WATANZANIA ni walewale jana leo na kesho. Mwanza kuna kitu serikali waliwakorofisha wamachinga.Mkuu kumbe unabase kwenye historia? Uliza hata Mwanza 2005 hali ilikuwaje na sasa hali ikoje. Utapata jibu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WATANZANIA ni walewale jana leo na kesho. Mwanza kuna kitu serikali waliwakorofisha wamachinga.Mkuu kumbe unabase kwenye historia? Uliza hata Mwanza 2005 hali ilikuwaje na sasa hali ikoje. Utapata jibu
wewe mbona unajipendekeza sana kwa wanaume?chadema hakuna basha nenda hukohuko kwa magamba kama wanapiga hiyo kitu(masaburi)Ukweli hapa igunga CCM ndie mshindi.Nimeshauri chama changu kisisimamishe mgombea kuondoa aibu inayokuja wapi,viongoz vichwa ngumu.Igunga nzima hata huyu diwan wa pekee CDM anatuhujumu kimyakimya kwa kumfagilia DALALA KAFUMU.Slaa dr wangu utajishushie sifa zako.
<br />
<br />
uchwara!!? Phd ya ukweli hyo waambie watu wa Phd feki e.g. Mkwele Udom & lyatonga. Hawajifunzi kutoka kwa Mkapa hataki phd za hisani
Katibu mkuu wa chama cha demokrasia na maendeleo, Dr. W. P. Slaa atazindua kampeni za chama chake mjini Igunga.
<br /><br />Ukweli hapa igunga CCM ndie mshindi.Nimeshauri chama changu kisisimamishe mgombea kuondoa aibu inayokuja wapi,viongoz vichwa ngumu.Igunga nzima hata huyu diwan wa pekee CDM anatuhujumu kimyakimya kwa kumfagilia DALALA KAFUMU.Slaa dr wangu utajishushie sifa zako.
CCM , ni mbwa mtu. wanajifanya kondoo kumbe ndani kwao dog tu.
Igunga haikuwahi kuwa na gari la maji ya kuwasha, lakini kwa vile CCM wanataka ushindi si kwa sera bali kwa vitisho na dhuluma. Tayari wamepeleka gari la maji ya kuwasha huko igunga, na limekuwa likipitishwa mitaani ili kuwaogofya wananchi wasisimame katika haki. hali hii inatisha kabisa.
Ninachowaasa wananchi wa Igunga, wasiwe na shaka, wapige kura kwa utulivu ili CCM wakose sababu.
NAWACHUKIA CCM
kichwa cha dr willbroad slaa ni vichwa mia 500 vya akina mkapa na wenzake.....kama kuna mtu anabisha subirini muone.........bravo dr wa ukweli.maana kuna jamaa anaitwa dr wakati hata gpa yake ya bachelor inasheki...................