Madela Wa- Madilu
JF-Expert Member
- Mar 24, 2007
- 3,062
- 731
Viongozi Dhaifu wa serikali ya CCM waki nukuu madai ya Madaktari husema tu yale ya Posho.
Madai ya hali mbaya na mazingira mabovu ya Hospitali zetu wanashindwa kuyasema kwa vile ndimi zao husinyaa kwa udhaifu.
Kwa sababu viongozi wetu dhaifu wanajua kwamba Mtanzania avearage hajitafutii ukweli bali husubiri mtu mwingine ahangaike kumtafutie, kitu ambacho ni udhaifu. Hutumia mwana huo kueleza sehemu ndogo tu ya madai ya Madaktari katika vyombo vya habari na kuirudia tena na tena na tena ili wale wanaosubiri kutafuniwa kumezeshwa chochote kinachotoka katika Main stream Media.
Madai kuhusu Mazingira duni ya hospitali zetu.
Hospitali kunyimwa mafungu yake.
Majibu ya kunya wanayopewa na warasimu wa serikali pale wakitaka kufuatilia mambo ndiyo mambo ya msingi katika mgomo huu.
Udhaifu wa waziri mkuu Rais na wabunge wa CCM ni sababu tosha ya kuogopa kuyasema haya atika vyombo vvya habari.
Wakibanwa utasikia, hilo ni jipya katika madai.
Ili ku score point nyingi kisiasa Waziri mkuu Rais na wazembe wenzao wengine wamekuwa wakilia lia kwamba madai ya msingi ya madaktari ni posho.
Mgonjwa akifa kwa sababu handling ilikuwa mbaya anayela umiwa ni Daktari aliye mtibu si katibu wa Wizara aliye iba fungu la Hospitali na kumjengea nyumba hawala yake au kusomesha kijana wake UK. Lawama wanazopata madakatari kwamba ni wazembe siku zote hazihusishi udhaifu wa serikali na wizi wa mafungu, ununuzi wa vifaa vibovu na ukosefu wa good maintanance ya vifaa vilivyopo.
Wagonjwa wanao kufa kwa cross contamination inayotokana na ukosefu wa maji safi na Gloves ni kwa maelfu kila mwaka. Lawama zote za vifo hivi kutoka katika familia ni kwa madaktari tu.
Kama hakuna maji bombani Daktari anatakiwa kufanya nini?
Kama meza na makabati yameoza daktari anatakiwa kufanya nini?
Kama hakuna gauze daktari anatakiwa kufanya nini?
Kama vyoo vimefurika kwa sabu sewage system imezeeka daktari anatakiwa kufanya nini?
Kama hakuna vifaa vya kudekia na kusterize sakafu dakatari anatakiwa kufanya nini?
Kama hakuna dawa za kutuliza maumivu makali dakatari anatakiwa kufanya nini?
Kama hakuna gauze,nyembe, bandage, thermometer, x ray na gari la wagonjwa daktari antakiwa kufanya nini??
Wengi wanaona mahali alipo lazwa Dr Ulimboka wanadhani hiyo ndo Muhimbili ambayo kila mlala hoi ana access.
hapo ni MOI ambako ni pochi tu ndo inaongea. Huna pochi dont even think abaout it, comeooon this is Tanzania!
As a National we are not serious at all.
Madai ya hali mbaya na mazingira mabovu ya Hospitali zetu wanashindwa kuyasema kwa vile ndimi zao husinyaa kwa udhaifu.
Kwa sababu viongozi wetu dhaifu wanajua kwamba Mtanzania avearage hajitafutii ukweli bali husubiri mtu mwingine ahangaike kumtafutie, kitu ambacho ni udhaifu. Hutumia mwana huo kueleza sehemu ndogo tu ya madai ya Madaktari katika vyombo vya habari na kuirudia tena na tena na tena ili wale wanaosubiri kutafuniwa kumezeshwa chochote kinachotoka katika Main stream Media.
Madai kuhusu Mazingira duni ya hospitali zetu.
Hospitali kunyimwa mafungu yake.
Majibu ya kunya wanayopewa na warasimu wa serikali pale wakitaka kufuatilia mambo ndiyo mambo ya msingi katika mgomo huu.
Udhaifu wa waziri mkuu Rais na wabunge wa CCM ni sababu tosha ya kuogopa kuyasema haya atika vyombo vvya habari.
Wakibanwa utasikia, hilo ni jipya katika madai.
Ili ku score point nyingi kisiasa Waziri mkuu Rais na wazembe wenzao wengine wamekuwa wakilia lia kwamba madai ya msingi ya madaktari ni posho.
Mgonjwa akifa kwa sababu handling ilikuwa mbaya anayela umiwa ni Daktari aliye mtibu si katibu wa Wizara aliye iba fungu la Hospitali na kumjengea nyumba hawala yake au kusomesha kijana wake UK. Lawama wanazopata madakatari kwamba ni wazembe siku zote hazihusishi udhaifu wa serikali na wizi wa mafungu, ununuzi wa vifaa vibovu na ukosefu wa good maintanance ya vifaa vilivyopo.
Wagonjwa wanao kufa kwa cross contamination inayotokana na ukosefu wa maji safi na Gloves ni kwa maelfu kila mwaka. Lawama zote za vifo hivi kutoka katika familia ni kwa madaktari tu.
Kama hakuna maji bombani Daktari anatakiwa kufanya nini?
Kama meza na makabati yameoza daktari anatakiwa kufanya nini?
Kama hakuna gauze daktari anatakiwa kufanya nini?
Kama vyoo vimefurika kwa sabu sewage system imezeeka daktari anatakiwa kufanya nini?
Kama hakuna vifaa vya kudekia na kusterize sakafu dakatari anatakiwa kufanya nini?
Kama hakuna dawa za kutuliza maumivu makali dakatari anatakiwa kufanya nini?
Kama hakuna gauze,nyembe, bandage, thermometer, x ray na gari la wagonjwa daktari antakiwa kufanya nini??
Wengi wanaona mahali alipo lazwa Dr Ulimboka wanadhani hiyo ndo Muhimbili ambayo kila mlala hoi ana access.
hapo ni MOI ambako ni pochi tu ndo inaongea. Huna pochi dont even think abaout it, comeooon this is Tanzania!
As a National we are not serious at all.
Mbona katika madai ya madaktari kinacho tamkwa sana ni posho mbalimbali na mishahara?Kama kweli wanaumia kuon watanzania wakisongamana hospitalini mbona sasa wana waacha wana kufa bila kuonyesha jitihada za kuokoa maisha wagonjwa hao?Hu ni uzalendo au ubinafsi mbele?