Tamko fupi la Jumuiya ya Madaktari - Juni 28, 2012

wazushi tu nyinyi ..nyinyi mnadai fedha sasa mnakuja na uboreshaji wa afya .tumewachoka sasa msifikiri sisi wananchi tuko pamoja nanyi wauaji wakubwa ambao mumeweka fedha mbele... tumewachoka kama mmeshindwa kufanya kazi serikali nende mkaazishe zahanati zenu..... hongera serikali asiyetaka kazi fukuzeni tu tujue moja hatuna hawa binadamu wapenda fedha badala ya utu kwanza. mana madai yenu ya msingi mumetekelezewa lakini bado tu sijui mnawatakia nini watz... mengine mumeambiwa yatatekelezwa huko mbeleni kama uwezo ukiwepo lakini bado tu..ni haki kusema anajambo lenu nyuma

Kwani kudai fedha ni vibaya kama ndo madoctor na hata wasomi wengine ambao hawalipwi vizuri walisotea madarasani kwa kwenda shule, lengo si ni mtu awe na maisha bora.

Kama pesa hazina maana Mbona nyie pamoja na kuwa mnajilipa vizuri lakini bado tu mnafanya ufisadi wa nguvu kwa kwenda mbele na hata mnafikia fedha zingine mnazificha nje ya nchi yetu.

Hivi nyie mmewahi jiuliza kuwa hizo fedha mnazoenda ficha huko nje mtazila lini maana ni mabillioni ya pesa mnaweka kwenye mabenki ya hao wazungu yaani mnazidi kuwapelekea mitaji zaidi ya biashara za mabenki yao, au nyie mnadhani zinakaa tu kuwangojea nyie.... eeeh kweli hamjaelimika bado....hizo pesa hata nyie hamtazifaidi maana hivi punde tu mtaaga dunia kwa pressure....
 
Mbona katika madai ya madaktari kinacho tamkwa sana ni posho mbalimbali na mishahara?Kama kweli wanaumia kuon watanzania wakisongamana hospitalini mbona sasa wana waacha wana kufa bila kuonyesha jitihada za kuokoa maisha wagonjwa hao?Hu ni uzalendo au ubinafsi mbele?

PENGO tatizolako huelwi wanachokisema,,,,,wamevumilia wamechoka...sasa wewe unataka waendelee kutibu mpaka lini wakati hali nimbaya..
 
Wewe KIBE nenda kwa aliyekutuma kamwambie watanzania wa sasa wanaelewa. ni hospitali ipi ya serikali ina huduma bora hapa nchini? na kwanini viongozi hawatibiwi hapa. Eti unasema watanzania tumewachoka, umewachoka wewe na mkeo mlio na akili ya kuku.
 
Wewe KIBE nenda kwa aliyekutuma kamwambie watanzania wa sasa wanaelewa. ni hospitali ipi ya serikali ina huduma bora hapa nchini? na kwanini viongozi hawatibiwi hapa. Eti unasema watanzania tumewachoka, umewachoka wewe na mkeo mlio na akili ya kuku.


Inaelekea huyo KIBE hayawahi kuugua wala kuuguliwa hivi karibuni. Tumuombee Mungu ampe walau kamaleria sugu hivi au taifodi kali na aende akapate huduma ajionee. Wenye taaluma yao wanapokueleza kuwa hali ni mbaya wewe kilaza ni nani kuwabishia?
Vilevile kama umewachoka madaktari jaribu waganga wa kienyeji. Tena kama wewe umande wa udaktari ulikushinda basi mwanao mpeleke akasomee. Si fani rahisi tu kama zingine? Aende huko usikie muziki wake! Mzigo wa mwenzako kweli ni furushi la sufi, mwepesi. Beba wewe uone! Kwa fedha hizo wanazipewa sasa kuna madaktari kadhaa wamepoteza maisha kwa kuambikizwa magonjwa hatari kutokana na ukosefu wa vifaa vya kufanyia kazi na familia zao zinateseka sana na hali ngumu hii ya maisha. Wakipata nyongeza walau wanaweza kujiwekea viakiba au bima kwa manufaa ya familia zao. Hawafanyi kazi ya kujitolea maana hata kujitoa kwao mhanga kuna kikomo! Nani kama daktari? Wamekoholewa na wenye TB bila maski, wengine wakagusa damu, na uchafu mwingine bila glovuz, wakajidunga kwa bahati mbaya na sindano zenye vimelea. Tumepoteza wengi kwa hali hii. Imetosha!
Hali za wagonjwa hospitalini kumbe wewe huzijui, unaishi wapi au ni mmojawao wa wanatibiwa India. Walisema waswahili kuwa mweye shibe hamju mwenye njaa. Jambo ambalo hawajawahi kulisema ni kuhusu mwenye njaa. Je, mwenye njaa naye hamjui mwenye shibe? Usijidanganye rafiki!
 
