<br />OMG... Uko wapi Husny?? lol
<br />Husny swagger zako hizo... acha kuvunga... Uporoto kaniambia uko wapi... na pic kanitumia....lol
<br />
<br />
hahahaha! Uporoto anataka makonzi sasa.
Nakuja pande hizo. Natamani kama nikutafute. Lol.
<br />Husny unajua kabisa you are welcome mda wowote 24/7... You are family bana...lol<br />
<br />
Kunitafuta ni lazima... otherwise Ban itakujia...lol
<br />Nimekaa chini kugeuka nikaona miguu mitatu ya mbwa,mmoja sijui kalipeleka wapi baadaaaaae nikaona kama maji yanamwagika hivi then nikaona mguu mmoja wa nyongeza!
<br />ha ha ha.... Dah! Husny Mbona Paw ni another level kabisa! aiseee....lol
Sangara umenikumbusha la muhimu saaana..... Thank you... Bless you.