Tamko toka Tanzania International University kuhusu ajira walizotangaza

Kamwexh

Member
Feb 19, 2013
30
8
Jamani wadau wa JF nimefuatilia kwa makini mjadala wenu kuhusu hiki chuo chetu kipya cha Tanzania International University(TIU). Nataka kuwahakikishia na kuwaondoa wasiwasi kuwa hiki chuo kipo na Mipango ya kukianzisha ilianza toka 2010 kwa ku-prepare curriculum, kujenga majengo nakufanya vitu vingine ambavyo vitafaa kwa chuo kuweza kukubalika na TCU lakini pia kuwezesha kutoa elimu bora ya chuo kikuu pindi TCU watakopo ruhusu chuo kianze ku-enrol wanachuo. Kwahiyo basi naomba kuwahakikishia wanaJF na watanzania kiujumla kuwa chuo kipo Kimara Mwisho njia ya kwenda Bonyokwa nafasi za kazi zilizotangazwa ni za Kweli hakuna utapeli wowote mtu anayejiona anafit kwenye post yeyote kati ya zile zilizotangazwa atume maombi yake; kwani chuo kinahitaji wahadhiri wa ngazi zote toka ma-professor hadi ma-tutorial ili kiwe na uwezo wa ku-enrol student mwaka huu. Ndugu za wanaJF na watanzania wote tuachane na maneno mbovumbovu yasiyokitakia chuo hiki kimpya TIU maendeleo. Mwisho kabisa nawaweke link ya TCU inayoonyesha chuo hiki kimesajiliwa kwa REG No CR1/028 ila kinasubiri kuanza ku-enrol wanafunzi baada ya kuajili wa2 wenye sifa nzuri kama nyie http://www.tcu.go.tz/images/pdf/Recognised_Universities_Colleges_Centres.pdf baada yakufunguka angalia no 20. WanaJF jitokezeni ombeni kazi kwani hizi kazi pia zimetangazwa katika mitandao ifuatayo http://www.brightermonday.com/jobs/default.asp?bmed=tz na http://www.zoomtanzania.com/sectionoverview?ParentSectionID=8&CurrentPage=3&SortBy=MostRecent waweza zi-copy link hizi na kuzi-paste kwenye browser bar. Kuhusu website yetu ambayo ni main page iko katika kutengenezwa baada ya mwezi mmoja kila kitu kuhusu chuo chetu hiki kipya TIU kitakuwa pia kinapatikana humo. Niwatakieni WanaJF wote kazi njema.

"We Build the Kingdom"
Huu ndo msemo wa wana-Tanzania International University (TIU)
KARIBUNI SANA
 
Tatizo siyo uwepo au kusajiliwa kwa chuo, tatizo ni kwanini mtoze watu hela ya kutuma maombi kwa ajili ya interview panel?ina maana hamjajipanga. M naomba mtoe hizo costs ili watu watume kwa moyo mkunjufu maana wengi wamelizwa.
 
Je una majibu gani kuhusiana na zile email za kutaka watu watume elfu ishirin kwa kupitia akaunt ya CRDB kwa ajili ya interview??? Na mbona haya majibu yamechelewa kutolewa?huoni kama "Image" ya chuo imeshaharibika? Nawasilisha..nategemea kupata majibu ya uhakia not jazba
 
