Hahahhaaaaa Osie baba hata shemeji hua anatoa matamko? kuwa leo "usile tundi" hahahaaaa imekaa vizuri kakaaa, kwa hio hawa jamaa wamezidiwa akili hata na shemeji eeehh??
.....Serikali imetoa tamko leo asubuhi dhidi ya kampuni zote za usafirishaji wa majini na nchi kavu zitakazo sababisha ajali......akitoa tamko hilo kwa niaba ya serikali waziri Omari Nundu amesema kuanzia leo SUMATRA imepewa agizo kuzifungia au kuzinyang'anya leseni za biashara kampuni zote zitakazo sababisha ajali...
Waziri akaendelea kusema kuwa kuanzia sasa serikalia haitakua na huruma na kampuni yoyote itakayo sababisha ajali...na kwa maelezo yake,endepo kampuni itasababisha ajali itakuwa ni automatic ban.....
My opinions:
Kama hili litatekelezwa ipasavyo litapunguza ajali kwa kiasi kikubwa sana.....
<br />.....Serikali imetoa tamko leo asubuhi dhidi ya kampuni zote za usafirishaji wa majini na nchi kavu zitakazo sababisha ajali......akitoa tamko hilo kwa niaba ya serikali waziri Omari Nundu amesema kuanzia leo SUMATRA imepewa agizo kuzifungia au kuzinyang'anya leseni za biashara kampuni zote zitakazo sababisha ajali...<br />
<br />
Waziri akaendelea kusema kuwa kuanzia sasa serikalia haitakua na huruma na kampuni yoyote itakayo sababisha ajali...na kwa maelezo yake,endepo kampuni itasababisha ajali itakuwa ni automatic ban.....<br />
<br />
My opinions:<br />
Kama hili litatekelezwa ipasavyo litapunguza ajali kwa kiasi kikubwa sana.....