mwanzoni kilichokuwa kinasikika sana kwenye madai ya migomo yao ilikuwa ni mishahara kupanda na allawances sasa hv mambo yamekuwa magum mumeanza kuhusisha na matatizo ya wananchi ili mpate saport hamna lolote msemo wa mhe.pinda acha liwalo na liwe
tangu mwanzo hayo yalokuwamo katika madai manane.
hakuna dai jipya
 
Still the government is busy to accomplish the "unfinished business, i.e. eliminate Ulimboka"
Madaktari japo hawajasomea intellijesia washipiku tayari serikali kwa kila wanachopanga.
 
wazushi tu nyinyi ..nyinyi mnadai fedha sasa mnakuja na uboreshaji wa afya .tumewachoka sasa msifikiri sisi wananchi tuko pamoja nanyi wauaji wakubwa ambao mumeweka fedha mbele... tumewachoka kama mmeshindwa kufanya kazi serikali nende mkaazishe zahanati zenu..... hongera serikali asiyetaka kazi fukuzeni tu tujue moja hatuna hawa binadamu wapenda fedha badala ya utu kwanza. mana madai yenu ya msingi mumetekelezewa lakini bado tu sijui mnawatakia nini watz... mengine mumeambiwa yatatekelezwa huko mbeleni kama uwezo ukiwepo lakini bado tu..ni haki kusema anajambo lenu nyuma

you man it my sincerely hope your ----------******f&&&&88..u
 
jamani hii tanzania nahisi inakoelekea ni kubaya sana tusipokuwa makini tutakuja kujuta
 
hapo chini hayo ndio madai makuu ya madaktari...
Sasa nionyeshe sehemu waliozungumzia posho au mishahara yao kama wewe unavyokurupuka bila kuchamba na kuleta ushambenga wako hapa...


wazushi tu nyinyi ..nyinyi mnadai fedha sasa mnakuja na uboreshaji wa afya .tumewachoka sasa msifikiri sisi wananchi tuko pamoja nanyi wauaji wakubwa ambao mumeweka fedha mbele... tumewachoka kama mmeshindwa kufanya kazi serikali nende mkaazishe zahanati zenu..... hongera serikali asiyetaka kazi fukuzeni tu tujue moja hatuna hawa binadamu wapenda fedha badala ya utu kwanza. mana madai yenu ya msingi mumetekelezewa lakini bado tu sijui mnawatakia nini watz... mengine mumeambiwa yatatekelezwa huko mbeleni kama uwezo ukiwepo lakini bado tu..ni haki kusema anajambo lenu nyuma


Madaktari tunazidi kusisitiza kuwa hakuna njia
nyingine yeyote ya kusuluhisha mgogoro huu
isipokuwa ni kwa kutekeleza madai na hoja za
msingi za madaktari kwa njia ya mazungumzo
ya dhati.

Madaktari tumechoka kuona huduma za
afya nchini zikizidi kudorora mwaka hadi
mwaka , Tumechoka kuona wagonjwa wakilala chini
na watoto wakilala wanne katika kitanda
kimoja Tumechoka kuona msongamano mkubwa
kwa wagonjwa katika hospitali zetu huku
kukiwa hakuna mpango wowote wa
uboreshaji.

Tumechoka kuona wagonjwa wakikosa
dawa, vipimo sahihi na watumishi wa afya
wakifanya kazi katika mazingira magumu
yanayoviza ubora wa huduma na misingi ya
taaluma.

