Ojuolegbha
JF-Expert Member
- Sep 6, 2020
- 738
- 478
Mbunge wa Jimbo la Bagamoyo Mhe. Muharami Shabani Mkenge, Amepokea kwa Masikitiko Makubwa kifo Cha Diwani Kata ya Fukayosi Mhe Ally Ali Issa
Anatoa pole Kwa Mhe DC, Mkurugenzi Halmashauri Bagamoyo, Mwenyekiti CCM Wilaya, Mwenyekiti Wa Halmashauri Bagamoyo, Waheshimiwa Madiwani wote, Ndugu, familia na Marafiki wa Marehemu, Wananchi wa kata ya Fukayosi na wana Bagamoyo Kwa Ujumla kufuatia kifo Cha Diwani kata ya Fukayosi Mhe. Ally Ally Issa.
Hakika ni Pigo Kubwa kwa Wana Bagamoyo. Innalillahi wa Innailaihi Rojiun.
Anatoa pole Kwa Mhe DC, Mkurugenzi Halmashauri Bagamoyo, Mwenyekiti CCM Wilaya, Mwenyekiti Wa Halmashauri Bagamoyo, Waheshimiwa Madiwani wote, Ndugu, familia na Marafiki wa Marehemu, Wananchi wa kata ya Fukayosi na wana Bagamoyo Kwa Ujumla kufuatia kifo Cha Diwani kata ya Fukayosi Mhe. Ally Ally Issa.
Hakika ni Pigo Kubwa kwa Wana Bagamoyo. Innalillahi wa Innailaihi Rojiun.