Teolojia ya Ukombozi wa Rasilimali za Watanzania Wanyonge Dhidi ya Wageni: Tamko la Maaskofu wa TEC juu ya Bandari zetu limegonga penyewe!

Mama Amon

JF-Expert Member
Mar 30, 2018
2,021
2,478


I. UTANGULIZI

Aya ya 19(2) katika Katiba ya Tanzania (1977) inaizuia serikali kujitenga na ubaguzi wa kidini na kuhimiza usawa wa kidini kwa kutumia maneno ifuatayo:

"Bila ya kuathiri sheria zinazohusika za Jamhuri ya Muungano, kazi ya kutangaza dini, kufanya ibada na kueneza dini itakuwa ni huru na jambo la hiari ya mtu ya binafsi, na shughuli na uendeshaji wa jumuiya za dini zitakuwa nje ya shughuli za mamlaka ya nchi."
Katika mipaka ya nukuu hii, tunaunga mkono onyo la Rais Mstaafu, Jakaya KIkwete, katika kupinga tunu hasi za udini, usiasa, ukabila, urangi, na ukanda. Yaani, tunapinga ubaguzi wa kidini, ubaguzi wa kisiasa, ubaguzi wa kikabila, ubaguzi wa kirangi, na ubaguzi wa kikanda.

Udini ni tabia ya kukweza dini yak dhidi ya dini baki, usiasa ni tabia ya kukkweza itikadi ya chama chako dhidi ya itikadi za vyama baki, ukabila ni tabia ya kukweza kabila lako dhidi ya makabila bako, urangi ni tabia ya kukweza rangi yako ya ngozi dhidi ya rangi baki za ngozi, na ukanda ni tabia ya kukweza kanda yako dhidi ya kanda baki. Zote ni ni tunu hasi dhidi ya ustawi wa watu na mslahi ya pamoja katika Taifa.

Pia tunaungana naye katika kupigania tunu chanya zifuatazo: tunu ya kujitenga na udini, tunu ya kujitenga na usiasa, tunu ya kujitenga na ukabila, tunu ya kujitenga na urangi, na tunu ya kujitenga na ukandaa. Yaani, tunapigania tunu chanya za usawa wa kidini, usawa wa kisiasa, usawa wa kikabila, usawa wa kirangi, na usawa wa kikanda.

Tunu chanya za usawa wa kidini, usawa wa kisiasa, usawa wa kikabila, usawa wa kirangi, na usawa wa kikanda zinawezekana kwa sababu ya tunu mtambuka zinazozalisha umoja wa kijamii, yaani tunu mtambuka ya utu, tunu mtambuka ya uzalendo kwa nchi, na tunu mtambuka ya uraia wa Tanzania.

II. AINA NNE ZA WATANZANIA ALIOWAONGELEA KIKWETE

Lakini, kama watanzania wakiulizwa waseme wako katika upande gani wa kila tunu iliyotajwa hapo juu watagawanyika kwenye makundi 16 yafuatayo:

1692704900370.png


Wito wa KIkwete ni kwamba tupiganie ujenzi wa Taifa lwenye watu walio kwenye aina ya 16 pekee. Hakuna mtu mwenye akili timamu anayepinga wito huo.

Hata hivyo, KIkwete aliongelea tunu mbili pekee, yaani tunu ya usawa wa kidini na tunu yausawa wa kisiasa, zinazozaa makundi manne ya watu.

Hivyo, kwa jili ya kuboresha alichokisema Kikwete kuhusu tunu hizi mbili, tunapenda kujadili watu walio kwenye makundi hayo manne pekee, kama mchoro ufuatao unavyoonyesha.

1692583317206.png


Kutokana na mchoro huu, ni wazi kwamba, kadiri maamuzi ya kidini na maamuzi ya kisiasa yanavyohusika , kuna Watanzania wa aina nne, kama ifuatavyo:
  1. Watanzania wenye udini na wenye usiasa kila mahali na kila wakati. Hawa wanakweza dini zao dhidi ya dini baki, na kukweza itikadi zao za kisiasa dhidi ya itikadi baki. Huu ni mseto wa tunu mbili hasi.
  2. Watanzania wenye udini na wasio na usiasa kila mahali na kila wakati. Hawa wanakweza dini zao dhidi ya dini baki, lakini hawakwezi itikadi zao za kisiasa dhidi ya itikadi baki. Huu ni mseto wa tunu hasi na tunu chanya.
  3. Watanzania wasio na udini na wenye usiasa kila mahali na kila wakati. Hawa hawakwezi dini zao dhidi ya dini baki, lakini wanakweza itikadi zao za kisiasa dhidi ya titikadi baki. Huu ni mseto wa tunu hasi na tunu chanya.
  4. Watanzania wasio na udini na wasio na usiasa kila mahali na kila wakati. Hawa hawakwezi dini zao dhidi ya dini baki wala kukweza itikadi zao za kisiasa dhidi ya itikadi baki. Huu ni mseto wa tunu chanya.
Ni vigumu kusema kwa uhakika Kikwete alitaka kusisitiza mseto wa tunu zipi. Lakini, kama tukizingatia "kanuni ya kusoma alama za nyakati na mahali" ni maoni yetu kwamba, sio tatizo kwa viongozi wa serikali na dini kuchanganya dini na siasa hapa na pale, maana tunafanya hivyo kila siku, kama picha za Kikwete hapa chini zinavyoonyesha.

Hivyo, tunafikiri kwamba, KIkatiba na kisheria, onyo la Rais Mstaafu, Jakaya KIkwete, kuhusu alichokiita "tunu ya kujitenga na dini" pamoja na "tunu ya kujitenga na usiasa," linapaswa kutazamwa katika mipaka ya ukuta unaotenganisha maisha ya kidini na maisha ya kisiasa, uliopo kwa mujibu wa ibara ya 19(2) Katiba ya Tanzania.

III. MAANA YA UKUTA WA KIKATIBA UNAOTENGANISHA DINI NA SIASA

Tunapendekeza kwamba, ukuta wa KIkatiba unaotenganisha maisha ya kidini na maisha ya kisiasa ni kama dhana ya "semi-permeable membrane," tuliyoisoma kwenye bayolojia ya seli.

Yaani, ni ukuta wenye milango inayoruhusu vitu vilivyoko upande mmoja kupenya na kwenda upande wa pili, lakini inakataza vitu vilivyo upande wa pili kupenya na kuingia upande wa kwanza.

Ukuta wa kikatiba unaotenganisha dini na siasa unayo milango kama hiyo pia. Unawaruhusu watu walioko upande wa dini kusukuma mlango na kuingia upande wa serikali, lakini unawakataza watu walioko upande wa serikali kusukuma mlango na kuingia upande wa dini.

Hivyo, makuhani wanaweza kugombea udiwani, ubunge na urais, kama sheria za makanisa yao haziwakatazi. Mfano mzuri ni Askofu Gwajiboy ambaye ni Mbunge wa Kawe kupitia CCM.

Pia wanaweza kuzikosoa sera za serikali kwa niaba ya waumini wao. Lakini serikali haiwezi kuanzisha dini rasmi ya Taifa wala kuzikosoa sera za ndani ya taasisi za kidini, isipkuwa pale zinapokiuka katika ya nchi.

Hivyo, ukuta wa kikaiba unaotenganisha maisha ya kidini na maisha ya kisiasa, ni mwongozo kwa serikali kuhusu tunu ya kujitenga na ubaguzi wa kidini na kujinasibisha na tunu ya usawa wa kidini, ambao unatokana na tunu mtambuka zilizotajwa hapo awali.

IV. NAFASI YA TUNU MTAMBUKA KWENYE TEOLOJIA YA UKOMBOZI

Hata viongozi wa dini, ambao kimsingi ni wanateolojia, wanatuhimiza kuzienzi tunu mtabuka. Mwaka 1973, Profesa Gustavo Gutierez Merino wa Peru, huko Amerika ya Kusini, aliandika kitabu "A Theology of Liberation: History, Politics, and Salvation," kwa ajili ya kufafanua ukweli hii.

Tunaambatanisha kitabu kizima hapa chini baada ya kunukuu baadhi ya kauli zake muhimu kwa Tanzania ya leo hapa chini....

Profesa Merino anasema yafuatayo kuhusu tunu ya mshikamano:

“An essential clue to the understanding of poverty in liberation theology is the distinction, made in the Medellín document 'Poverty of the Church,' between three meanings of the term 'poverty': real poverty as an evil—that is something that God does not want; spiritual poverty, in the sense of a readiness to do God's will; and solidarity with the poor, along with protest against the conditions under which they suffer.”

Profesa Merino anasema yafuatayo kuhusu tunu hasi ya ubaguzi na tunu chanya ya usawa:
“The denunciation of injustice implies the rejection of the use of Christianity to legitimize the established order.”
Profesa Merino anasema yafuatayo kuhusu tunu chanya za utu, uhai, chakula, makazi, afya, elimu, na uhuru wa kujieleza, kwa upande mmoja, na kwa uoande mwingine, tunu hasi za unyonyaji, ukosefu wa ajira, kusigina hadhi ya utu, na utumwa.

“In the final analysis, poverty means death: lack of food and housing, the inability to attend properly to health and education needs, the exploitation of workers, permanent unemployment, the lack of respect for one's human dignity, and unjust limitations placed on personal freedom in the areas of self-expression, politics, and religion.”

Aidha, Profesa Merino anasema yafuatayo kuhusu tunu chanya ya kutumia miwani ya historia ya jana kuitazama historia ya kesho, na tunu hasi ya ukuta unaotenganisha malimwengu ya kidini na malimwengu ya kisiasa, kiuchumi, na kijamii.

“There are not two histories, one profane and one sacred, 'juxtaposed' or 'closely linked.' Rather there is only one human destiny.”

“History is no longer as it was for the Greeks, an anamnesis, a remembrance. It is rather a thrust into the future.”

Kwa hiyo, kuhusu Teolojia ya Ukombozi wa Rasilimali za Watanzania Wanyonge Dhidi ya Waarabu wa Dubai, Tamko la Maaskofu wa TEC juu ya Bandari zetu limegonga penyewe kwa wakati sahihi.

