Tanzia: Diwani wa CCM - Daraja Mbili (Arusha) afariki

Mungu amlaze mahala pema peponi, poleni wanafamilia. Katiba mpya iangalie uwezekano anayekuwa wa pili kwa kura (Diwani kivuli) achukue nafasi kumalizia kipindi kilichobaki hii iende mpaka kwa mbunge kivuli na waziri kivuli mpaka rais kivuli. Kupunguza matumizi ya serikali, tunahitaji fedha za madarasa, madawati na kuajiri walimu wapya watoto wengi waliofaulu hawajachaguliwa kuingia sekondari, walimu bado wanadai fedha nyingi serikali za likizo, uhamisho na marimbikizo.
 
Kwa jinsi wanavyozidi kupungua CCM watawahisha uchaguzi wa meya kabla hawajastukia wamebaki madiwani wanane.
 
Mungu amlaze mahala pema peponi, poleni wanafamilia. Katiba mpya iangalie uwezekano anayekuwa wa pili kwa kura (Diwani kivuli) achukue nafasi kumalizia kipindi kilichobaki hii iende mpaka kwa mbunge kivuli na waziri kivuli mpaka rais kivuli. Kupunguza matumizi ya serikali, tunahitaji fedha za madarasa, madawati na kuajiri walimu wapya watoto wengi waliofaulu hawajachaguliwa kuingia sekondari, walimu bado wanadai fedha nyingi serikali za likizo, uhamisho na marimbikizo.
Ushauri wako uende hadi ngazi ya rais.
 
Diwani wa CCM, kata ya Daraja Mbili - Arusha Mjini amefariki. Mh Diwani Bashir Msangi, amefariki kwa ugonjwa wa presha.

RIP
Nenda Msangi, nenda! Umetutangulia nenda, wenzako tunapenda kuachana na dunia hii na magumu yake lakini tunaogopa kwani hatuna hakika kama tutafika kuitwapo peponi au la ndiyo maana tunaahirisha mara kwa mara. Jamaa tulikupenda, lakini Mola zaidi, nenda Bashir.
Poleni sana ndugu wa jamaa, magamba Arusha na wapiga kura. Nasupport kuwa huu si wakati mwafaka wa kujadili namna ya kiziba pengo kisiasa
 
Bora muendelee kufa! Na Mungu awachome moto!
Mimi siipendi kabisa ccm na mambo yake lakini hapa ndugu umefika pabaya. Tanzanians have morals, most especially when we loose even our worst enemies. Please try to behave! Inauma....hujafiwa nini?
 
Back
Top Bottom