Muarubaini
JF-Expert Member
- Apr 7, 2012
- 222
- 48
Wangapi mmepoteza kiasi hicho kwa mwanamke? Au kwenye kinywaji?wengi mnaoponda mna kazi zenu na mna uhakika wa maisha.utapeli or not we jitoe mhanga inaweza ikawa kweli wapo legitimate au wakila hela yako unajifunza not trust such people again....all in all without risking ul never achieve
tunajua wewe ni tapeli dr magumashi Mnzava, unatetea utapeli wako. Shukuru Mungu serikali yetu imelala. Mnachukulia tatizo la ajiro kujinufaisha. Muogopeni Mungu