Jamani wadau wa JF nimefuatilia kwa makini mjadala wenu kuhusu hiki chuo chetu kipya cha Tanzania International University(TIU). Nataka kuwahakikishia na kuwaondoa wasiwasi kuwa hiki chuo kipo na Mipango ya kukianzisha ilianza toka 2010 kwa ku-prepare curriculum, kujenga majengo nakufanya vitu vingine ambavyo vitafaa kwa chuo kuweza kukubalika na TCU lakini pia kuwezesha kutoa elimu bora ya chuo kikuu pindi TCU watakopo ruhusu chuo kianze ku-enrol wanachuo. Kwahiyo basi naomba kuwahakikishia wanaJF na watanzania kiujumla kuwa chuo kipo Kimara Mwisho njia ya kwenda Bonyokwa nafasi za kazi zilizotangazwa ni za Kweli hakuna utapeli wowote mtu anayejiona anafit kwenye post yeyote kati ya zile zilizotangazwa atume maombi yake; kwani chuo kinahitaji wahadhiri wa ngazi zote toka ma-professor hadi ma-tutorial ili kiwe na uwezo wa ku-enrol student mwaka huu. Ndugu za wanaJF na watanzania wote tuachane na maneno mbovumbovu yasiyokitakia chuo hiki kimpya TIU maendeleo. Mwisho kabisa nawaweke link ya TCU inayoonyesha chuo hiki kimesajiliwa kwa REG No CR1/028 ila kinasubiri kuanza ku-enrol wanafunzi baada ya kuajili wa2 wenye sifa nzuri kama nyie http://www.tcu.go.tz/images/pdf/Recognised_Universities_Colleges_Centres.pdf baada yakufunguka angalia no 20. WanaJF jitokezeni ombeni kazi kwani hizi kazi pia zimetangazwa katika mitandao ifuatayo http://www.brightermonday.com/jobs/default.asp?bmed=tz na http://www.zoomtanzania.com/sectionoverview?ParentSectionID=8&CurrentPage=3&SortBy=MostRecent waweza zi-copy link hizi na kuzi-paste kwenye browser bar. Kuhusu website yetu ambayo ni main page iko katika kutengenezwa baada ya mwezi mmoja kila kitu kuhusu chuo chetu hiki kipya TIU kitakuwa pia kinapatikana humo. Niwatakieni WanaJF wote kazi njema.

"We Build the Kingdom"
Huu ndo msemo wa wana-Tanzania International University (TIU)
KARIBUNI SANA


What you have is anything but a university. This is clear from the way you explain what the university is. Your command of language is next to zero - you are mixing Kiswahili and Kiingereza. Imagine what you have just said was a press release from a reputable University like the University of Dar es Salaam. I picked the problem from your Vacancy announcements as well. You consistently referred to Lecturers as Lectures.
 
Mimi nadhani ni suala la UTAMADUNI tu ambao tumeuzoea ila nina imani hii ya kutoza coin kwa ajili ya interview ni nzuri whether ilikuwepo au haikuwahi kutokea hapa tanzania. Mimi nawaunga mkono na naomba mashirika mengine yaige na baada ya muda watu watazoea kama walivyozoea kulipia huduma za afya n.k. Mbona tunapoomba nafasi za masomo tunalipa non - refundable application fee? Hii itasaidia sana kupata waombaji wenye sifa na walio serious maana wakati mwwingine mtu anajiandikia tu bila kupima requirements za position zinataka sifa gani. Maombi yanakuwa mengi, badala ya zoezi la kushortlist kutumia sikumoja au mbili watu wamatumia zaidi ya wiki mbili au tatu
 
Hivi Arsenal kama EPL hatumo, FA hatumo, UEFA tumefungwa nyumbani kwanini tusimfukuze Arsene Wenger??
Yaani huu sasa mwaka karibia wa nane vikombe tunafanya kuvisikia tu kwa wenzetu, huu ni ujinga huu!!!
 
jamani kama kuna mtu aliangalia ISIDINGO jana naomba atusimulie kidogo umeme kwetu ulikatika!

we akili yako sio nzuri/sio mzima. hivi umeona thread hapo juuu inazungumzia nini.... yaani wewe unachowaza ndio hichi ulicho kisema hapo juu bila kujali ni sehem yake au laaaa.....
 
Hivi Arsenal kama EPL hatumo, FA hatumo, UEFA tumefungwa nyumbani kwanini tusimfukuze Arsene Wenger??
Yaani huu sasa mwaka karibia wa nane vikombe tunafanya kuvisikia tu kwa wenzetu, huu ni ujinga huu!!!
Mkuu acha woga wale mbona tutawapiga kwao pia kama walivofanya wao..Afu unaonaje game ya leo vp Barca atachomoka san siro.??
 
What you have is anything but a university. This is clear from the way you explain what the university is. Your command of language is next to zero - you are mixing Kiswahili and Kiingereza. Imagine what you have just said was a press release from a reputable University like the University of Dar es Salaam. I picked the problem from your Vacancy announcements as well. You consistently referred to Lecturers as Lectures.

U r very ryt
 
Mkuu acha woga wale mbona tutawapiga kwao pia kama walivofanya wao..Afu unaonaje game ya leo vp Barca atachomoka san siro.??
Mi nakuambia kwao pale Munich hatutoki. We sema nani hakuwepo jana ambae labda atakuja kutuokoa kule??
Barca hua anachomoka popote hapa duniani mkuu. Hata AC wangekua na Baloteli bado barca wngetamba tu!!
 
