bensonlifua92
Member
- Dec 9, 2010
- 84
- 33
wazushi tu nyinyi ..nyinyi mnadai fedha sasa mnakuja na uboreshaji wa afya .tumewachoka sasa msifikiri sisi wananchi tuko pamoja nanyi wauaji wakubwa ambao mumeweka fedha mbele... tumewachoka kama mmeshindwa kufanya kazi serikali nende mkaazishe zahanati zenu..... hongera serikali asiyetaka kazi fukuzeni tu tujue moja hatuna hawa binadamu wapenda fedha badala ya utu kwanza. mana madai yenu ya msingi mumetekelezewa lakini bado tu sijui mnawatakia nini watz... mengine mumeambiwa yatatekelezwa huko mbeleni kama uwezo ukiwepo lakini bado tu..ni haki kusema anajambo lenu nyuma
Kwani kudai fedha ni vibaya kama ndo madoctor na hata wasomi wengine ambao hawalipwi vizuri walisotea madarasani kwa kwenda shule, lengo si ni mtu awe na maisha bora.
Kama pesa hazina maana Mbona nyie pamoja na kuwa mnajilipa vizuri lakini bado tu mnafanya ufisadi wa nguvu kwa kwenda mbele na hata mnafikia fedha zingine mnazificha nje ya nchi yetu.
Hivi nyie mmewahi jiuliza kuwa hizo fedha mnazoenda ficha huko nje mtazila lini maana ni mabillioni ya pesa mnaweka kwenye mabenki ya hao wazungu yaani mnazidi kuwapelekea mitaji zaidi ya biashara za mabenki yao, au nyie mnadhani zinakaa tu kuwangojea nyie.... eeeh kweli hamjaelimika bado....hizo pesa hata nyie hamtazifaidi maana hivi punde tu mtaaga dunia kwa pressure....