farmersdesk
Senior Member
- May 26, 2012
- 164
- 120
achana nao wanaenda kujiunga na
IOC, wabinafsi sana kwakila kitu.
V
SENGEREMA
huna lolote wewe!hiyo nichukui yako binafsi tu thidi ya waislam..
achana nao wanaenda kujiunga na
IOC, wabinafsi sana kwakila kitu.
V
SENGEREMA
Kwanza niwaulize mnalifahamu mnaloongea? MUM haikujitoa TCU na ipo chini ya TCU ila haipo kwenye mfumo wa CAS na si MUM tu hata Chuo kikuu cha Zanzibar hakipo kwenye mfumo huo. Kumbuka kile chuo kina vigezo vyake vya ziada kujiunga nacho.
Hawajajitoa kwasababu hawajawahttp: kujisajili huko toka mwanzo
Wao ni kivyao vyao tu
Ila kwenye ratio ya muslim na Christians,kweli wakristo ni wachache sana sasa cjajua kuwa wakristo hawaombi au hawawi selected?
Wewe mtoto najua wewe ni ex form six aspiring for university education. Sidhani kama baba na mama yako wamekufundisha matusi , ULAANIWE wewe na UZAO wako: NAKULAANI! UKO UNAKOKWENDA UDISKO UENDE MITAANI
mwenzio ADISCO CHUO ILA WEWE NADHANI UTADISCO MAISHA.