Jamani wadau wa JF nimefuatilia kwa makini mjadala wenu kuhusu hiki chuo chetu kipya cha Tanzania International University(TIU). Nataka kuwahakikishia na kuwaondoa wasiwasi kuwa hiki chuo kipo na Mipango ya kukianzisha ilianza toka 2010 kwa ku-prepare curriculum, kujenga majengo nakufanya vitu vingine ambavyo vitafaa kwa chuo kuweza kukubalika na TCU lakini pia kuwezesha kutoa elimu bora ya chuo kikuu pindi TCU watakopo ruhusu chuo kianze ku-enrol wanachuo. Kwahiyo basi naomba kuwahakikishia wanaJF na watanzania kiujumla kuwa chuo kipo Kimara Mwisho njia ya kwenda Bonyokwa nafasi za kazi zilizotangazwa ni za Kweli hakuna utapeli wowote mtu anayejiona anafit kwenye post yeyote kati ya zile zilizotangazwa atume maombi yake; kwani chuo kinahitaji wahadhiri wa ngazi zote toka ma-professor hadi ma-tutorial ili kiwe na uwezo wa ku-enrol student mwaka huu. Ndugu za wanaJF na watanzania wote tuachane na maneno mbovumbovu yasiyokitakia chuo hiki kimpya TIU maendeleo. Mwisho kabisa nawaweke link ya TCU inayoonyesha chuo hiki kimesajiliwa kwa REG No CR1/028 ila kinasubiri kuanza ku-enrol wanafunzi baada ya kuajili wa2 wenye sifa nzuri kama nyie http://www.tcu.go.tz/images/pdf/Recognised_Universities_Colleges_Centres.pdf baada yakufunguka angalia no 20. WanaJF jitokezeni ombeni kazi kwani hizi kazi pia zimetangazwa katika mitandao ifuatayo http://www.brightermonday.com/jobs/default.asp?bmed=tz na http://www.zoomtanzania.com/sectionoverview?ParentSectionID=8&CurrentPage=3&SortBy=MostRecent waweza zi-copy link hizi na kuzi-paste kwenye browser bar. Kuhusu website yetu ambayo ni main page iko katika kutengenezwa baada ya mwezi mmoja kila kitu kuhusu chuo chetu hiki kipya TIU kitakuwa pia kinapatikana humo. Niwatakieni WanaJF wote kazi njema.

"We Build the Kingdom"
Huu ndo msemo wa wana-Tanzania International University (TIU)
KARIBUNI SANA

M2 wang me nime2ma aisee nasubiria 2.
 
Nikweli hiyo 20,000 ipo atatakiwa kutoa mtu yule tu atakayeitwa kwenye interview na huo ni msimo wa chuo na hautabadilika. Labda niwape mfano mmoja mtu analipia form fulani kwaajili ya kujiunga na chuo au shule anafanya mtihani akifeli hela huwa anarudishiwa? kiukweli huwa harudishiwi na hivyohivyo pia kwenye vyeo vya kisiasa kama uraisi,ubunge n.k utaratibu huu upo.
 
Nikweli hiyo 20,000 ipo atatakiwa kutoa mtu yule tu atakayeitwa kwenye interview na huo ni msimo wa chuo na hautabadilika. Labda niwape mfano mmoja mtu analipia form fulani kwaajili ya kujiunga na chuo au shule anafanya mtihani akifeli hela huwa anarudishiwa? kiukweli huwa harudishiwi na hivyohivyo pia kwenye vyeo vya kisiasa kama uraisi,ubunge n.k utaratibu huu upo.

