ah haa haaa haaaa ahaaaaKuna mzee jirani yangu yeye akilewa lazima apige mikelele akiigiza mlio wa Mbwa abwekavyo na mziki ukicheza hukata mauno kuzidi Funza wa chooni !
Bila kufanya hayo usiyoyapenda, ulevi utakua hauna maana weee vp? Raha ya pombe ni kujiachilia utakavyo.
Mwisho wa siku na kuibiwa vitu vyake kama wallet na simu anaibiwa ila hakomi kesho anarudia tena...kanakuwa ni ka-routine. Wala hashtuki na nyumbani anaitwa baba mwenye heshima zake..kila akirudi mke yupo kwenye kochi anapiga mbu....khaaaaa!!!