Jackbauer
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 6,038
- 2,199
- Thread starter
- #21
Kamanda Msangi aliyemkamata na kumtesa Dr Ulimboka yupo katika jopo la kuchunguza nini kilimtokea Dr Ulimboka. Alipofika kumuhoji Dr Ulimboka alimwambia 'Nirudishie simu na waleti yangu'. Kamanda Msangi taratibu akatoka wodini kichwa chini.
ukweli utajulikana tu!there is no perfect crime