karim kindole
Member
- Aug 20, 2014
- 31
- 13
c kweli kwa mwanafunzi mwnye 4 kuwa addmited MUM, asa alikua na 4 at o level how comes akaweza kuingia A level?
Kuna watu kaka wanaongea bila vivid example af pia wanapenda kuropoka na ktk jamii ya waerevu waropofu hawadumu.
swal zuri sana kama alipata form 4 dvs 0 advance aliendaje au kuna watu wakitoka form wanaenda chuo kupata degree.........?