Kwa hiyo, kwa moyo wetu leo tumejitolea
kutetea uboreshaji wa sekta ya afya licha ya
vitisho tunavyoendelea kuvipata.
 
wazushi tu nyinyi ..nyinyi mnadai fedha sasa mnakuja na uboreshaji wa afya .tumewachoka sasa msifikiri sisi wananchi tuko pamoja nanyi wauaji wakubwa ambao mumeweka fedha mbele... tumewachoka kama mmeshindwa kufanya kazi serikali nende mkaazishe zahanati zenu..... hongera serikali asiyetaka kazi fukuzeni tu tujue moja hatuna hawa binadamu wapenda fedha badala ya utu kwanza. mana madai yenu ya msingi mumetekelezewa lakini bado tu sijui mnawatakia nini watz... mengine mumeambiwa yatatekelezwa huko mbeleni kama uwezo ukiwepo lakini bado tu..ni haki kusema anajambo lenu nyuma

Naomba nianze na mfano wa mwalimu: Mwalimu ktk kipindi chake, kuna wakati alikuwa akihutubia umma, na ktk hotuba ile alitoa mfano mmoja ambao ni hai sana hata leo ambao wewe unayesema madaktari ni wahuni, basi wewe ndiye muhuni namba moja ambaye umepumbazwa na madawa ya kulevya pengine na vijisenti unavyopata toka kwa mfugaji wako kwani wewe ni mbwa tena la kufugwa afadhali ya koko anayejua kujitafutia na anafahamu pa kwenda wakati wa hatari. Mwalimu alisema hivi: Mbwa koko alikuwa anapitapita mtaani kujitafutia riziki, na ktk pitapita, akamwona mbwa mwenzake ndani ya fensi ya mtu tajiri, mbwa koko akajisemea dah! mwenzangu anafaidi kweli yaani haangaiki kutafuta kama mimi, yeye kila kitu analetewa tu. Na yule mbwa wa kufugwa ndani alipomwona Mbwa koko nje ya fence akajisemea, duh; mwenzangu anafaidi, ona alivyo huru, anaenda anapotaka na kujitafutia anachohitaji kuliko mimi ambaye mara nyingi naletewa nisichokitaka, natamani ningekuwa yeye. Basi ktk kutamaniana wakasogeleana na kuanza kusalimiana na kuzungumza. Yule mbwa koko akamwambia mwenziwe, ndugu yangu inaonekana huko uliko ni kuzuri ona ulivyonawiri sio kama mimi jua lanichoma mchana kutwa na kunyeshewa pia. Yule mwenziwe akajibu, dah mwenzangu wewe hujui tu, nayatamani sana maisha yako kwani huku niliko nafungiwa tu na kufunguliwa muda wautakao,napewa chakula nisichotaka na kwa muda wautakao, na sikuwahi kupewa hata muda wa kukatiza nje ya geti yaani maisha yangu yote ni ndani tu, yaani una raha sana na natamani sana nitoke huku ndani...Mwisho.


Kwa story hiyo fupi ya mwalimu ni wazi kuwa wewe ni mbwa wa kufugwa na kwa sababu ushazoea kupewa kila kitu, wala hujui kuhangaika maana yake nini ndio maana unatapika makombo ya wakufugao...NJOO MATAANI TUUNGUE JUA NA KUNYESHEWA MVUA PAMOJA ALAFU UONE KAMA UTAONGEA UTUMBO NA MATAPISHI HAYO...PUMBAVU KABISA...INFACT, YOU ARE FULL OF SHIT EVERYWHERE. UNAWEZA UKAONEKANA UMENAWIRI NA MWILI UNA AFYA LAKINI AKILI YOTE WAMECHUKUA, KAMA ILIVYOKUWA SERA YA WAKOLONI ENZI ZILE "TAKE THE MIND, KEEP THE BODY" WEWE UKO UTUMWANI NA HAUJITAMBUI KUWA AKILI YOTE WAMECHUKUWA NA WAMEKUACHIA HILO FUVU TU, NDANI KUNA MGANDO MIDHILI YA MAZIWA YALOGANDA YALIYOHARIBIKA NA HAYAFAI KULIWA, NDIO WEWE HAPO, TOKA UTUMWANI WEWEEE
 
wavivu wa kufikir ndio wanaoshabikia mgomo wa madactari, binafsi siwaungi mkono hasa hao wa muhimbili baadhi yao ni wauwaji wakubwa wapo kipesa zaidi, sitosahu siku moja nilipoenda kujifungua muhimbili mwaka 2010 mwezi february. Nikiwa nagugumia maumivu docta mmoja jina ninalo akaanza kunitukana eti kwa nini nilienda usiku hospitali na kunitaka nimpe hela ya tax, nikamwambia asubiri. Nilitukana sana na kuandikiwa nijifungue kwa kisu bila kujua sababu nilipelewa thieter huku nalia. Baada ya hapo nikaanza kudaiwa hela ya tax na kwa kuwa sikuwa na pesa kwa wakati ule nilimpa elfu kumi, wee alinitukana nilishamsamehe ila sitomsahau maishani mwangu. Naomba tu madaktari na serikali mmalize migogoro na kutuhudumia bila migomo weken uzalendo mbele.
 
