Vin Diesel
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 9,088
- 6,368
Namshukuru Mungu... ni mzima wa afya... naamini nawe pia...
naam mie nipo safi siku zajongea...ulipata salam zangu?
Namshukuru Mungu... ni mzima wa afya... naamini nawe pia...
Salamu zako za mwisho ni kitambo... kama ni hapa karibuni sijapata rafiki...
ha ha ha... Can you believe me na FF hua tunawasiliana kwa nadra saana... ila siku tukiamua hua tunajaza
inbox...lol
Habari wana JF….
Poleni na hongereni kwa saumu (kwa wafungaji…
na pia mlolongo wa kazi na majukumu…
Back to topic… Hapo hapo ulipo keti/jiegesha/jilaza/simama/
jiachia or whatever… Please... Do me a favour and taratiiiibu
Geuka nyuma…. What do you see???…. Tafadhali tell us…
any thing' Yaweza kua kimoja ama zaidi ya kitu kimoja…
P.S: Vigezo na Masharti ya JF Rules Vizingatiwe….(ADI)
mie sikukuona around ndio nikaona nimtumie yeye ila sasa naona njia yake imekuwa ndefu...ngoja nikamsake jukwaa la siasa,maana Shosti wako huyu ni hatari.
Saizi mda wangu wa mchana umechakachuliwa kabisa... hivo mpaka nite.... hua nakuwepo for a few hours thou leo kidogo nimevuta... Na FF ana thread kule complaints.... Ukitaka kujua yupo jukwaanai lazima atinge pale...lol
Kila nkageuka nyuma namwona AshaDii ndani ya hijab yake, kila nikajitahidi nione kingine nakuona wewe. Sasa sijui kama ni sawa ama la?
Sangara hio safari masaa mangapi mpaka ushindwe nuia?? mbona sikupati...
12 hrs ni chache bana... enways inategemea na mazingira pia i think.... Nakutakia safe safari....
Yeah... nimechoka sasa nipumzike... Again safari njema na nimeelewa sasa kwanini hutanuia...