V. TAMKO LA MAASKOFU NI TAMKO LA KINABII

Wakati kauli za KIkwete zinaonekana kama zinaukandia tamko la TEC, huu ni waraka wa kinabii. Ushahidi wa hili umo kwenye maudhui ya Tamko, hasa zile nukuu za Misahafu, pamoja na mazingira yaliyouzunguka.

Kwa ujumla, tusisahau kwamba sababu zilizowasukuma Maaskofu wa TEC kuchukua hatua waliyoichukua ni nyingi kuliko zile walizozitaja kwenye tamko. Mifano ya sababu ambazo hawakuzitaja hizi hapa:

1. Hayati Magufuli alipiga marufuku makinikia kusafirishwa nje ya nchi, lakini leo marufuku hii imefutwa na kampuni ya kina Rostam Azizi inayoitwa Taifa Transport and Logistics Ltd ndiyo inasafirisha makinikia haya kutoka mikaoni hadi bandarini, kuyapakia kwenye meli hadi huko ng'ambo. Makao yake makuu yako Plot No. 77, Kipawa, Kiwalani Industrial Area, Dar es Salaam, Tanzania.

2. Rais Mstaafu KIkwete alimwahidi Rostam kile kiwanja cha Oysterbay, ilikokuwa POlice Officers Mess, kwa kuwa alitaka kuleta Wachina kujenga Supermarket kwa sharti kwamba wapewe Title Deed ya miaka 99. Mapatano yalikuwa kwamba, Rostam ajenga Kwota za Polisi kule Kunduchi, Pale Morocco, na Kuhamisha Kituo cha Polisi cha Oysterbay na kukijenga pale Namanga kilipo sasa. Rostam kafanya haya yote kwa fedha yake ili apate uhalali wa kumilikishwa kiwanja cha Masaki. Ghafla Mwamba JPM akaingia Ikulu kabla Rostam hajakabidhiwa kiwanja hicho. Rostam akaambiwa, chagua moja: ama nikurudishie fedha zako au nikupe kiwanja kule Bagamooyo, lakini sio hapa Masaki. Rostam kwa unyonge akaomba arudishiwe fedha zake, Na Magufuli hadi anakufa aligoma kuzindua zile KJwota za Polisi kwa sababu ya hasira! Zimezinduliwa majuzi wakati wa uongozi wa Rais Samia.

3. Lakini, wakati hayati Magufuli alimnyima Rostam kile kiwanja cha Oysterbay, ilikokuwa POlice Officers Mess, kwa kuwa alitaka kuleta Wachina kujenga Supermarket kwa sharti kwamba wapewe Title Deed ya miaka 99, leo tunataka kutoa bandari zote 88 kwa miaka zaidi ya 99.

4. Wakati hayati Magufuli alikataa wazo la kuhamisha kituo cha Polisi cha Oysterbay hadi Namanga, japo akawa amechelewa, na hilo likatokea chini ya awamu ya Kikwete; alichukua hatua za haraka kuzuia michakato iliyokuwa ifuate. Alifanya hivyo mara tu baada ya kuingia ofisini. Leo Samia anataka kuhamisha Chuo cha Polisi cha Kigamboni na kukipeleka anakokujua yeye, ili KIgamboni awakabidhi Waarabu wa Dubai kwa miaka zaidi ya 99. Watalipa fidia kama Rostam alivyotaka kufanya wakati anahamisha kituo cha Polisi cha Oysterbay kutoka kule ufukweni hadi pale Namanga.

5. Mdogo wake Rostam, aitwaye Akram Aziz, alishtakiwa na kupokonywa bunduki 56 alizokuwa anamiliki kiharamu kwa ajili ya ujangili, lakini sasa amerudishiwa silaha hizo, na ujangili ni business as usual.

6. Akram Aziz aliposhtakiwa mwaka 2018 Mahakama ilitaka afungwe na kulipa faini kwa pamoja, lakni Nchimbi wakati huo akiwa waziri wa Mambo ya Ndani akacheza muziki wake adhabu ikawa either/or scenario. Zawadi yake ilikuwa ni bonge la "kitu" kule Boko. Sasa Nchimbi amerudishwa nchini, huenda, kwa ajili ya kuimarisha Timu Rostam.

7. Hakuna mwekezaji wa kigeni anayekanyaga Tanzania bila kwanza kwenda KUHIJI NA KUSUJUDU nyumbani kwa Rostam Aziz, na DP World wakiwemo, hata kama ametoa kauli ya kuwaruka juzi.

8. Wakati tunayafahamu haya yote, tumemwona Rostam Aziz ameketi na Rais Saimia huko Marekani wakisaini mikataba ya siri. Mpaka leo hatujaambiwa wakati sisi ndio wananchi wenye wenye nchi.

9. Haya tunayoyasema hapa, ni habari za wazi sana katika duru za vyombo vya ulinzi na usalama. Tatizo wakubwa kadhaa tayari wametekwa. Jana tuliulizwa kutoa maoni yetu kuhusu dhana kwamba IGP Camillius Wambura aliyewaweka kizuizini kina Dr Slaa anapaswa kujiuzuli. Tunasema hapana. Alitumwa. Kumwadhibu yeye ni sawa na kujaribu kuliua joka kubwa kwa kupiga mkia wake badala ya kugonga kichwa. Tunapaswa kugonga kichwa. Lakini kazi ya kugonga kichwa ni ngumu sana kiasi kwamba kunahitajika detonator kabambe. Ugumu wake uko hivi: Rais Samia amejilundikia "watu wake" kiasi kwamba tatizo la "collective thinking" sasa limezingira "makao." Just imagine the Topmost Three ndani ya "Eagles House" ni Wazanzibari. Rais ni Mzanzibari. Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani Mzanzibari. Asilmia 21 ya ajira za Muungano ni za Wazanzibari. Mbarawa wa IGA Mzanzibari. Hamza Johari wa IGA Mzanzibari. Nchi imetekwa.

VI. HITIMISHO NA MAPENDEKEZO

10. Kwa ufupi, tunachosema ni kwamba, Rais Mstaafu Kikwete afahamu kuwa yeye ndiye mwasisi wa Timu Rostam na kwamba Timu Rostam ni hatari kwa usalama wa Rais Samia, Usalama wa CCM na kwa usalama wa Taifa kwa ujumla. Ni timu ya watu wanaofanya uhaini wa kiuchumi. Lakini Maaskofu wa TEC sio hatari kwa usalama wa Taifa letu. Kikwete ajifunze kusoma alama za nyakati na kuchukua hatua sahiki. Kwa leo tunaishia hapo.

Dawati la Mama Amon
"Sumbawanga Town"
Sumbawanga.

1692585365806.png


1692585700956.png
 

Attachments

  • A Theology of Liberation--Gustavo Gutierez Merino.pdf
    3.1 MB · Views: 3

View: https://youtu.be/JJ0lKTrRwmc

Aya ya 19 katika Katiba ya Tanzania (1977) inasomeka kama ifuatavyo:

(1) Kila mtu anastahili kuwa na uhuru wa mawazo, imani na uchaguzi katika mambo ya dini, pamoja na uhuru wa mtu kubadilisha dini au imani yake.
(2) Bila ya kuathiri sheria zinazohusika za Jamhuri ya Muungano, kazi ya kutangaza dini, kufanya ibada na kueneza dini itakuwa ni huru na jambo la hiari ya mtu ya binafsi, na shughuli na uendeshaji wa jumuiya za dini zitakuwa nje ya shughuli za mamlaka ya nchi.
(3) Kila palipotajwa neno "dini" katika ibara hii ifahamike kwamba maana yake ni pamoja na madhehebu ya dini, na maneno mengineyo yanayofanana au kuambatana na neno hilo nayo yatatafsiriwa kwa maana hiyo.

Tunafikiri kwamba, onyo la Rais Mstaafu, Jakaya KIkwete kuhusu alichokiita "tunu ya kutenganusha dini na siasa," kama likitazamwa katika wigo wa nukuu hii, linahitaji kudadavuliwa ili lisipotoshwe.

Kwa mujibu wa Katiba ya Tanzania, hasa ibara ya 19(2), ukuta unaotenganisha maisha ya kidini na maisha ya kisiasa ni kama "semi-permeable membrane," tuliyoisoma kwenye bayolojia ya seli.

Yaani, ni ukuta wenye milango inayoruhusu vitu vilivyoko upande mmoja kupenya na kwenda upande wa pili, lakini inakataza vitu vilivyo upande wa pili kupenya na kuingia upande wa kwanza.

Ukuta wa kikatiba unaotenganisha dini na siasa unayo milango kama hiyo pia. Unawaruhusu watu walioko upande wa dini kusukuma mlango na kuingia upande wa serikali, lakini unawakataza watu walioko upande wa serikali kusukuma mlango na kuingia upande wa dini.

Hivyo, makuhani wanaweza kugombea udiwani, ubunge na urais, kama sheria za makanisa yao haziwakatazi.

Pia wanaweza kuzikosoa sera za serikali kwa niaba ya waumini wao. Lakini serikali haiwezi kuanzisha dini rasmi ya Taifa wala kuzikosoa sera za ndani ya taasisi za kidini, isipkuwa pale zinapokiuka katika ya nchi.

Mwaka 1973, Profesa Gustavo Gutierez Merino wa Peru, huko Amerika ya Kusini, aliandika kitabu "A Theology of Liberation: History, Politics, and Salvation," kwa ajili ya kufafanua ukweli hii.

Tunaambatanisha kitabu kizima hapa chini baada ya kunukuu baadhi ya kauli zake muhimu kwa Tanzania ya leo hapa chini....

“An essential clue to the understanding of poverty in liberation theology is the distinction, made in the Medellín document 'Poverty of the Church,' between three meanings of the term 'poverty': real poverty as an evil—that is something that God does not want; spiritual poverty, in the sense of a readiness to do God's will; and solidarity with the poor, along with protest against the conditions under which they suffer.”
“The denunciation of injustice implies the rejection of the use of Christianity to legitimize the established order.”
“In the final analysis, poverty means death: lack of food and housing, the inability to attend properly to health and education needs, the exploitation of workers, permanent unemployment, the lack of respect for one's human dignity, and unjust limitations placed on personal freedom in the areas of self-expression, politics, and religion.”
“There are not two histories, one profane and one sacred, 'juxtaposed' or 'closely linked.' Rather there is only one human destiny.”
“History is no longer as it was for the Greeks, an anamnesis, a remembrance. It is rather a thrust into the future.”

