Jamani someni vichwa/utangulizi wa habari kabla ya kuuliza maswali.
Hii list imetolewa na Council on Higher Education Accreditation.
Kwa kuongezea tu, ukienda pale MSTHE utakuta copy, ukienda Utumishi Serikalini utakuta pia, na hata Tume ya Uchaguzi.
IFM ndiyo tu wameamua kuiweka Online ili kila mtu ajionee na macho yake. Wengine wote wameamua kufungia makabatini.
kudos to Aljazeera,
thanks, nadhani akina Nungwi, "umeme ulikuwa umewakatikia list hiyo ilipotolewa" kama ile story ya mchaga anadaiwa pesa ktk simu akajibu "sikusikii mvua kubwa inanyesha........... lakini helloo aliisikia!!"
Sasa, ukijumuisha ushahidi wa Bob Mkandara aliyepiga simu sehemu husika na kuambiwa hawatoi PhD na hii list aliyotuwekea Mzee Aljazeera,
Please wafuatao hebu, ondoeni hizo "Dr" mbele ya majina yenu (acheni ubishi wa kitoto), si vibaya kukiri,
1.Nchimbi
2.Nagu
3.Kamala
4.Warioba
5.Masaburi na kuendelea
Tunaomba pia Bunge litoe tamko rasmi kuondoa heshima wanayopewa hawa watu ya u "Dr" ........please hii inashusha SANA HADHI YA BUNGE
Mzee MKJJ na wewe umesoma vyuo vya uchochoroni mbona umestuka sana
Aisee wewe umetukana matusi ya nguoni wote waliokwenda chuoni. Inawezekana kabisa hukuwa na maana hiyo ila kwa kuandika hivyo umevuka mpaka kabisa. Umefanya kama vile wote waliokwenda chuoni siyo waadilifu na hawalipendi taifa, ikiwa ni pamoja na Mwalimu Nyerere (rip). Vile vile unaainisha kuwa wale wote wanaofanya chuoni ni BS!!. Labda nimekuelewa tofauti.elimu yangu miye ya kidato cha sita tu... baada ya kugundua kuwa Chuo hakimfanyi mtu kuwa muadilifu na anayelipenda taifa lake I gave up!! I decided to join the rank of Bill Gates and the likes ambao kwao Chuo is the greatest BS ever invented!