Kamanda Msangi aliyemkamata na kumtesa Dr Ulimboka yupo katika jopo la kuchunguza nini kilimtokea Dr Ulimboka. Alipofika kumuhoji Dr Ulimboka alimwambia 'Nirudishie simu na waleti yangu'. Kamanda Msangi taratibu akatoka wodini kichwa chini.


Duh noma hivo
 
Serikali dhaifu lazima itende mambo ya kidhaifu dhaifu yanayotokana na mawazo dhaifu.
MWISHO WA UBAYA NI AIBU.
 
Wazushi tu nyinyi ..nyinyi mnadai fedha sasa mnakuja na uboreshaji wa afya .tumewachoka sasa msifikiri sisi wananchi tuko pamoja nanyi wauaji wakubwa ambao mumeweka fedha mbele... tumewachoka kama mmeshindwa kufanya kazi serikali nende mkaazishe zahanati zenu..... hongera serikali asiyetaka kazi fukuzeni tu tujue moja hatuna hawa binadamu wapenda fedha badala ya utu kwanza. mana madai yenu ya msingi mumetekelezewa lakini bado tu sijui mnawatakia nini watz... mengine mumeambiwa yatatekelezwa huko mbeleni kama uwezo ukiwepo lakini bado tu..ni haki kusema anajambo lenu nyuma

mkuu jaribu tu kufikiria, kama kweli madai ya madaktari ni madai binafsi, kwa nini serikali haitamki chochote!
 
David Abeid bado anaishi? inakuaje kama kweli kuna peoples power how long shall they kiil our prophets while we stand aside and look? hivi tunaakili sisi, lazima wanza kudondoshwa mmoja baada ya mwingine kuanzia leo,

That man hatakiwi kufa kwa sasa. Tunamhitaji sana kwenye uchunguzi. Ninauhakika kuna mahali "akiguswa vizuri" atasema yote!
 
Wewe KIBE nenda kwa aliyekutuma kamwambie watanzania wa sasa wanaelewa. ni hospitali ipi ya serikali ina huduma bora hapa nchini? na kwanini viongozi hawatibiwi hapa. Eti unasema watanzania tumewachoka, umewachoka wewe na mkeo mlio na akili ya kuku.
Ng'ombe kuwa mpole kidogo hakuna kitu kama eti madakt wanapata huruma kwa dawa kukosekana na wagonjwa kulala chini zaidi ya maslahi binafsi. Wajue wapo wanataaluma nyingine na mshahara kidogo zaidi ya wao lakini wanafanya kazi wasidhani wao ndiyo wasomi pekee. Ni vizuri kwa msomi mstaarabu kuliko kuharibu ufanisi wa mwajiri wako ni bora kujiengua mwenyewe na kutafuta maslahi ya juu sehemu nyingine.
 
Kamanda Msangi aliyemkamata na kumtesa Dr Ulimboka yupo katika jopo la kuchunguza nini kilimtokea Dr Ulimboka. Alipofika kumuhoji Dr Ulimboka alimwambia 'Nirudishie simu na waleti yangu'. Kamanda Msangi taratibu akatoka wodini kichwa chini.

Hapo ndipo unagundua jinsi jeshi la polisi lilivyojaa vibaka. Kuanzia makoplo hadi maofisa!
 
TZ naona kila mtu amekuwa msanii na mwanasiasa, hili tamko la madaktari wanajifanya wanagoma kutetea wagonjwa wakati kikubwa wanadai pesa.
Madaktari hawa hawa ndo wamesababisha vifo au ulemavu wa kudumu kwa mamia ya waTZ kwa uzembe wao au kutojali kwao harafu leo wanaleta picha kuonyesha wako na wananchi, wengine ndo wezi wa dawa hospitalini.
Hii ni mchemko tu, ngojeni ndo mtajua madai yenu na jeuri yenu si chochote.
Mkuu tupatie data za haya unayoyasema ili nao wasulubiwe, itakuwa bora ukitaja majina ya wagonjwa na mahali hizo dhambi baya zilifanywa, kama hii haitakuwa kukuuliza sana, itakuwa bora kama hauna data ambazo ni verified u withdraw comment yako na kuomba radhi wanajamvi. Asante kwa ushirikiano wako
 
Back
Top Bottom