Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,494
Hao waliolipa na kurudi chuoni wametoka wapi? Je wao sio watanzania? Unapaswa kelewa kuwa kuna watanzania wa uwezo tofauti tofauti na msimamo wa serikali ni kuwasaidia wale wanaoshindwa, kama wewe ulivyoshindwa na ikakusaidia. Ninachopinga mimi ni kulazimishana kuamini kuwa watanzania wote hawawezi kujlipia.
Ndugu yangu, watanzania walio wengi wanamaisha duni, kipato chini ya dola moja...ukiangalia kwa makini suala hili tunataka kujenga tabaka la masikini na wenye nacho, serikali haishindwi kuwalipia hao wasio na uwezo, angalia ni kiasi gani tunateketeza pato la taifa kwa mambo yasiyo na msingi? Ufisadi ? chaguzi? the list is very wrong...wenye uwezo sawa wachangie wale akina Kayumba nao???