Kwa hiyo, kuhusu Teolojia ya Ukombozi wa Rasilimali za Watanzania Wanyonge Dhidi ya Waarabu, Tamko la Maaskofu wa TEC juu ya Bandari zetu limegonga penyewe!

Tusisahau kwamba sababu zilizowasukuma Maaskofu wa TEC kuchukua hatua waliyoichukua ni nyingi kuliko zile walizozitaja kwenye tamko. Mifano ya sababu ambazo hawakuzitaja hizi hapa:

1. Hayati Magufuli alipiga marufuku makinikia kusafirishwa nje ya nchi, lakini leo marufuku hii imefutwa na kampuni ya kina Rostam Azizi inayoitwa Taifa Transport and Logistics Ltd ndiyo inasafirisha makinikia haya.

2. Rais Mstaafu KIkwete alimwahidi Rostam kile kiwanja cha Oysterbay, ilikokuwa POlice Officers Mess, kwa kuwa alitaka kuleta Wachina kujenga Supermarket kwa sharti kwamba wapewe Title Deed ya miaka 99. Mapatano yalikuwa kwamba, Rostam ajenga Kwota za Polisi kule Kunduchi, Pale Morocco, na Kuhamisha Kituo cha Polisi cha Oysterbay na kukijenga pale Namanga kilipo sasa. Rostam kafanya haya yote kwa fedha yake ili apate uhalali wa kumilikishwa kiwancha cha Masaki. Mwamba aliingia Ikulu kabla Rostam hajakabidhiwa. Rostam akaambiwa, chagua moja: ama nikurudishie fedha zako au nikupe kiwanja kule Bagamooyo, lakini sio hapa Masaki. Rostam kwa unyonge akaomba arudishiwe fedha zake, Na Magufuli hadi anakufa aligoma kuzindua zile KJwota za Polisi kwa sababu ya hasira!

3. Lakini, hayati Magufuli alimnyima Rostam kile kiwanja cha Oysterbay, ilikokuwa POlice Officers Mess, kwa kuwa alitaka kuleta Wachina kujenga Supermarket kwa sharti kwamba wapewe Title Deed ya miaka 99, lakini leo tunatoa bandari kwa miaka zaidi ya 99.

4. Mdogo wake Rostam, aitwaye Akram Aziz, alishtakiwa na kupokonywa bunduki 56 alizokuwa anamiliki kiharamu kwa ajili ya ujangili, lakini sasa amerudishiwa silaha hizo, na ujangili ni business as usual.

5. Akram Aziz aliposhtakiwa mwaka 2018 Mahakama ilitaka afungwe na kulipa faini kwa pamoja, lakni Nchimbi wakati huo akiwa waziri wa Mambo ya Ndani akacheza muziki wake adhabu ikawa either/or scenario. Zawadi yake ilikuwa ni bonge la "kitu" kule Boko. Sasa Nchimbi amerudishwa nchini, huenda, kwa ajili ya kuimarisha Timu Rostam.

6. Hakuna mwekezaji wa kigeni anayekanyaga Tanzania bila kwanza kwenda KUHIJI NA KUSUJUDU nyumbani kwa Rostam Aziz, na DP World wakiwemo, hata kama ametoa kauli ya kuwaruka juzi

Kwa ufupi, tunachosema ni kwamba, Rais Mstaafu Kikwete afahamu kuwa yeye ndiye mwasisi wa Timu Rostam na kwamba Timu Rostam ni hatari kwa usalama wa Rais Samia, Usalama wa CCM na kwa usalama wa Taifa kwa ujumla. Ni timu ya wahaini wa kiuchumi.

Kwa leo tunaishia hapo.

Dawati la Mama Amon
"Sumbawanga Town"
Sumbawanga.
View attachment 2723329

Roma ina mtandao mkubwa.

Saa100 achana na Raslimali za Tanganyika kuwapa wageni ili umalize kipindi chako salama.

JK akikuambia nje kuna giza toka ukajiridhishe kama kweli kuna giza.
 
Wewe bibie, mimi nakukubali sana..

Huwa unajitokeza mara moja moja sana. Lakini kila ukishuka, hujagi na hoja za umbea wa kuokoteza mitaani bali huwa unaleta hoja zilizotafitiwa na zikiwa supported na evidences..

By the way, napenda style yako ya uandishi. Ni ya kisomi hasa. It's very rarely kukutana na makosa ya kiuandishi na kimantiki ktk flow yako ya kile unachokiwasilisha..

Asante pia kwa reminder hii uliyotupa kuhusu skendo ya mkataba wa bandari inayomtesa Rais Samia Suluhu Hassan sasa hata asijue namna ya kujinasua kisha kujisafisha na matope aliyokwisha pakwa na skendo hii.

Binafsi nimekuelewa sana bibie. Na mstaafu Rais Jakaya Mrisho Kikwete, amechemka sana leo. Angefanya yaliyompeleka huko Rorya na kurudi Msoga - Bagamoyo kuendelea kula pensheni yake na kuepuka kufanya indirect attack kwa TEC kwa style ile akidhani watu hatutaelewa amelenga nini...

Hata hivyo, Rais Samia Suluhu Hassan bado ndiye Rais wetu. Jukumu letu ni kumwombea kwa Mungu wetu aliye mbinguni ili ampe hekima na busara zitakazomwezesha kutoka kwenye shida hii ili alinde heshima yake na ya wanawake kwa ujumla...

Honestly, naamini kabisa huyu mama ameingizwa kwenye mkenge huu na wanaume wenye tamaa waliomzunguka kumsaidia kiuongozi kwa kutumia udhaifu na inexperience yake kiuongozi ktk nafasi ya U-rais...

Nasema hivi kwa sababu na kwa maoni yangu, huyu mama haku deserve position hii. Lakini kwa sababu za kikatiba, ilibidi utaratibu utunzwe na kuheshimiwa, ndipo akawa Rais..

Mwanamke mwenye kila kitu hawezi kuwa na tamaa ya kuweza kuthubutu kufanya hiki cha kujaribu kuharibu reputation ya nchi hii kwa style ya namna hii ambapo dalili zote zinaonesha kuwa waliotenda hili kosa wamehongwa ili kuuza sovereignty ya nchi Kwa nchi nyingine. Huu ndio hasa uhaini..

Lakini kinachoshangaza ni hiki. Kwamba, mpaka sasa huyu mama hajaona tatizo lilikoanzia na kisha akiwa ni mamlaka ya juu kabisa ya nchi, basi achakue hatua stahiki. Hii sasa ndiyo ajabu kubwa!!

CC: MamaSamia2025 - njoo huku. Soma hii ujifunze kwa wanawake wenzio wenye akili zinazowapa uwezo wa kujenga hoja wakaeleweka na kuheshimiwa..
 

View: https://youtu.be/JJ0lKTrRwmc

Aya ya 19 katika Katiba ya Tanzania (1977) inasomeka kama ifuatavyo:

(1) Kila mtu anastahili kuwa na uhuru wa mawazo, imani na uchaguzi katika mambo ya dini, pamoja na uhuru wa mtu kubadilisha dini au imani yake.
(2) Bila ya kuathiri sheria zinazohusika za Jamhuri ya Muungano, kazi ya kutangaza dini, kufanya ibada na kueneza dini itakuwa ni huru na jambo la hiari ya mtu ya binafsi, na shughuli na uendeshaji wa jumuiya za dini zitakuwa nje ya shughuli za mamlaka ya nchi.
(3) Kila palipotajwa neno "dini" katika ibara hii ifahamike kwamba maana yake ni pamoja na madhehebu ya dini, na maneno mengineyo yanayofanana au kuambatana na neno hilo nayo yatatafsiriwa kwa maana hiyo.

Tunafikiri kwamba, onyo la Rais Mstaafu, Jakaya KIkwete kuhusu alichokiita "tunu ya kutenganusha dini na siasa," kama likitazamwa katika wigo wa nukuu hii, linahitaji kudadavuliwa ili lisipotoshwe.

Kwa mujibu wa Katiba ya Tanzania, hasa ibara ya 19(2), ukuta unaotenganisha maisha ya kidini na maisha ya kisiasa ni kama "semi-permeable membrane," tuliyoisoma kwenye bayolojia ya seli.

Yaani, ni ukuta wenye milango inayoruhusu vitu vilivyoko upande mmoja kupenya na kwenda upande wa pili, lakini inakataza vitu vilivyo upande wa pili kupenya na kuingia upande wa kwanza.

Ukuta wa kikatiba unaotenganisha dini na siasa unayo milango kama hiyo pia. Unawaruhusu watu walioko upande wa dini kusukuma mlango na kuingia upande wa serikali, lakini unawakataza watu walioko upande wa serikali kusukuma mlango na kuingia upande wa dini.

Hivyo, makuhani wanaweza kugombea udiwani, ubunge na urais, kama sheria za makanisa yao haziwakatazi.

Pia wanaweza kuzikosoa sera za serikali kwa niaba ya waumini wao. Lakini serikali haiwezi kuanzisha dini rasmi ya Taifa wala kuzikosoa sera za ndani ya taasisi za kidini, isipkuwa pale zinapokiuka katika ya nchi.

Mwaka 1973, Profesa Gustavo Gutierez Merino wa Peru, huko Amerika ya Kusini, aliandika kitabu "A Theology of Liberation: History, Politics, and Salvation," kwa ajili ya kufafanua ukweli hii.

Tunaambatanisha kitabu kizima hapa chini baada ya kunukuu baadhi ya kauli zake muhimu kwa Tanzania ya leo hapa chini....

