribu maisha yangu kabisa
Wa uhuru paka leo yupoJamaa alikuwa Mkibosho?
HapanaHuyo jamaa ana hela Sana
Kama unamuona kwa nini usimshtaki kwenye vyombo vya sheria?Wa uhuru paka leo yupo