Nkanaga
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 653
- 619
Unaingia bar ukiwa mpole, mstaarabu na adabu zako zote. Tena kumbuka umetoka kwako kwa heshima kuwa baba kaenda matembezini, ofisini kwako mchana uliondoka kwa adabu zote kama boss. Hapo bar sasa, chupa ya kwanza.......ya pili.....ya tatu.....kinywaji kimekolea. Tabia ya kuanza kufanya mazoezi ya kutomasa chuchu na makalio ya huyo dada aliyekuhudumia inatoka wapi tena baba/boss? Huo ni udhalilishaji....kumbuka hiyo ni ajira kama ajira yoyote ile.