OK tapeli la chuo kanjanja TIU..we shall see hao mtakaowaita na kuwa charge...ndo utajua kwamba kila kitu kina utaratibu,ingekuwa nchi inaendeshwa utakavyo cjui kama tungekuwa hapa.na ww JF wakucharge kwa kuleta tangazo lako mbofu mbofu,who are you kutoa tamko lisiolo hata na cheo cha mtoa tamko,msonyooooooooooooo
 
OK tapeli la chuo kanjanja TIU..we shall see hao mtakaowaita na kuwa charge...ndo utajua kwamba kila kitu kina utaratibu,ingekuwa nchi inaendeshwa utakavyo cjui kama tungekuwa hapa.na ww JF wakucharge kwa kuleta tangazo lako mbofu mbofu,who are you kutoa tamko lisiolo hata na cheo cha mtoa tamko,msonyooooooooooooo

chuo hata kama ni kipya huwa zinakuwepom ofisi zao atleast kuratibu shughuli za offisi sasa , wao ofisi zao za muda zipo wapi tukawaone.
 
haya wewe muingereza hongera lakini kaa ukijua hata vitabu kibao vya waingereza tukiwa tunavisoma tunakuta makosa kibao, michapio kibao kiswahili chenyewe mdau huwa tunakose sana ndiyo ije kingereza na pia jua lugha hii hatujazaliwa nayo kilichofanyika hapo ilikuwa ni kufikisha ujumbe kwa wanaJF na watanzania kiujumla kwamba chuo kipo na kimesajiliwa TCU. Kama kuchanganya kiswahili na kingereza baadhi ya sehemu basi samehe siku nyingine haitatokea.
 
Jamani wadau wa JF nimefuatilia kwa makini mjadala wenu kuhusu hiki chuo chetu kipya cha Tanzania International University(TIU). Nataka kuwahakikishia na kuwaondoa wasiwasi kuwa hiki chuo kipo na Mipango ya kukianzisha ilianza toka 2010 kwa ku-prepare curriculum, kujenga majengo nakufanya vitu vingine ambavyo vitafaa kwa chuo kuweza kukubalika na TCU lakini pia kuwezesha kutoa elimu bora ya chuo kikuu pindi TCU watakopo ruhusu chuo kianze ku-enrol wanachuo. Kwahiyo basi naomba kuwahakikishia wanaJF na watanzania kiujumla kuwa chuo kipo Kimara Mwisho njia ya kwenda Bonyokwa nafasi za kazi zilizotangazwa ni za Kweli hakuna utapeli wowote mtu anayejiona anafit kwenye post yeyote kati ya zile zilizotangazwa atume maombi yake; kwani chuo kinahitaji wahadhiri wa ngazi zote toka ma-professor hadi ma-tutorial ili kiwe na uwezo wa ku-enrol student mwaka huu. Ndugu za wanaJF na watanzania wote tuachane na maneno mbovumbovu yasiyokitakia chuo hiki kimpya TIU maendeleo. Mwisho kabisa nawaweke link ya TCU inayoonyesha chuo hiki kimesajiliwa kwa REG No CR1/028 ila kinasubiri kuanza ku-enrol wanafunzi baada ya kuajili wa2 wenye sifa nzuri kama nyie http://www.tcu.go.tz/images/pdf/Recognised_Universities_Colleges_Centres.pdf baada yakufunguka angalia no 20. WanaJF jitokezeni ombeni kazi kwani hizi kazi pia zimetangazwa katika mitandao ifuatayo http://www.brightermonday.com/jobs/default.asp?bmed=tz na http://www.zoomtanzania.com/sectionoverview?ParentSectionID=8&CurrentPage=3&SortBy=MostRecent waweza zi-copy link hizi na kuzi-paste kwenye browser bar. Kuhusu website yetu ambayo ni main page iko katika kutengenezwa baada ya mwezi mmoja kila kitu kuhusu chuo chetu hiki kipya TIU kitakuwa pia kinapatikana humo. Niwatakieni WanaJF wote kazi njema.

"We Build the Kingdom"
Huu ndo msemo wa wana-Tanzania International University (TIU)
KARIBUNI SANA

1. Kwanza hujaweka Paragraph kwenye maandishi yako (Kosa la kwanza)
2. Kuchanganya lugha pasipo sababu
3. Ubovu kwenye sarufi na matumizi yake
4. Mpangilio mbovu wa sentensi

Mwisho umethibitisha kuwa ninyi ni wababaishaji na wauaji wa elimu.
 
What you have is anything but a university. This is clear from the way you explain what the university is. Your command of language is next to zero - you are mixing Kiswahili and Kiingereza. Imagine what you have just said was a press release from a reputable University like the University of Dar es Salaam. I picked the problem from your Vacancy announcements as well. You consistently referred to Lecturers as Lectures.
Jaman, tufike mahali tuelewe kuwa wakati mwingine huwa kuna typing err :shut-mouth:
 

Similar Discussions

2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom