Watu wengine bana.Mkapa huwa anatumia neno moja tu linalowakilisha wapinzani, KOKOTO. Huyu mzee namkubali sana.
Wewe ambaye ujifurahishi ebu niambie Jeet Patel na Manji, wakili wao ni nani kama sio Mabere Marando, wewe ni CDM-Kata unafuata mkumbo tu huna unalolijua zaidi ya kuwa mateka wa CDM
<br />Mimi simkubali kabisa huyu mzee. Alifanya mazurimengi lakini aliharibu saana kuwapa bure wazungu madini yetu. Ni mtu hovyo sana...maana madini ndio ilikuwa sekta pekee ambayo ingeipandisha Tz kwenye level nyingine...leo tupiga miayo tu madini yanahamishwa kwa mikataba isiyo na tija...Mkapa ni laana ya nchi. Period!
Magwanda kama kawa, siasa za maji taka. Kumbe wanaenda Igunga kuongelea watu na si sera!
Dr Slaa na siasa za kuchafuana.
Je zitawasaidia nini wananchi wa Igunga? Je hayo ndio mahitaji ya wana Igunga?
Chadema someni alama za nyakati sio kukurupuka.
Makada wa CCM tafadharini sana tunaomba mtujuze kama Bendi za TOT, Twanga, Tip top connection, TMK, Diamond, Malow, Barnaba, Chid Beenz nk. kama watakuwepo kwenye kampeni za CCM Igunga. Maana huko Igunga wanapendwa ile mbaya na kila mtu!! Huenda ikasaidia kuvutia watu waje wenyewe kwenye mikutano ya kampeni kuliko kuwabeba kwenye malori kutoka mbali. Wale vijana wanajua kuimba ile mbaya & wanajua kuelezea sera za CCM vizuri nafikiri kuliko hata baadhi ya makada maarufu wa chama wanavyofanya. Tafadharini sana tunaomba mtujuze mapema ili watu wajiandae mapema kuwapokea!!!
mwenzako kwenye picha,then naunga mkono hoja 100 asilimiaNdugu wana jamvi, huku Igunga hali ni tete kwa CDM, wamebaki kiutafuta watu vijiweni ili wajaze mkutano wao wa ufunguzi. Mgombea wao hana mvuto kwa wapiga kura, DR. Kafumu ushindani mdogo utatoka kwa mgombea wa CUF, lakini CDM mambo ni mazito, SERA zenu za kutamka POSHO hamtaki huku USIKU mkizichukua hazina tija kwa wapiga kura wa Igunga. Dr. Kafumu ni tunu kwa Igunga na kiashirio cha maendeleo ya IGUNGA.
Nipo hapa Igunga madukani muda huu, CDM kwisha kazi pamoja na matangazo ya magari juu ya ufunguzi wao leo, mwitikio ni mdogo sana! Poleni wana CDM Igunga na Arusha sehemu mbili tofauti, Huku Igunga hakuna vijana wa kuleta fujo ambao huwa wanajaza maandamano yenu na mikutano.