Wacha kupotosha,
Hawa CCM hata wakifa Mia kila siku na MICHANGO tutatoa, Tule pilau, Tuwazike na Tuwasahau!!
Yule wa magunia anaitwa Mawazo wa kata ya sombetini before alikuaga TLP akahamia CCM ni best yake na Lema walikuaga wrote TLPMkuu ni yule aliyeandamana kupinga posho kwa kuvaa magunia?
Mkuu,mimi ni mpenzi wa CHADEMA,lakini nina ndugu wengi tu ambao ni wana magamba.
TUTAPOTEA KAMA TAIFA ENDAPO TUTARUHUSU SIASA ZITAWALE HADI MAHUSIANO YETU YA KIJAMII KAMA MISIBA,NDOA,ELIMU NK!
Mkuu,wewe ukoo wenu wote ni CHADEMA nn?
Tuache siasa za kipumbavu bana!!!
pole sana CCM na wafiwa wote
Jamani ni mapema mno kuzungumzia uchaguzi sasa tusije tukwa kama Z'bar walioshindwa hata kuzikana kwa sababu ya itikadi ya siasa tu
Mungu ailaze roho ya marehemu mahali sahihi amen!
R.I.P marehemu. Madiwani wote wa CHADEMA manispaa ya Arusha na mh. Lema muwe waungwana, nendeni mkashiriki mcba wa diwani mwenzenu!
Tatizo lako ni uvivu wakufikiri hivi unafikiri kila mtu humu ni CHADEMA?
MAGAMBA mmeishjiwa huwezo wakufikiri, Poleni san!
ADUI yako MUOMBEE NJAAA, Ila kwa vyovyote hata wakijivunga humu CHEDEMA wanshangilia KUMOYO kimyakimyaa, Sasa unatka mimi niwe MNAFIKI kama CHADEMA? Unataka MWIZI nimuite FISADI? Sitaki Ukweli ndio huo CCM WAKIFA hata 1000 kwa siku watu watachanga na kuwazika na kula pilau kama kawa na TUTAWASAHAU. Kama wewe una ukweli mwingine NIAMBIE?
Hivi unafikiri MWAKYEMBE angfia huko INDIA CHADEMA wangesemaje? Pole sana GAMBA kifupi NCHI hii MMEBAKI peke YENU na kiukweli Mpo 1% na wataka mabadiliko wapo 99%.
Naomba nitake RADHI huwezi kuita MPUMBAVU, Please nitake RADHI.
Kama alikuwa anatenda mema anakula bata. Kama ameshiriki uhuni wa CCM sasa hivi anakomaje huko kwa waovu!! Amekufa hawezi rudi, tujadili sasa hiyo nafasi aliyoiacha wazi.RIP Mh Diwani.
Kwa leo tusiongelee habari za nafasi yake ya udiwani...tuache kwanza hadi apumzishwe kwa amani kwanza!...Ustaarabu!
Kweli kabisa mkuu lazima tuwe makini sana na hizi siasa tunazofanya.
Ubinadamu wetu na utanzania wetu ubaki kuwa juu ya itikadi zetu za kisiasa ama kidini.
Kwa sasa tuwafariji wafiwa, ndugu, jamaa na marafiki.
Wewe ndio umenikumbusha nilikuwa hata sikumbuki habari ya kiti, hata hivyo kunyamaza hakusaidii kitu ni unafiki tu.RIP Mh Diwani.
Kwa leo tusiongelee habari za nafasi yake ya udiwani...tuache kwanza hadi apumzishwe kwa amani kwanza!...Ustaarabu!
Ni jambo la nadra sana kukuta watu wanagombana msibani na hapa tunashindwa kuelewa wakuu inakuwaje mnagombana msibani?
Punguzeni jazba na itikadi kali za kisiasa!