Mkira,
Sikatai kabisa maneno yako lakini kumbuka mbunge ni mwanasiasa sio msomi. Na hii ndio hofu yangu kubwa sana kwamba wananchi wanaanza kutafsiri uwezo wa wabunge kwa vyeti vyao badala ya uwezo wao kuwakilisha wananchi wake bungeni..
Je, kuna haja ya cheti gani kufahamu haki ya binadamu?...Umaskini wetu, Utajiri wetu na jinsi ya kupambana na maradhi!
Mathlan - Kutembea na msichana wa miaka kumi na mbili ni - kosa! Unafikiri kwamba wenye elimu ya juu hapa ndio watakao weza kutoa jibu sahihi na lenye ukweli kuliko wabunge ambao hawakwenda shule?...Na what if record inaonyesha kwamba watoto wengi wa umri huo hutembea na wasomi kuliko watu wasiokuwa na elimu!..Na sababu kubwa imegundulika wasomi wanazo fedha za kuwarubuni watoto wadogo.
Kwa hiyo sheria inaweza kukataza kitendo hicho lakini kwa sababu wasomi viongozi ndio wahalifu wenyewe, sheria hiyo isifanye kazi.
Hii ndio hali halisi ya nchi zetu maskini kwa kila fani ya sheria na kiuchumi. Wasomi wetu ndio wanao- abuse sheria za nchi kiuchumi na haki za binadamu kwa kutumia elimu zao kupindisha ukweli. Mkapa alifikia kuwaita wananchi wote hawana elimu! wajinga kwa kupigia kelele swala la uwekeshaji na mikataba feki.
Tunarudi kulekule ktk swala la kina Salim na rangi yake...
Hao wabunge wasomi wenye vyeti halali toka Havard wameweza kutuletea nini?... mbona akina Freeman, Mtikila na Mrema ambao hawana elimu kubwa Phd huzungumza mengi ya maana kuliko wasomi wenyewe!
Ukisoma maelezo ya Mzee Es unashindwa kabisa kuelewa kama kweli TZ kuna kiongozi msomi hata mmoja kwa hizo Scandals!
Hata hivyo Wabunge hawakuchaguliwa kutokana na elimu zao..hii muhimu zaidi tuzingatie kwani swala hapa ni kugushi vyeti!...
Ikiwa kuna daktari Muhimbili ambaye hana elimu ya Udaktari isipokuwa cheti chake kanunua, hii ndio maana ya kugushi. Lakini hatuwezi kumhukumu daktari Muhimbili ktk udaktari wake kwa sababu tunakisia liseni yake ya kuendesha gari sio halali. Na sababu kubwa tuliyokuwa nayo ati hakwenda shule ya kuendesha gari isipokuwa kajifunzia mtaani!
Well, swala hili ni la traffic na ikiwa liseni yake imetolewa na taasisi husika kihalali basi hapa hakuna feki.
Sikatai kabisa maneno yako lakini kumbuka mbunge ni mwanasiasa sio msomi. Na hii ndio hofu yangu kubwa sana kwamba wananchi wanaanza kutafsiri uwezo wa wabunge kwa vyeti vyao badala ya uwezo wao kuwakilisha wananchi wake bungeni..
Je, kuna haja ya cheti gani kufahamu haki ya binadamu?...Umaskini wetu, Utajiri wetu na jinsi ya kupambana na maradhi!
Mathlan - Kutembea na msichana wa miaka kumi na mbili ni - kosa! Unafikiri kwamba wenye elimu ya juu hapa ndio watakao weza kutoa jibu sahihi na lenye ukweli kuliko wabunge ambao hawakwenda shule?...Na what if record inaonyesha kwamba watoto wengi wa umri huo hutembea na wasomi kuliko watu wasiokuwa na elimu!..Na sababu kubwa imegundulika wasomi wanazo fedha za kuwarubuni watoto wadogo.
Kwa hiyo sheria inaweza kukataza kitendo hicho lakini kwa sababu wasomi viongozi ndio wahalifu wenyewe, sheria hiyo isifanye kazi.
Hii ndio hali halisi ya nchi zetu maskini kwa kila fani ya sheria na kiuchumi. Wasomi wetu ndio wanao- abuse sheria za nchi kiuchumi na haki za binadamu kwa kutumia elimu zao kupindisha ukweli. Mkapa alifikia kuwaita wananchi wote hawana elimu! wajinga kwa kupigia kelele swala la uwekeshaji na mikataba feki.
Tunarudi kulekule ktk swala la kina Salim na rangi yake...
Hao wabunge wasomi wenye vyeti halali toka Havard wameweza kutuletea nini?... mbona akina Freeman, Mtikila na Mrema ambao hawana elimu kubwa Phd huzungumza mengi ya maana kuliko wasomi wenyewe!
Ukisoma maelezo ya Mzee Es unashindwa kabisa kuelewa kama kweli TZ kuna kiongozi msomi hata mmoja kwa hizo Scandals!
Hata hivyo Wabunge hawakuchaguliwa kutokana na elimu zao..hii muhimu zaidi tuzingatie kwani swala hapa ni kugushi vyeti!...
Ikiwa kuna daktari Muhimbili ambaye hana elimu ya Udaktari isipokuwa cheti chake kanunua, hii ndio maana ya kugushi. Lakini hatuwezi kumhukumu daktari Muhimbili ktk udaktari wake kwa sababu tunakisia liseni yake ya kuendesha gari sio halali. Na sababu kubwa tuliyokuwa nayo ati hakwenda shule ya kuendesha gari isipokuwa kajifunzia mtaani!
Well, swala hili ni la traffic na ikiwa liseni yake imetolewa na taasisi husika kihalali basi hapa hakuna feki.