“An essential clue to the understanding of poverty in liberation theology is the distinction, made in the Medellín document 'Poverty of the Church,' between three meanings of the term 'poverty': real poverty as an evil—that is something that God does not want; spiritual poverty, in the sense of a readiness to do God's will; and solidarity with the poor, along with protest against the conditions under which they suffer.”
“The denunciation of injustice implies the rejection of the use of Christianity to legitimize the established order.”
“In the final analysis, poverty means death: lack of food and housing, the inability to attend properly to health and education needs, the exploitation of workers, permanent unemployment, the lack of respect for one's human dignity, and unjust limitations placed on personal freedom in the areas of self-expression, politics, and religion.”
“There are not two histories, one profane and one sacred, 'juxtaposed' or 'closely linked.' Rather there is only one human destiny.”
“History is no longer as it was for the Greeks, an anamnesis, a remembrance. It is rather a thrust into the future.”

Kwa hiyo, kuhusu Teolojia ya Ukombozi wa Rasilimali za Watanzania Wanyonge Dhidi ya Waarabu, Tamko la Maaskofu wa TEC juu ya Bandari zetu limegonga penyewe!

Tusisahau kwamba sababu zilizowasukuma Maaskofu wa TEC kuchukua hatua waliyoichukua ni nyingi kuliko zile walizozitaja kwenye tamko. Mifano ya sababu ambazo hawakuzitaja hizi hapa:

1. Hayati Magufuli alipiga marufuku makinikia kusafirishwa nje ya nchi, lakini leo marufuku hii imefutwa na kampuni ya kina Rostam Azizi inayoitwa Taifa Transport and Logistics Ltd ndiyo inasafirisha makinikia haya.

2. Rais Mstaafu KIkwete alimwahidi Rostam kile kiwanja cha Oysterbay, ilikokuwa POlice Officers Mess, kwa kuwa alitaka kuleta Wachina kujenga Supermarket kwa sharti kwamba wapewe Title Deed ya miaka 99. Mapatano yalikuwa kwamba, Rostam ajenga Kwota za Polisi kule Kunduchi, Pale Morocco, na Kuhamisha Kituo cha Polisi cha Oysterbay na kukijenga pale Namanga kilipo sasa. Rostam kafanya haya yote kwa fedha yake ili apate uhalali wa kumilikishwa kiwancha cha Masaki. Mwamba aliingia Ikulu kabla Rostam hajakabidhiwa. Rostam akaambiwa, chagua moja: ama nikurudishie fedha zako au nikupe kiwanja kule Bagamooyo, lakini sio hapa Masaki. Rostam kwa unyonge akaomba arudishiwe fedha zake, Na Magufuli hadi anakufa aligoma kuzindua zile KJwota za Polisi kwa sababu ya hasira!

3. Lakini, hayati Magufuli alimnyima Rostam kile kiwanja cha Oysterbay, ilikokuwa POlice Officers Mess, kwa kuwa alitaka kuleta Wachina kujenga Supermarket kwa sharti kwamba wapewe Title Deed ya miaka 99, lakini leo tunatoa bandari kwa miaka zaidi ya 99.

4. Wakati hayati Magufuli alikataa wazo la kuhamisha kituo cha Polisi cha Oysterbay hadi Namanga, japo akawa amechelewa, na hilo likatokea chini ya Kikwete; alichukua hatua za kuzuia mara tu baada ya kuingia ofisini. Leo Samia anataka kuhamisha Chuo cha polisi cha Kigamboni na kukipeleka anakokujua ili KIgamboni awakabidhi Waarabu wa Dubai kwa miaka zaidi ya 99.

5. Mdogo wake Rostam, aitwaye Akram Aziz, alishtakiwa na kupokonywa bunduki 56 alizokuwa anamiliki kiharamu kwa ajili ya ujangili, lakini sasa amerudishiwa silaha hizo, na ujangili ni business as usual.

6. Akram Aziz aliposhtakiwa mwaka 2018 Mahakama ilitaka afungwe na kulipa faini kwa pamoja, lakni Nchimbi wakati huo akiwa waziri wa Mambo ya Ndani akacheza muziki wake adhabu ikawa either/or scenario. Zawadi yake ilikuwa ni bonge la "kitu" kule Boko. Sasa Nchimbi amerudishwa nchini, huenda, kwa ajili ya kuimarisha Timu Rostam.

7. Hakuna mwekezaji wa kigeni anayekanyaga Tanzania bila kwanza kwenda KUHIJI NA KUSUJUDU nyumbani kwa Rostam Aziz, na DP World wakiwemo, hata kama ametoa kauli ya kuwaruka juzi.

8. Wakati tunayafahamu haya yote, tumemwona Rostam Aziz ameketi na Rais Saimia huko Marekani wakisaini mikataba ya siri. Mpaka leo hatujaambiwa wakati sisi ndio wananchi wenye wenye nchi.

9. Haya tunayoyasema hapa, ni habari za wazi sana katika duru za vyombo vya ulinzi na usalama. Tatizo wakubwa kadhaa tayari wametekwa. Jana tuliulizwa kutoa maoni yetu kuhusu dhana kwamba IGP Camillius Wambura aliyewaweka kizuizini kina Dr Slaa anapaswa kujiuzuli. Tunasema hapana. Alitumwa. Kumwadhibu ni sawa na kujaribu kuliua joka kwa kupiga mkia badala ya kichwa. Tunapaswa kugonga kichwa. Na kazi ya kugonga kichwa ni ngumu sana kiasi kwamba kunahitajika detonator kabambe. Ugumu wake uko hivi: Rais Samia amejilundikia "watu wake" kiasi kwamba tatizo la "collective thinking" sasa limezingira "makao." Just imagine the Big Three ndani ya Eagles House ni Wazanzibari. Unatarajia nini?

10. Kwa ufupi, tunachosema ni kwamba, Rais Mstaafu Kikwete afahamu kuwa yeye ndiye mwasisi wa Timu Rostam na kwamba Timu Rostam ni hatari kwa usalama wa Rais Samia, Usalama wa CCM na kwa usalama wa Taifa kwa ujumla. Ni timu ya watu wanaofanya uhaini wa kiuchumi. Lakini Maaskofu wa TEC sio hatari kwa usalama wa Taifa letu. Kwa leo tunaishia hapo.

Dawati la Mama Amon
"Sumbawanga Town"
Sumbawanga.
View attachment 2723329

Najua unasubilia kuachia Jimbo 2025
 
Wewe bibie, mimi nakukubali sana..

Huwa unajitokeza mara moja moja sana. Lakini kila ukishuka, hujagi na hoja za umbea wa kuokoteza mitaani bali huwa unaleta hoja zilizotafitiwa na zikiwa supported na evidences..

By the way, napenda style yako ya uandishi. Ni ya kisomi hasa. It's very rarely kukutana na makosa ya kiuandishi na kimantiki ktk flow yako ya kile unachokiwasilisha..

Asante pia kwa reminder hii uliyotupa kuhusu skendo ya mkataba wa bandari inayomtesa Rais Samia Suluhu Hassan sasa hata asijue namna ya kujinasua kisha kujisafisha na matope aliyokwisha pakwa na skendo hii.

Binafsi nimekuelewa sana bibie. Na mstaafu Rais Jakaya Mrisho Kikwete, amechemka sana leo. Angefanya yaliyompeleka huko Rorya na kurudi Msoga - Bagamoyo kuendelea kula pensheni yake na kuepuka kufanya indirect attack kwa TEC kwa style ile akidhani watu hatutaelewa amelenga nini...

Hata hivyo, Rais Samia Suluhu Hassan bado ndiye Rais wetu. Jukumu letu ni kumwombea kwa Mungu wetu aliye mbinguni ili ampe hekima na busara zitakazomwezesha kutoka kwenye shida hii ili alinde heshima yake na ya wanawake kwa ujumla...

Honestly, naamini kabisa huyu mama ameingizwa kwenye mkenge huu na wanaume wenye tamaa waliomzunguka kumsaidia kiuongozi kwa kutumia udhaifu na inexperience yake kiuongozi ktk nafasi ya U-rais...

Nasema hivi kwa sababu na kwa maoni yangu, huyu mama haku deserve position hii. Lakini kwa sababu za kikatiba, ilibidi utaratibu utunzwe na kuheshimiwa, ndipo akawa Rais..

Mwanamke mwenye kila kitu hawezi kuwa na tamaa ya kuweza kuthubutu kufanya hiki cha kujaribu kuharibu reputation ya nchi hii kwa style ya namna hii ambapo dalili zote zinaonesha kuwa waliotenda hili kosa wamehongwa ili kuuza sovereignty ya nchi Kwa nchi nyingine. Huu ndio hasa uhaini..

Lakini kinachoshangaza ni hiki. Kwamba, mpaka sasa huyu mama hajaona tatizo lilikoanzia na kisha akiwa ni mamlaka ya juu kabisa ya nchi, basi achakue hatua stahiki. Hii sasa ndiyo ajabu kubwa!!

CC: MamaSamia2025 - njoo huku. Soma hii ujifunze kwa wanawake wenzio wenye akili zinazowapa uwezo wa kujenga hoja wakaeleweka na kuheshimiwa..
Kamuulize mamako kuhusu babako wa ukweli ni yupi ili tuanze kuheshimiana.
 
... Magufuli could be one of the best presidents in this country sema ndio hivyo alikuwa na viji-traits fulani vilimwangusha sana.
 
Wewe bibie, mimi nakukubali sana..

Huwa unajitokeza mara moja moja sana. Lakini kila ukishuka, hujagi na hoja za umbea wa kuokoteza mitaani bali huwa unaleta hoja zilizotafitiwa na zikiwa supported na evidences..

By the way, napenda style yako ya uandishi. Ni ya kisomi hasa. It's very rarely kukutana na makosa ya kiuandishi na kimantiki ktk flow yako ya kile unachokiwasilisha..

Asante pia kwa reminder hii uliyotupa kuhusu skendo ya mkataba wa bandari inayomtesa Rais Samia Suluhu Hassan sasa hata asijue namna ya kujinasua kisha kujisafisha na matope aliyokwisha pakwa na skendo hii.

Binafsi nimekuelewa sana bibie. Na mstaafu Rais Jakaya Mrisho Kikwete, amechemka sana leo. Angefanya yaliyompeleka huko Rorya na kurudi Msoga - Bagamoyo kuendelea kula pensheni yake na kuepuka kufanya indirect attack kwa TEC kwa style ile akidhani watu hatutaelewa amelenga nini...

Hata hivyo, Rais Samia Suluhu Hassan bado ndiye Rais wetu. Jukumu letu ni kumwombea kwa Mungu wetu aliye mbinguni ili ampe hekima na busara zitakazomwezesha kutoka kwenye shida hii ili alinde heshima yake na ya wanawake kwa ujumla...

Honestly, naamini kabisa huyu mama ameingizwa kwenye mkenge huu na wanaume wenye tamaa waliomzunguka kumsaidia kiuongozi kwa kutumia udhaifu na inexperience yake kiuongozi ktk nafasi ya U-rais...

Nasema hivi kwa sababu na kwa maoni yangu, huyu mama haku deserve position hii. Lakini kwa sababu za kikatiba, ilibidi utaratibu utunzwe na kuheshimiwa, ndipo akawa Rais..

Mwanamke mwenye kila kitu hawezi kuwa na tamaa ya kuweza kuthubutu kufanya hiki cha kujaribu kuharibu reputation ya nchi hii kwa style ya namna hii ambapo dalili zote zinaonesha kuwa waliotenda hili kosa wamehongwa ili kuuza sovereignty ya nchi Kwa nchi nyingine. Huu ndio hasa uhaini..

Lakini kinachoshangaza ni hiki. Kwamba, mpaka sasa huyu mama hajaona tatizo lilikoanzia na kisha akiwa ni mamlaka ya juu kabisa ya nchi, basi achakue hatua stahiki. Hii sasa ndiyo ajabu kubwa!!

CC: MamaSamia2025 - njoo huku. Soma hii ujifunze kwa wanawake wenzio wenye akili zinazowapa uwezo wa kujenga hoja wakaeleweka na kuheshimiwa..
Naona umepost alafu umekuja ku comment kwa id nyingine.

Bado ile moja ya Rabbon
 

View: https://youtu.be/JJ0lKTrRwmc

Aya ya 19 katika Katiba ya Tanzania (1977) inasomeka kama ifuatavyo:

(1) Kila mtu anastahili kuwa na uhuru wa mawazo, imani na uchaguzi katika mambo ya dini, pamoja na uhuru wa mtu kubadilisha dini au imani yake.
(2) Bila ya kuathiri sheria zinazohusika za Jamhuri ya Muungano, kazi ya kutangaza dini, kufanya ibada na kueneza dini itakuwa ni huru na jambo la hiari ya mtu ya binafsi, na shughuli na uendeshaji wa jumuiya za dini zitakuwa nje ya shughuli za mamlaka ya nchi.
(3) Kila palipotajwa neno "dini" katika ibara hii ifahamike kwamba maana yake ni pamoja na madhehebu ya dini, na maneno mengineyo yanayofanana au kuambatana na neno hilo nayo yatatafsiriwa kwa maana hiyo.

Katika mipaka ya nukuu hii, tunaungana mkono onyo la Rais Mstaafu, Jakaya KIkwete kuhusu alichokiita umuhimu wa "tunu ya kutenganusha dini na siasa."

Lakini, kwa jili ya kuboresha aiichokisema, tunapenda kufafanua tofauti kati ya dhana nne zinazohusiana na alichokisema. Yaani dhana ya "dini na siasa," "udini na siasa," "dini na usiasa," na "udini na usiasa." Mchoro ufuatao unazitofautisha vema.

View attachment 2723435

Yaani, kutokana na mchoro huu, kadiri maisha ya kidini na kisiasa yanavyohusika , kuna Watanzania wa aina nne, kama ifuatavyo:
  1. Watanzania wenye udini na mwenye usiasa. Hawa wanatumia dini kama mbinu ya kufanikisha malengo ya kisiasa, na kutumia siasa kama mbinu ya kufanikisha malengo ya kidini. Hii ni tunu hasi.
  2. Watanzania wenye udini na asiye na usiasa. Hawa wanatumia dini kama mbinu ya kufanikisha malengo ya kisiasa. Hii ni tunu hasi.
  3. Watanzania wasio na udini na wenye usiasa. Hawa wanatumia siasa kama mbinu ya kufanikisha malengo ya kidini. Hii ni tunu hasi.
  4. Watanzania wasio na udini na wasio na usiasa. Hawa wanatumia dini kama mbinu ya kufanikisha malengo ya kisiasa, na kutumia siasa kama mbinu ya kufanikisha malengo ya kidini. Hii ni tunu chanya.
Kwa maoni yetu, basi, Rais Mstaafu KIkwete aliongelea tunu nne zifuatazo: tunu chanya ya "kuchanganya dini na siasa," tunu hasi ya "kuchanganya udini na siasa," tunu hasi ya "kuchanganya dini na usiasa," na tunu hasi ya "kuchanganya udini na usiasa,"

Hivyo basi, kwa maoni yetu kuchanganya dini na siasa sio tatizo, maana tunafanya hivyo kila siku, kama picha za KIkwete hapa chini zinavyoonyesha.

Lakini, kuna tatizo katika matatu yaliyo baki. Yaani, tunu hasi zifuatazo: "kuchanganya udini na siasa," "kuchanganya dini na usiasa," na "kuchanganya udini na usiasa."

Hivyo, tunafikiri kwamba, KIkatiba na kisheria, onyo la Rais Mstaafu, Jakaya KIkwete, kuhusu alichokiita "tunu ya kutochanganya dini na siasa," kama likitazamwa katika wigo wa uchambuzi huu, linapaswa kutfsiriwa katika mipaka ifuatayo:

Kwa mujibu wa Katiba ya Tanzania, hasa ibara ya 19(2), ukuta unaotenganisha maisha ya kidini na maisha ya kisiasa ni kama "semi-permeable membrane," tuliyoisoma kwenye bayolojia ya seli.

Yaani, ni ukuta wenye milango inayoruhusu vitu vilivyoko upande mmoja kupenya na kwenda upande wa pili, lakini inakataza vitu vilivyo upande wa pili kupenya na kuingia upande wa kwanza.

Ukuta wa kikatiba unaotenganisha dini na siasa unayo milango kama hiyo pia. Unawaruhusu watu walioko upande wa dini kusukuma mlango na kuingia upande wa serikali, lakini unawakataza watu walioko upande wa serikali kusukuma mlango na kuingia upande wa dini.

Hivyo, makuhani wanaweza kugombea udiwani, ubunge na urais, kama sheria za makanisa yao haziwakatazi.

Pia wanaweza kuzikosoa sera za serikali kwa niaba ya waumini wao. Lakini serikali haiwezi kuanzisha dini rasmi ya Taifa wala kuzikosoa sera za ndani ya taasisi za kidini, isipkuwa pale zinapokiuka katika ya nchi.

Mwaka 1973, Profesa Gustavo Gutierez Merino wa Peru, huko Amerika ya Kusini, aliandika kitabu "A Theology of Liberation: History, Politics, and Salvation," kwa ajili ya kufafanua ukweli hii.

Tunaambatanisha kitabu kizima hapa chini baada ya kunukuu baadhi ya kauli zake muhimu kwa Tanzania ya leo hapa chini....

“An essential clue to the understanding of poverty in liberation theology is the distinction, made in the Medellín document 'Poverty of the Church,' between three meanings of the term 'poverty': real poverty as an evil—that is something that God does not want; spiritual poverty, in the sense of a readiness to do God's will; and solidarity with the poor, along with protest against the conditions under which they suffer.”
“The denunciation of injustice implies the rejection of the use of Christianity to legitimize the established order.”
“In the final analysis, poverty means death: lack of food and housing, the inability to attend properly to health and education needs, the exploitation of workers, permanent unemployment, the lack of respect for one's human dignity, and unjust limitations placed on personal freedom in the areas of self-expression, politics, and religion.”
“There are not two histories, one profane and one sacred, 'juxtaposed' or 'closely linked.' Rather there is only one human destiny.”
“History is no longer as it was for the Greeks, an anamnesis, a remembrance. It is rather a thrust into the future.”

Kwa hiyo, kuhusu Teolojia ya Ukombozi wa Rasilimali za Watanzania Wanyonge Dhidi ya Waarabu wa Dubai, Tamko la Maaskofu wa TEC juu ya Bandari zetu limegonga penyewe kwa wakati sahihi.

Tusisahau kwamba sababu zilizowasukuma Maaskofu wa TEC kuchukua hatua waliyoichukua ni nyingi kuliko zile walizozitaja kwenye tamko. Mifano ya sababu ambazo hawakuzitaja hizi hapa:

1. Hayati Magufuli alipiga marufuku makinikia kusafirishwa nje ya nchi, lakini leo marufuku hii imefutwa na kampuni ya kina Rostam Azizi inayoitwa Taifa Transport and Logistics Ltd ndiyo inasafirisha makinikia haya kutoka mikaoni hadi bandarini, kuyapakia kwenye meli hadi huko ng'ambo. Makao yake makuu yako Plot No. 77, Kipawa, Kiwalani Industrial Area, Dar es Salaam, Tanzania.

2. Rais Mstaafu KIkwete alimwahidi Rostam kile kiwanja cha Oysterbay, ilikokuwa POlice Officers Mess, kwa kuwa alitaka kuleta Wachina kujenga Supermarket kwa sharti kwamba wapewe Title Deed ya miaka 99. Mapatano yalikuwa kwamba, Rostam ajenga Kwota za Polisi kule Kunduchi, Pale Morocco, na Kuhamisha Kituo cha Polisi cha Oysterbay na kukijenga pale Namanga kilipo sasa. Rostam kafanya haya yote kwa fedha yake ili apate uhalali wa kumilikishwa kiwanja cha Masaki. Ghafla Mwamba JPM akaingia Ikulu kabla Rostam hajakabidhiwa kiwanja hicho. Rostam akaambiwa, chagua moja: ama nikurudishie fedha zako au nikupe kiwanja kule Bagamooyo, lakini sio hapa Masaki. Rostam kwa unyonge akaomba arudishiwe fedha zake, Na Magufuli hadi anakufa aligoma kuzindua zile KJwota za Polisi kwa sababu ya hasira! Zimezinduliwa majuzi wakati wa uongozi wa Rais Samia.

3. Lakini, wakati hayati Magufuli alimnyima Rostam kile kiwanja cha Oysterbay, ilikokuwa POlice Officers Mess, kwa kuwa alitaka kuleta Wachina kujenga Supermarket kwa sharti kwamba wapewe Title Deed ya miaka 99, leo tunataka kutoa bandari zote 88 kwa miaka zaidi ya 99.

4. Wakati hayati Magufuli alikataa wazo la kuhamisha kituo cha Polisi cha Oysterbay hadi Namanga, japo akawa amechelewa, na hilo likatokea chini ya awamu ya Kikwete; alichukua hatua za haraka kuzuia michakato iliyokuwa ifuate. Alifanya hivyo mara tu baada ya kuingia ofisini. Leo Samia anataka kuhamisha Chuo cha Polisi cha Kigamboni na kukipeleka anakokujua yeye, ili KIgamboni awakabidhi Waarabu wa Dubai kwa miaka zaidi ya 99. Watalipa fidia kama Rostam alivyotaka kufanya wakati anahamisha kituo cha Polisi cha Oysterbay kutoka kule ufukweni hadi pale Namanga.

5. Mdogo wake Rostam, aitwaye Akram Aziz, alishtakiwa na kupokonywa bunduki 56 alizokuwa anamiliki kiharamu kwa ajili ya ujangili, lakini sasa amerudishiwa silaha hizo, na ujangili ni business as usual.

6. Akram Aziz aliposhtakiwa mwaka 2018 Mahakama ilitaka afungwe na kulipa faini kwa pamoja, lakni Nchimbi wakati huo akiwa waziri wa Mambo ya Ndani akacheza muziki wake adhabu ikawa either/or scenario. Zawadi yake ilikuwa ni bonge la "kitu" kule Boko. Sasa Nchimbi amerudishwa nchini, huenda, kwa ajili ya kuimarisha Timu Rostam.

7. Hakuna mwekezaji wa kigeni anayekanyaga Tanzania bila kwanza kwenda KUHIJI NA KUSUJUDU nyumbani kwa Rostam Aziz, na DP World wakiwemo, hata kama ametoa kauli ya kuwaruka juzi.

8. Wakati tunayafahamu haya yote, tumemwona Rostam Aziz ameketi na Rais Saimia huko Marekani wakisaini mikataba ya siri. Mpaka leo hatujaambiwa wakati sisi ndio wananchi wenye wenye nchi.

9. Haya tunayoyasema hapa, ni habari za wazi sana katika duru za vyombo vya ulinzi na usalama. Tatizo wakubwa kadhaa tayari wametekwa. Jana tuliulizwa kutoa maoni yetu kuhusu dhana kwamba IGP Camillius Wambura aliyewaweka kizuizini kina Dr Slaa anapaswa kujiuzuli. Tunasema hapana. Alitumwa. Kumwadhibu yeye ni sawa na kujaribu kuliua joka kubwa kwa kupiga mkia wake badala ya kugonga kichwa. Tunapaswa kugonga kichwa. Lakini kazi ya kugonga kichwa ni ngumu sana kiasi kwamba kunahitajika detonator kabambe. Ugumu wake uko hivi: Rais Samia amejilundikia "watu wake" kiasi kwamba tatizo la "collective thinking" sasa limezingira "makao." Just imagine the Topmost Three ndani ya "Eagles House" ni Wazanzibari. Rais ni Mzanzibari. Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani Mzanzibari. Asilmia 21 ya ajira za Muungano ni za Wazanzibari. Mbarawa wa IGA Mzanzibari. Hamza Johari wa IGA Mzanzibari. Nchi imetekwa.

10. Kwa ufupi, tunachosema ni kwamba, Rais Mstaafu Kikwete afahamu kuwa yeye ndiye mwasisi wa Timu Rostam na kwamba Timu Rostam ni hatari kwa usalama wa Rais Samia, Usalama wa CCM na kwa usalama wa Taifa kwa ujumla. Ni timu ya watu wanaofanya uhaini wa kiuchumi. Lakini Maaskofu wa TEC sio hatari kwa usalama wa Taifa letu. Kwa leo tunaishia hapo.

Dawati la Mama Amon
"Sumbawanga Town"
Sumbawanga.

View attachment 2723442

View attachment 2723444

Mimi naomba uthibitisho na ushahidi wako kwenye maneno yako kwenye hoja ulizo,iweka hapo kuanzia no 2 hadi 10
 
Mmeambiwa msichanganye siasa na dini,ni maneno ya mwanasiasa akiwa kwenye kanisa sijui hapo kachanganya kunde na unga
 

View: https://youtu.be/JJ0lKTrRwmc

Aya ya 19 katika Katiba ya Tanzania (1977) inasomeka kama ifuatavyo:

(1) Kila mtu anastahili kuwa na uhuru wa mawazo, imani na uchaguzi katika mambo ya dini, pamoja na uhuru wa mtu kubadilisha dini au imani yake.
(2) Bila ya kuathiri sheria zinazohusika za Jamhuri ya Muungano, kazi ya kutangaza dini, kufanya ibada na kueneza dini itakuwa ni huru na jambo la hiari ya mtu ya binafsi, na shughuli na uendeshaji wa jumuiya za dini zitakuwa nje ya shughuli za mamlaka ya nchi.
(3) Kila palipotajwa neno "dini" katika ibara hii ifahamike kwamba maana yake ni pamoja na madhehebu ya dini, na maneno mengineyo yanayofanana au kuambatana na neno hilo nayo yatatafsiriwa kwa maana hiyo.

Katika mipaka ya nukuu hii, tunaungana mkono onyo la Rais Mstaafu, Jakaya KIkwete kuhusu alichokiita umuhimu wa "tunu ya kutenganusha dini na siasa."

Lakini, kwa jili ya kuboresha aiichokisema, tunapenda kufafanua tofauti kati ya dhana nne zinazohusiana na alichokisema. Yaani dhana ya "dini na siasa," "udini na siasa," "dini na usiasa," na "udini na usiasa." Mchoro ufuatao unazitofautisha vema.

View attachment 2723435

Yaani, kutokana na mchoro huu, kadiri maisha ya kidini na kisiasa yanavyohusika , kuna Watanzania wa aina nne, kama ifuatavyo:
  1. Watanzania wenye udini na mwenye usiasa. Hawa wanatumia dini kama mbinu ya kufanikisha malengo ya kisiasa, na kutumia siasa kama mbinu ya kufanikisha malengo ya kidini. Hii ni tunu hasi.
  2. Watanzania wenye udini na asiye na usiasa. Hawa wanatumia dini kama mbinu ya kufanikisha malengo ya kisiasa. Hii ni tunu hasi.
  3. Watanzania wasio na udini na wenye usiasa. Hawa wanatumia siasa kama mbinu ya kufanikisha malengo ya kidini. Hii ni tunu hasi.
  4. Watanzania wasio na udini na wasio na usiasa. Hawa wanatumia dini kama mbinu ya kufanikisha malengo ya kisiasa, na kutumia siasa kama mbinu ya kufanikisha malengo ya kidini. Hii ni tunu chanya.
Kwa maoni yetu, basi, Rais Mstaafu KIkwete aliongelea tunu nne zifuatazo: tunu chanya ya "kuchanganya dini na siasa," tunu hasi ya "kuchanganya udini na siasa," tunu hasi ya "kuchanganya dini na usiasa," na tunu hasi ya "kuchanganya udini na usiasa,"

Hivyo basi, kwa maoni yetu kuchanganya dini na siasa sio tatizo, maana tunafanya hivyo kila siku, kama picha za KIkwete hapa chini zinavyoonyesha.

Lakini, kuna tatizo katika matatu yaliyo baki. Yaani, tunu hasi zifuatazo: "kuchanganya udini na siasa," "kuchanganya dini na usiasa," na "kuchanganya udini na usiasa."

Hivyo, tunafikiri kwamba, KIkatiba na kisheria, onyo la Rais Mstaafu, Jakaya KIkwete, kuhusu alichokiita "tunu ya kutochanganya dini na siasa," kama likitazamwa katika wigo wa uchambuzi huu, linapaswa kutfsiriwa katika mipaka ifuatayo:

Kwa mujibu wa Katiba ya Tanzania, hasa ibara ya 19(2), ukuta unaotenganisha maisha ya kidini na maisha ya kisiasa ni kama "semi-permeable membrane," tuliyoisoma kwenye bayolojia ya seli.

Yaani, ni ukuta wenye milango inayoruhusu vitu vilivyoko upande mmoja kupenya na kwenda upande wa pili, lakini inakataza vitu vilivyo upande wa pili kupenya na kuingia upande wa kwanza.

Ukuta wa kikatiba unaotenganisha dini na siasa unayo milango kama hiyo pia. Unawaruhusu watu walioko upande wa dini kusukuma mlango na kuingia upande wa serikali, lakini unawakataza watu walioko upande wa serikali kusukuma mlango na kuingia upande wa dini.

Hivyo, makuhani wanaweza kugombea udiwani, ubunge na urais, kama sheria za makanisa yao haziwakatazi.

Pia wanaweza kuzikosoa sera za serikali kwa niaba ya waumini wao. Lakini serikali haiwezi kuanzisha dini rasmi ya Taifa wala kuzikosoa sera za ndani ya taasisi za kidini, isipkuwa pale zinapokiuka katika ya nchi.

Mwaka 1973, Profesa Gustavo Gutierez Merino wa Peru, huko Amerika ya Kusini, aliandika kitabu "A Theology of Liberation: History, Politics, and Salvation," kwa ajili ya kufafanua ukweli hii.

Tunaambatanisha kitabu kizima hapa chini baada ya kunukuu baadhi ya kauli zake muhimu kwa Tanzania ya leo hapa chini....

“An essential clue to the understanding of poverty in liberation theology is the distinction, made in the Medellín document 'Poverty of the Church,' between three meanings of the term 'poverty': real poverty as an evil—that is something that God does not want; spiritual poverty, in the sense of a readiness to do God's will; and solidarity with the poor, along with protest against the conditions under which they suffer.”
“The denunciation of injustice implies the rejection of the use of Christianity to legitimize the established order.”
“In the final analysis, poverty means death: lack of food and housing, the inability to attend properly to health and education needs, the exploitation of workers, permanent unemployment, the lack of respect for one's human dignity, and unjust limitations placed on personal freedom in the areas of self-expression, politics, and religion.”
“There are not two histories, one profane and one sacred, 'juxtaposed' or 'closely linked.' Rather there is only one human destiny.”
“History is no longer as it was for the Greeks, an anamnesis, a remembrance. It is rather a thrust into the future.”

Kwa hiyo, kuhusu Teolojia ya Ukombozi wa Rasilimali za Watanzania Wanyonge Dhidi ya Waarabu wa Dubai, Tamko la Maaskofu wa TEC juu ya Bandari zetu limegonga penyewe kwa wakati sahihi.

Tusisahau kwamba sababu zilizowasukuma Maaskofu wa TEC kuchukua hatua waliyoichukua ni nyingi kuliko zile walizozitaja kwenye tamko. Mifano ya sababu ambazo hawakuzitaja hizi hapa:

1. Hayati Magufuli alipiga marufuku makinikia kusafirishwa nje ya nchi, lakini leo marufuku hii imefutwa na kampuni ya kina Rostam Azizi inayoitwa Taifa Transport and Logistics Ltd ndiyo inasafirisha makinikia haya kutoka mikaoni hadi bandarini, kuyapakia kwenye meli hadi huko ng'ambo. Makao yake makuu yako Plot No. 77, Kipawa, Kiwalani Industrial Area, Dar es Salaam, Tanzania.

2. Rais Mstaafu KIkwete alimwahidi Rostam kile kiwanja cha Oysterbay, ilikokuwa POlice Officers Mess, kwa kuwa alitaka kuleta Wachina kujenga Supermarket kwa sharti kwamba wapewe Title Deed ya miaka 99. Mapatano yalikuwa kwamba, Rostam ajenga Kwota za Polisi kule Kunduchi, Pale Morocco, na Kuhamisha Kituo cha Polisi cha Oysterbay na kukijenga pale Namanga kilipo sasa. Rostam kafanya haya yote kwa fedha yake ili apate uhalali wa kumilikishwa kiwanja cha Masaki. Ghafla Mwamba JPM akaingia Ikulu kabla Rostam hajakabidhiwa kiwanja hicho. Rostam akaambiwa, chagua moja: ama nikurudishie fedha zako au nikupe kiwanja kule Bagamooyo, lakini sio hapa Masaki. Rostam kwa unyonge akaomba arudishiwe fedha zake, Na Magufuli hadi anakufa aligoma kuzindua zile KJwota za Polisi kwa sababu ya hasira! Zimezinduliwa majuzi wakati wa uongozi wa Rais Samia.

3. Lakini, wakati hayati Magufuli alimnyima Rostam kile kiwanja cha Oysterbay, ilikokuwa POlice Officers Mess, kwa kuwa alitaka kuleta Wachina kujenga Supermarket kwa sharti kwamba wapewe Title Deed ya miaka 99, leo tunataka kutoa bandari zote 88 kwa miaka zaidi ya 99.

4. Wakati hayati Magufuli alikataa wazo la kuhamisha kituo cha Polisi cha Oysterbay hadi Namanga, japo akawa amechelewa, na hilo likatokea chini ya awamu ya Kikwete; alichukua hatua za haraka kuzuia michakato iliyokuwa ifuate. Alifanya hivyo mara tu baada ya kuingia ofisini. Leo Samia anataka kuhamisha Chuo cha Polisi cha Kigamboni na kukipeleka anakokujua yeye, ili KIgamboni awakabidhi Waarabu wa Dubai kwa miaka zaidi ya 99. Watalipa fidia kama Rostam alivyotaka kufanya wakati anahamisha kituo cha Polisi cha Oysterbay kutoka kule ufukweni hadi pale Namanga.

5. Mdogo wake Rostam, aitwaye Akram Aziz, alishtakiwa na kupokonywa bunduki 56 alizokuwa anamiliki kiharamu kwa ajili ya ujangili, lakini sasa amerudishiwa silaha hizo, na ujangili ni business as usual.

6. Akram Aziz aliposhtakiwa mwaka 2018 Mahakama ilitaka afungwe na kulipa faini kwa pamoja, lakni Nchimbi wakati huo akiwa waziri wa Mambo ya Ndani akacheza muziki wake adhabu ikawa either/or scenario. Zawadi yake ilikuwa ni bonge la "kitu" kule Boko. Sasa Nchimbi amerudishwa nchini, huenda, kwa ajili ya kuimarisha Timu Rostam.

7. Hakuna mwekezaji wa kigeni anayekanyaga Tanzania bila kwanza kwenda KUHIJI NA KUSUJUDU nyumbani kwa Rostam Aziz, na DP World wakiwemo, hata kama ametoa kauli ya kuwaruka juzi.

8. Wakati tunayafahamu haya yote, tumemwona Rostam Aziz ameketi na Rais Saimia huko Marekani wakisaini mikataba ya siri. Mpaka leo hatujaambiwa wakati sisi ndio wananchi wenye wenye nchi.

9. Haya tunayoyasema hapa, ni habari za wazi sana katika duru za vyombo vya ulinzi na usalama. Tatizo wakubwa kadhaa tayari wametekwa. Jana tuliulizwa kutoa maoni yetu kuhusu dhana kwamba IGP Camillius Wambura aliyewaweka kizuizini kina Dr Slaa anapaswa kujiuzuli. Tunasema hapana. Alitumwa. Kumwadhibu yeye ni sawa na kujaribu kuliua joka kubwa kwa kupiga mkia wake badala ya kugonga kichwa. Tunapaswa kugonga kichwa. Lakini kazi ya kugonga kichwa ni ngumu sana kiasi kwamba kunahitajika detonator kabambe. Ugumu wake uko hivi: Rais Samia amejilundikia "watu wake" kiasi kwamba tatizo la "collective thinking" sasa limezingira "makao." Just imagine the Topmost Three ndani ya "Eagles House" ni Wazanzibari. Rais ni Mzanzibari. Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani Mzanzibari. Asilmia 21 ya ajira za Muungano ni za Wazanzibari. Mbarawa wa IGA Mzanzibari. Hamza Johari wa IGA Mzanzibari. Nchi imetekwa.

10. Kwa ufupi, tunachosema ni kwamba, Rais Mstaafu Kikwete afahamu kuwa yeye ndiye mwasisi wa Timu Rostam na kwamba Timu Rostam ni hatari kwa usalama wa Rais Samia, Usalama wa CCM na kwa usalama wa Taifa kwa ujumla. Ni timu ya watu wanaofanya uhaini wa kiuchumi. Lakini Maaskofu wa TEC sio hatari kwa usalama wa Taifa letu. Kwa leo tunaishia hapo.

Dawati la Mama Amon
"Sumbawanga Town"
Sumbawanga.

View attachment 2723442

View attachment 2723444

Umeandika mengi lakini ukishapotoshwa ni rahisi wewe kupotosha wengine bila ya kujua kuwa unapotosha.

Mwekezaji DP World anapangishwa magati namba tatu mpaka namba nane tu, kuanzia namba tisa mpaka namba kumi nambili atakuja mwekezaji mwingine, serikali yenyewe ina hodhi magati namba sifuri mpaka namba mbili.

Pia kuna mwekezaji anayekuja pale Bagamoyo kuwekeza, haya ni masuala ya kiuchumi inasikitisha sana kuona yakichanganywa na siasa nyingiii zisizohusiana nayo!!. Inasikitisha sana kwa kweli.

Kuwa na Bandari ni mpango wake Mungu lakini kuitumia kwa faida ya nchi ni suala letu sisi kama taifa, tuamue kusuka au kunyoa.
 
View attachment 2723592

Aya ya 19 katika Katiba ya Tanzania (1977) inasomeka kama ifuatavyo:

(1) Kila mtu anastahili kuwa na uhuru wa mawazo, imani na uchaguzi katika mambo ya dini, pamoja na uhuru wa mtu kubadilisha dini au imani yake.
(2) Bila ya kuathiri sheria zinazohusika za Jamhuri ya Muungano, kazi ya kutangaza dini, kufanya ibada na kueneza dini itakuwa ni huru na jambo la hiari ya mtu ya binafsi, na shughuli na uendeshaji wa jumuiya za dini zitakuwa nje ya shughuli za mamlaka ya nchi.
(3) Kila palipotajwa neno "dini" katika ibara hii ifahamike kwamba maana yake ni pamoja na madhehebu ya dini, na maneno mengineyo yanayofanana au kuambatana na neno hilo nayo yatatafsiriwa kwa maana hiyo.

Katika mipaka ya nukuu hii, tunaungana mkono onyo la Rais Mstaafu, Jakaya KIkwete kuhusu alichokiita umuhimu wa "tunu ya kutenganusha dini na siasa."

Lakini, kwa jili ya kuboresha aiichokisema, tunapenda kufafanua tofauti kati ya dhana nne zinazohusiana na alichokisema. Yaani dhana ya "dini na siasa," "udini na siasa," "dini na usiasa," na "udini na usiasa." Mchoro ufuatao unazitofautisha vema.

View attachment 2723435

Yaani, kutokana na mchoro huu, kadiri maisha ya kidini na kisiasa yanavyohusika , kuna Watanzania wa aina nne, kama ifuatavyo:
  1. Watanzania wenye udini na mwenye usiasa. Hawa wanatumia dini kama mbinu ya kufanikisha malengo ya kisiasa, na kutumia siasa kama mbinu ya kufanikisha malengo ya kidini. Hii ni tunu hasi.
  2. Watanzania wenye udini na asiye na usiasa. Hawa wanatumia dini kama mbinu ya kufanikisha malengo ya kisiasa. Hii ni tunu hasi.
  3. Watanzania wasio na udini na wenye usiasa. Hawa wanatumia siasa kama mbinu ya kufanikisha malengo ya kidini. Hii ni tunu hasi.
  4. Watanzania wasio na udini na wasio na usiasa. Hawa wanatumia dini kama mbinu ya kufanikisha malengo ya kisiasa, na kutumia siasa kama mbinu ya kufanikisha malengo ya kidini. Hii ni tunu chanya.
Kwa maoni yetu, basi, Rais Mstaafu KIkwete aliongelea tunu nne zifuatazo: tunu chanya ya "kuchanganya dini na siasa," tunu hasi ya "kuchanganya udini na siasa," tunu hasi ya "kuchanganya dini na usiasa," na tunu hasi ya "kuchanganya udini na usiasa,"

Hivyo basi, kwa maoni yetu kuchanganya dini na siasa sio tatizo, maana tunafanya hivyo kila siku, kama picha za KIkwete hapa chini zinavyoonyesha.

Lakini, kuna tatizo katika matatu yaliyo baki. Yaani, tunu hasi zifuatazo: "kuchanganya udini na siasa," "kuchanganya dini na usiasa," na "kuchanganya udini na usiasa."

Hivyo, tunafikiri kwamba, KIkatiba na kisheria, onyo la Rais Mstaafu, Jakaya KIkwete, kuhusu alichokiita "tunu ya kutochanganya dini na siasa," kama likitazamwa katika wigo wa uchambuzi huu, linapaswa kutfsiriwa katika mipaka ifuatayo:

Kwa mujibu wa Katiba ya Tanzania, hasa ibara ya 19(2), ukuta unaotenganisha maisha ya kidini na maisha ya kisiasa ni kama "semi-permeable membrane," tuliyoisoma kwenye bayolojia ya seli.

Yaani, ni ukuta wenye milango inayoruhusu vitu vilivyoko upande mmoja kupenya na kwenda upande wa pili, lakini inakataza vitu vilivyo upande wa pili kupenya na kuingia upande wa kwanza.

Ukuta wa kikatiba unaotenganisha dini na siasa unayo milango kama hiyo pia. Unawaruhusu watu walioko upande wa dini kusukuma mlango na kuingia upande wa serikali, lakini unawakataza watu walioko upande wa serikali kusukuma mlango na kuingia upande wa dini.

Hivyo, makuhani wanaweza kugombea udiwani, ubunge na urais, kama sheria za makanisa yao haziwakatazi.

Pia wanaweza kuzikosoa sera za serikali kwa niaba ya waumini wao. Lakini serikali haiwezi kuanzisha dini rasmi ya Taifa wala kuzikosoa sera za ndani ya taasisi za kidini, isipkuwa pale zinapokiuka katika ya nchi.

Mwaka 1973, Profesa Gustavo Gutierez Merino wa Peru, huko Amerika ya Kusini, aliandika kitabu "A Theology of Liberation: History, Politics, and Salvation," kwa ajili ya kufafanua ukweli hii.

Tunaambatanisha kitabu kizima hapa chini baada ya kunukuu baadhi ya kauli zake muhimu kwa Tanzania ya leo hapa chini....

“An essential clue to the understanding of poverty in liberation theology is the distinction, made in the Medellín document 'Poverty of the Church,' between three meanings of the term 'poverty': real poverty as an evil—that is something that God does not want; spiritual poverty, in the sense of a readiness to do God's will; and solidarity with the poor, along with protest against the conditions under which they suffer.”
“The denunciation of injustice implies the rejection of the use of Christianity to legitimize the established order.”
“In the final analysis, poverty means death: lack of food and housing, the inability to attend properly to health and education needs, the exploitation of workers, permanent unemployment, the lack of respect for one's human dignity, and unjust limitations placed on personal freedom in the areas of self-expression, politics, and religion.”
“There are not two histories, one profane and one sacred, 'juxtaposed' or 'closely linked.' Rather there is only one human destiny.”
“History is no longer as it was for the Greeks, an anamnesis, a remembrance. It is rather a thrust into the future.”

Kwa hiyo, kuhusu Teolojia ya Ukombozi wa Rasilimali za Watanzania Wanyonge Dhidi ya Waarabu wa Dubai, Tamko la Maaskofu wa TEC juu ya Bandari zetu limegonga penyewe kwa wakati sahihi.

Tusisahau kwamba sababu zilizowasukuma Maaskofu wa TEC kuchukua hatua waliyoichukua ni nyingi kuliko zile walizozitaja kwenye tamko. Mifano ya sababu ambazo hawakuzitaja hizi hapa:

1. Hayati Magufuli alipiga marufuku makinikia kusafirishwa nje ya nchi, lakini leo marufuku hii imefutwa na kampuni ya kina Rostam Azizi inayoitwa Taifa Transport and Logistics Ltd ndiyo inasafirisha makinikia haya kutoka mikaoni hadi bandarini, kuyapakia kwenye meli hadi huko ng'ambo. Makao yake makuu yako Plot No. 77, Kipawa, Kiwalani Industrial Area, Dar es Salaam, Tanzania.

2. Rais Mstaafu KIkwete alimwahidi Rostam kile kiwanja cha Oysterbay, ilikokuwa POlice Officers Mess, kwa kuwa alitaka kuleta Wachina kujenga Supermarket kwa sharti kwamba wapewe Title Deed ya miaka 99. Mapatano yalikuwa kwamba, Rostam ajenga Kwota za Polisi kule Kunduchi, Pale Morocco, na Kuhamisha Kituo cha Polisi cha Oysterbay na kukijenga pale Namanga kilipo sasa. Rostam kafanya haya yote kwa fedha yake ili apate uhalali wa kumilikishwa kiwanja cha Masaki. Ghafla Mwamba JPM akaingia Ikulu kabla Rostam hajakabidhiwa kiwanja hicho. Rostam akaambiwa, chagua moja: ama nikurudishie fedha zako au nikupe kiwanja kule Bagamooyo, lakini sio hapa Masaki. Rostam kwa unyonge akaomba arudishiwe fedha zake, Na Magufuli hadi anakufa aligoma kuzindua zile KJwota za Polisi kwa sababu ya hasira! Zimezinduliwa majuzi wakati wa uongozi wa Rais Samia.

3. Lakini, wakati hayati Magufuli alimnyima Rostam kile kiwanja cha Oysterbay, ilikokuwa POlice Officers Mess, kwa kuwa alitaka kuleta Wachina kujenga Supermarket kwa sharti kwamba wapewe Title Deed ya miaka 99, leo tunataka kutoa bandari zote 88 kwa miaka zaidi ya 99.

4. Wakati hayati Magufuli alikataa wazo la kuhamisha kituo cha Polisi cha Oysterbay hadi Namanga, japo akawa amechelewa, na hilo likatokea chini ya awamu ya Kikwete; alichukua hatua za haraka kuzuia michakato iliyokuwa ifuate. Alifanya hivyo mara tu baada ya kuingia ofisini. Leo Samia anataka kuhamisha Chuo cha Polisi cha Kigamboni na kukipeleka anakokujua yeye, ili KIgamboni awakabidhi Waarabu wa Dubai kwa miaka zaidi ya 99. Watalipa fidia kama Rostam alivyotaka kufanya wakati anahamisha kituo cha Polisi cha Oysterbay kutoka kule ufukweni hadi pale Namanga.

5. Mdogo wake Rostam, aitwaye Akram Aziz, alishtakiwa na kupokonywa bunduki 56 alizokuwa anamiliki kiharamu kwa ajili ya ujangili, lakini sasa amerudishiwa silaha hizo, na ujangili ni business as usual.

6. Akram Aziz aliposhtakiwa mwaka 2018 Mahakama ilitaka afungwe na kulipa faini kwa pamoja, lakni Nchimbi wakati huo akiwa waziri wa Mambo ya Ndani akacheza muziki wake adhabu ikawa either/or scenario. Zawadi yake ilikuwa ni bonge la "kitu" kule Boko. Sasa Nchimbi amerudishwa nchini, huenda, kwa ajili ya kuimarisha Timu Rostam.

7. Hakuna mwekezaji wa kigeni anayekanyaga Tanzania bila kwanza kwenda KUHIJI NA KUSUJUDU nyumbani kwa Rostam Aziz, na DP World wakiwemo, hata kama ametoa kauli ya kuwaruka juzi.

8. Wakati tunayafahamu haya yote, tumemwona Rostam Aziz ameketi na Rais Saimia huko Marekani wakisaini mikataba ya siri. Mpaka leo hatujaambiwa wakati sisi ndio wananchi wenye wenye nchi.

9. Haya tunayoyasema hapa, ni habari za wazi sana katika duru za vyombo vya ulinzi na usalama. Tatizo wakubwa kadhaa tayari wametekwa. Jana tuliulizwa kutoa maoni yetu kuhusu dhana kwamba IGP Camillius Wambura aliyewaweka kizuizini kina Dr Slaa anapaswa kujiuzuli. Tunasema hapana. Alitumwa. Kumwadhibu yeye ni sawa na kujaribu kuliua joka kubwa kwa kupiga mkia wake badala ya kugonga kichwa. Tunapaswa kugonga kichwa. Lakini kazi ya kugonga kichwa ni ngumu sana kiasi kwamba kunahitajika detonator kabambe. Ugumu wake uko hivi: Rais Samia amejilundikia "watu wake" kiasi kwamba tatizo la "collective thinking" sasa limezingira "makao." Just imagine the Topmost Three ndani ya "Eagles House" ni Wazanzibari. Rais ni Mzanzibari. Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani Mzanzibari. Asilmia 21 ya ajira za Muungano ni za Wazanzibari. Mbarawa wa IGA Mzanzibari. Hamza Johari wa IGA Mzanzibari. Nchi imetekwa.

10. Kwa ufupi, tunachosema ni kwamba, Rais Mstaafu Kikwete afahamu kuwa yeye ndiye mwasisi wa Timu Rostam na kwamba Timu Rostam ni hatari kwa usalama wa Rais Samia, Usalama wa CCM na kwa usalama wa Taifa kwa ujumla. Ni timu ya watu wanaofanya uhaini wa kiuchumi. Lakini Maaskofu wa TEC sio hatari kwa usalama wa Taifa letu. Kwa leo tunaishia hapo.

Dawati la Mama Amon
"Sumbawanga Town"
Sumbawanga.

View attachment 2723442

View attachment 2723444
Umenielimisha sana.

Mungu ashukuriwe kwa kukuweka hai na kukupa ufahamu unaotushirikisha hapa.
 
Back
Top Bottom