Auz
JF-Expert Member
- Apr 6, 2016
- 13,188
- 10,915
Kwa hiyo nia sio kutoa msaada ili haki ipatikane, ni kujua iwe kama sehemu ya umbea, ubuyu fulani hivi?Weee tena mimi ni Chai-coholic kabsa, nikisikia fyeeeeee...huyu hapa nimejaa!
Sent using Jamii Forums mobile app