Taratiiiibu…. Geuka Nyuma!!!

<br />
<br />
nilikuwa mpwapwanyo restaurant. Sahivi nimegeuka nimeona kishtobe changu. Lol.



Husny swagger zako hizo... acha kuvunga... Uporoto kaniambia uko wapi... na pic kanitumia....lol
 
Husny swagger zako hizo... acha kuvunga... Uporoto kaniambia uko wapi... na pic kanitumia....lol
<br />
<br />
hahahaha! Uporoto anataka makonzi sasa.
Nakuja pande hizo. Natamani kama nikutafute. Lol.
 
<br />
<br />
hahahaha! Uporoto anataka makonzi sasa.
Nakuja pande hizo. Natamani kama nikutafute. Lol.


Husny unajua kabisa you are welcome mda wowote 24/7... You are family bana...lol

Kunitafuta ni lazima... otherwise Ban itakujia...lol
 
Nimekaa chini kugeuka nikaona miguu mitatu ya mbwa,mmoja sijui kalipeleka wapi baadaaaaae nikaona kama maji yanamwagika hivi then nikaona mguu mmoja wa nyongeza!
 
Husny unajua kabisa you are welcome mda wowote 24/7... You are family bana...lol<br />
<br />
Kunitafuta ni lazima... otherwise Ban itakujia...lol
<br />
<br />
thanx my dear, usinipe ban bwana. mi ban yako naiogopa kuliko ya paw.
 
Nimekaa chini kugeuka nikaona miguu mitatu ya mbwa,mmoja sijui kalipeleka wapi baadaaaaae nikaona kama maji yanamwagika hivi then nikaona mguu mmoja wa nyongeza!


Papa M... umeniacha HAYWIRE kabisaa....lol
 
<br />
<br />
ban ya paw itaniondoa jf yako itaniondoa moyoni. Yako ni next level. Lol.



Dah! Husny hii post imenifanya nisafishe kinyoongo chooote juu yako....lol... yaani roho yangu safi kabisa!!! Dah!
 
Back
Top Bottom